Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Za kutwa. Nina shida moja..sim yangu note 5 ina tatzo la network. Yan line inaonekana inasoma bt functions za sim hazikubal(like message.kucall etc).nishapeleka kwa mafund na vodacom bt wamechemka
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Naombeni msaada wenu njia ya ku-upgrade firmware,je bila laptop inawezekana?au internate cafe inawezekana? Naombeni mnisaidie
0 Reactions
6 Replies
2K Views
whether you a developer, a digital bussness enterprenuer, an e-commerce bussness or you are simply looking to use mobile money to ease payment management in your bussness ,the Tigo Pesa API's are...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
nimeona website kama ya wasafi.com inatumika kununulia mziki online, je hatuwezi kuwa na kitu kama hicho kwa vitabu? nina kakitabu kananisumbua sana kuuza. na pia bongo kuna waandishi wengi sana...
3 Reactions
13 Replies
7K Views
Naombeni mnisaidie nataka kuroot simu tajwa hapo juu.Nimejaribu Kwa king root imegoma.
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Wadau nauliza kati ya playststion3 na xbox360 nani mkali?wasilisha maoni yako kama ulishawahi kuzicheza game hizo,halafu mwisho wa yote tunamtangaza mshindi.
0 Reactions
40 Replies
48K Views
KAMA KUNA MWENYE VPN NAOMBA ANITUMIE
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Usirogwe Kujiunga na Kifurushi cha Airtel. Utajuta kupoteza pesa mbayo ungempa Maskini angekuombea Kheri. au ni bora ununue maziwa unywe. ni bora ununue juice unywe. airtel wamekuwa wahuni wezi na...
12 Reactions
91 Replies
9K Views
Habari za jioni wakuu,nahitaji msaada wa kimawazo hapa nikichomeka flash kwenye tv yangu uwa inaonyesha kapicha kadogo sio full screen hii inatokana na nini,aina ya tv ni singsung
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wana technolojia, nilikuwa naomba kupewa muongozo zaidi katika pitapita zangu za kujifunza kuhusu utengenezaji wa simple site, iliniweze kujiongezea ujuzi, nimekutana na hizi builders...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wadau, Nina shida kwa mwenye kujua jinsi ya kutengeneza photocopy machine aina ya Canon IR2202. Nikiiwasha inaandika 'Download Mode, Please wait'. Nimejaribu kusoma mitandaoni lakini...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wataalamu kuna website flan zinasambaa kwa kasi hivi kweli unaweza earn money? mfano wake huu>>https://goo.gl/ktRsG9
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari watu wa mtandaoni kuna hii copmuter fujitsu lifebook t730 tablet screen yake imepasuka nahitaji kuibadilisha so natafuta nyingine mpya ya kubadilishia sijajua ntapata wapi maan akama hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau kuna hizi tv za sumsung zenye inbiult decoder, ukiweka antenna huwa zinaonesha channel fulan lkn tatizo lngu ni kwamba channel zinaweza kuwa zinaoonekana leo baada ya siku mbili the same...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari, Samahani, natumia simu ya Android lakini sasa najaribu kuunganisha na PC ili nipate nmtandao lakini kila nikiwasha HotSpot inajizima na haiwezi kufanya connection na PC tatizo nini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu hivi kuna uwezekano wa kuamisha IMEI moja kutoka ktk device moja kwenda nyingine? Natanguliza shukrani #ExperienceSmartLife
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Bifansi me sio pro gamer lakini kwa game hili nimetokea kulipenda sana,kutokana na kua na uhalisia wa mambo kama ya kiserikali,mipango mji n.k. Ni very additive ukilielewa na kulizoea,kwa wale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu habari za mchana!!!!!!!!! Naomba niende moja kwa moja kwenye maada husika, Kuna apps zinaweza pakua apps nyingine na ukawa una serve space kwenye simu kama iyoo parallel space sema ii app...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hosanna Higher Technologies Ltd deals with, among other things Training. We are going to Resume Our Online Live Classes Training this October. We are taking opinions of our customers as well as...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Leo microsoft wamezindua simu mpya ya nokia x2 ambayo inarun forked android version ya aosp. Simu hiyo ambayo itauzwa around 220,000(bila vat) inatumia processor ya snapdragon 200 cortex a7...
5 Reactions
27 Replies
5K Views
Back
Top Bottom