Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Jamani wapendwa wana JF..Natumaini mnaendelea vizuri Kiafya na kimajukumu! Mie naitwa Devj,nimependa michango,mawazo na misaada yenu kwa wahitaji na hivyo naomba kuwa mwanajamii mwenzenu katika...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mimi ni Vilora ndiyo kwanza nimejiunga hapa JF. Kabla ya yote napenda kuwasalimia wana JF wote wakubwa kwa wadogo, Mabwana na Mabibi. Wakubwa shikamoooni na wadogo habari zenu. Tafadhali nipokeeni...
0 Reactions
4 Replies
950 Views
jambo wandugu
0 Reactions
5 Replies
825 Views
mnanikaribisha?
0 Reactions
3 Replies
773 Views
Huu mtandao nimeshndwa kuutumia nimezoea twitter.hata pa kutolea mada nimekosa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni mara yangu ya kwanza kushiriki humu jukwaani kama member. Naomba mnipokee ndugu zangu.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mgeni wenu jamani!
0 Reactions
7 Replies
770 Views
Ndugu zangu wana JF; mabwana na bibi,wakubwa kwa wadogo.Naomba mniwie radhi kwa kuingia ndani ya JF;bila kubisha hodi wala kuwasalimia.Naamini mtachukulia nami katika udhaifu na kunisamehe ndugu...
0 Reactions
3 Replies
622 Views
Kichwa cha habari chahusika.
0 Reactions
8 Replies
846 Views
Wajameni na mimi nimo humu kuanzia leo
0 Reactions
8 Replies
1K Views
jamani nikaribishe ata mimi nakuja kuishi apa
0 Reactions
5 Replies
760 Views
Hello there JF members! I'm happy to join
0 Reactions
4 Replies
834 Views
hey kila mmoja humu ndani ya jamii. nawapenda mno
0 Reactions
5 Replies
823 Views
Hodi hodi vandugu. :A S-confused1:
0 Reactions
4 Replies
855 Views
hi waungwana! Mimi mgeni naomba mnipokee.
0 Reactions
6 Replies
900 Views
Jamani nilikuwa napita kama mgen ila leo nimeamua kuingia ndani naomba mnikaribishe tujadiliane pamoja
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi i'm new here
0 Reactions
5 Replies
950 Views
This forum z the most interesting one.am happy to be here.
0 Reactions
6 Replies
922 Views
aje wana jf naitwa erick nipo chuo cha mzumbe,da!nimewuakubali wadau wa jf mnatisha kwa coment zenu,mpo juu.
0 Reactions
5 Replies
846 Views
ni vigumu sana kwa watu viogozi kutambua kiogozi bora bali ni rahisi kwa watu wa kawaida kumtambua kiongozi mzuri kwaiyo ni wajibu wetu sisi kama wananchi kumtambua na kumchagua kiongozi mzuri...
0 Reactions
3 Replies
617 Views
Back
Top Bottom