Msaada,
Nina simu Blackberry ila siwezi kuitumia kwenye Internet na Jamaa zangu wa karibu wameniambia kuwa lazima niende makao makuu au sehemu ambayo ni branch ya mtandao ninaotumia ndipo...
Habari wana jf wote humu wakubwa kwa wadogo natumai mko wazima wa afya na Kuna mgonjwa mwenyezi mungu amponye me nilikua nahitaji ufumbuzi kuhusiana na keyboard [emoji446] ya pc [emoji335] yangu...
Wakuu amani iwe nanyi!
Simu yangu imekuwa haifungui whatsap nikiweka data on , lakini nikiwasha WIFI halafu nika connect na simu ya jirani whatsap inafanya kazi. Nimejaribu kufuta vitu vingi...
Kila kampuni ya simu ina apps tumizi zake ambazo lazma zije na simi,pamoja na nyingine kuwa ndani ya simu[kwenye system]mara nyingi apps hizi hazipendwi sana na watumiaji kwahiyo huonekana kama...
Habari wakuu?
Naomba kuuliza hivi hizi simu Za Tecno ambazo battery zake ni unremovable pale inapotokea simu Umekaa nayo muda mrefu imefikia hatua haikai na charge, vipi battery zake...
Poleni na majukumu ya kila siku ndugu zangu. Nahitaji kuboresha blog yangu, naomba mnisaidie kujua mambo yafatayo:
1.kubadili background nitumie nayoitaka mimi
2. Kuweka mda rasmi mtumiaji...
Natumia mtandao wa tigo. Kila nikiweka bando kwa ajili ya kuperuzi linaisha ndani ya dk5 hata ziwe GB1. Kinachotokea nikwamba nikiweka tu bando simu inaanza kupokea notification za ajabu ajabu na...
Katika pita pita zangu leo mtandaoni nimekutana na kitu kizuri sana kuhusu mwenendo wa teknolojia nchini mwetu Tanzania. nimekutana na mtandao mmoja hivi mzuri sana unaitwa mayocoo.
MAYOCOO
kwa...
Kama title. Inavyojieleza, baada ya wezi kunichapa system nzima sebuleni kwangu, nimeamua kujikongoja tena kinyonge Ku-restore vitu nilivyoibiwa.
Naanza na flat screen TV, uwezo wangu mwisho ni...
Ninatumia IDM kwa ajili ya kudownload file mbali mbali kwenye browser.....
÷Nimewasha computer nikapata notification kuwa "IDM has crushed"..
÷chakushangaza zaidi browser zote nazo hazifanyi...
Natumaini wazima,
Niende kwenye mada, simu za tecno zinadharaulika na wengi sjui kwanini.. kwa upande wangu nilinunua tablet ya tecno 8h mwaka 2015 December, asee hadi leo ipo na inapiga kazi...
Watafiti wa kiusalama (Security Researchers) Wamegundua malware inayo semekana inaendelea kukua kwa kasi sana ambayo tayari imesha ambukiza vifaa vya mikononi (mobile devices) zaidi ya milioni 5...
Nimeona ndugu yangu katumiwa SMS na airtel kuwa google playstore itafungia smartphone ambazo zinakosa neno certificate kwenye playstore setting kama inavyoonekana hapo chini naomba ufafanuzi juu...
As salaam 'alaykum warahmatullaahi wabarakaatuh
Na'am, in shaa allaah leo tutajaribu kuwekana katika hali ya usawa kuhusiana na jinsi ya kupata real views kwenye youtube channel
Amini usiamini...
Habari Wakuu
Naomba tuelimishane mambo kadhaa kuhusu huu mfumo wa nishati inayotumia upepo (Wind turbine energy system).
1. Mahitaji/vifaa gani hasa (muhimu) vinavyohitajika ktk mfumo huu.
2. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.