Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nawezaje kuzuia pop ups ads kwenye sim yangu.? Yaani unakuta nikitoa password litangazo linatokea kinawakati napiga sim tangazo linatokea nakereka mno. Aina ya sim Ni galaxy A5
0 Reactions
2 Replies
535 Views
Wakuu habari ya kazi, naamini mko kwenye majukumu yenu ya kila siku ili mkono uemde kinywani. Ninatumia king'amuzi cha DSTV. Tatizo nililonalo ni setting yake kupoteza connection kila mara au...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
katika ulimwengu wa technologia hasa kwa upande wa smartphone kuna vigezo muhimu kwa makampuni ya simu ili kuweza kulikamata soko,mfano mzuri ni samsung ambae namkubali sana kwenye upande wa...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Maana naona fursa nyingi ni janja janja wanakwambia utavuna free but at the end huoni matunda yake mpk nakoswa imani kwa free money without kutoka jasho ,juzi nimeona uzi wa ndugu TECH eti...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Tunafahamu kuwa Dubai ni moja ya nchi tajiri sana duniani, ambayo imepiga hatua kubwa sana kwa upande wa uchumi na teknolojia ya hali ya juu. Ni moja kati ya nchi inayokuwa kwa kasi sana...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Ningependa kufahamu kwa undani zaidi juu ya AI asanten...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Wakuu habari zenu. Naomba mnisaidie maana simu yangu ina tatizo la kutoonesha applications kwenye home screen hali inayonilazimu kuzunguka sana settings ili kulaunch app ninayo hitaji hivyo...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Salaam wanataalum humu Kama mada inavyojieleza naomba mnipe ufumbuzi wa tatizo la hii Simu yangu Natumia Viwa A4 hivi majuzi limeanza tatizo kwanza betri ikiisha kabisa haliwezi kuchajika kwa...
0 Reactions
25 Replies
5K Views
Wakuu nifundisheni jaman apo jinsi ya kuweka password ya finger print tecno W5LTE
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Jinsi ya kuweka subtitle kwenye movie,kuna movie nilikuwa na watch through desktop nika copy iliniangalie kwenye laptop. Sasa huku subtitle hazitokei and movie sio ya kingereza but subtitle ndo za...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimeokota cmu tecno w2 na inapatern nawezaje kuirestart???
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari! Kuna group ambalo nahitaji kuwa totaly pasive, ikibidi nisilione kabisa lakini nisijitoe. Ikiwezekana meseji zake nisiwe nazisikia na wala lisiwe linakuja huku juu meseji mpya zikiingia...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada wa kupiga screen short kwenye laptop ain y dell na inatumia window 8. Naomba msaada wakuu. Nawasilisha
0 Reactions
23 Replies
7K Views
  • Closed
Post in thread 'Fahamu haya kuhusu Dubai kwa upande wa Teknolojia' by nelly poul has been reported by Tanzania Tech. Reason given: Makala kwenye uzi huu imechukuliwa kwenye tovuti ya Tanzania...
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Wajuvi wa mambo naombeni msaada jinsi gani nitaweza kuji ublock whatsapp kuna mtu ameni block alafu yupo mbali siwezi kushika simu yake
0 Reactions
37 Replies
14K Views
Nina basic ya network kwa kiasi chake na network installation si tatizo kwangu, tatizo Uja hapo kwenye configuration so please kama kuna mtu ana mahali nitakapo weza hayo mafunzo haswa ya ki...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu nimebahatika kuokota smartphone Wakuu ninashida nayo wana toaje password?
2 Reactions
108 Replies
8K Views
Nimejaribu kudownload ila halifunguki. Msaada wakuu! Cc: Chief-Mkwawa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau nina samsung yangu ambayo imekuja na kimtandao cha huko mbele kinaitwa Metropcs sasa hii simu inaspot data ya wcdma/LTE but inafanya kazi kwenye gsm tu..na nikiswitch data to lte or wcdma...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu nina simu ya CAT B15 imecrush haifungui app yeyote au operation yeyote ile any thing you open ina kuja pop up "unfortunately .....has stopped " hapo kwenye ...... itataja app au syste...
0 Reactions
3 Replies
896 Views
Back
Top Bottom