Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naomba msaada kwa anae fahamu, tatizo ni kila niwashapo desktop yangu ushindwa kuwaka na badala yake uonyesha taa ya standby wakati wote.
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Naomba msaaada kufaham linki ambayo naweza kudownload file ya kuweza kuapgrade android version hii mpya ya kitkat 4.4.4
0 Reactions
7 Replies
872 Views
Naomba mnisaidie.. nina modem ya Huawei inatumia tigo 173u-1 sasa nimejalibu ku unlock imekataa.. basi naomba mnisaidie kama kuna app katika PC inaweza kuditect modem kutumia line tofauti wakati...
0 Reactions
2 Replies
614 Views
Za asubuhi, leo nmeanza siku vibaya, Nmekosea Kutuma Meseji na nmetuma Meseji na picha (nikiwa na mchepuko) kwa mke wangu, Meseji haijawa delivered na wife yupo safarini. Mwenye ushauri wa...
2 Reactions
118 Replies
17K Views
Wahenga wanasema haraka haraka haina baraka Kampuni ambayo inaongoza kwa kutoa matoleo mengi kwa muda mmoja ikifuatiwa na Techno Leo imesitisha Rasmi utengenezaji wa Samsung Galaxy Note 7 na Seven...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Leo tecno wamezindua simu ya tecno phantom 6 na tecno phantom 6 plus ya mp 21camera ya mbele
9 Reactions
205 Replies
25K Views
Habar wakuu simu yangu ya tecno M3 Kila nikitaka kuinsall app inanipa ujumbe wa insufficient storage japo SD ina free space kama 2GB Msaada tafadhali
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna a live stream recording of earth from ISS, its been on since September i think. Thought you guys might like to view it.
1 Reactions
3 Replies
607 Views
Kwa mwenyewe nayo au anaeweza nisaidie link ya kupata fuu set ya time watcher nitashukuru sana.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Napatikana UDSM . Bei 260000 iko VIZURI. Maelewano pia ni mazungumzo kama upo tayari ni Pm
0 Reactions
5 Replies
918 Views
Imeeleza kuwa sim hizo zinatatizo katika mfumo wa injini zake ambalo hisababisha kulipuka au kuungua wakati mwingine kusababisha madhara makubwa kwa watumiaji wake. Kazi kwenu watumiaji wa Note7...
1 Reactions
10 Replies
855 Views
wakuu habari zenu.... jamani mi nna shida kama kuna mtu mwenye registration code ya data recovery ya wondershare anisaidie au kama kuna msaada mwengine wowote kuhusu data recovery naomba nipewe mi...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Natumia line ya Zantel sasan najiuliza waliona ugumu gani kuweka hiyi sim card? imeandikwa cdma. Huko cdma kuna kitu gani kipya sana wasiweke line? Hizo simu za cdma ndo zikoje wakuu? inamaana...
0 Reactions
2 Replies
766 Views
Wapi naweza ku download ngoma za mbele au hata za kibongo zenye album art ....nilizoea itemvn.com sasa naona imefungiwa....iliyopo so kama ile ya zaman
0 Reactions
0 Replies
886 Views
*Jaman ndg zng Kuna dogo kapangiwa singida medical laboratory assistant school lkn hajapata details zozote anisaidie maan online hakun*please msaada wenu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
11 October 2016 Samsung imetoa wito kwa watu wenye simu aina ya Galaxy Note 7 kuzizima mara moja huku ikifanya uchunguzi kubaini ni kwa nini simu hizo, hata zile ambazo kampuni hiyo ilikuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habarini jukwaani, Kabla sijaenda kwenye tatizo naomba kukiri kwamba Mimi ni mshamba wa Apple devices..Ila ukali wangu wote ni kwenye device zitumiazo Android OS. Kwa kama mwezi Sasa natumia...
0 Reactions
7 Replies
850 Views
Jamani kama kuna mtu kapata link ya kudownload latest version ya GBWHATSAPP (4.91) naomba aweke hapa kuna link wametoa ila inakataa http://www.gbmods.co/?p=19 Msaada kwa aliyepata link nzuri...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Vp wakuu nahitaji Ku unlock cmu yangu ya Vodafone v685.Naomba Msaada.
1 Reactions
0 Replies
474 Views
Back
Top Bottom