Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Wakuu habari!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi wana jf
0 Reactions
3 Replies
700 Views
Nafurahi kuwa mwanachama mwenzenu mpya. Naombeni ushirikiano wenu. Thankx
0 Reactions
8 Replies
733 Views
Hi it is my first time to join JF i hope i will enjoy being a member in this forum.
0 Reactions
4 Replies
691 Views
Ni ukurasa mzuri na wa manufaa, tukaze buti wanajf.
0 Reactions
2 Replies
552 Views
Hello wandugu, Salaam. Naombeni mnisamehe kwa kuingia kimya kimya tangu 16/01/2012. Kwa kweli nakiri kuwa kwa muda huu mchache niliokuwa humu nimejifunza mengi sana kutoka kwenye jukwaa hili...
0 Reactions
8 Replies
705 Views
Wana jf nimekuwa naingia kama mgeni hapa lakini nimenogewa na kuamua kuwa mwana familia, naomba ukarimu wenu.
0 Reactions
2 Replies
622 Views
wanajamii naomba mnipokee, am also gud thinker!!
0 Reactions
3 Replies
550 Views
hodi hodi wanajukwaa. naomba mnipokee nami niwe miongoni mwa wanagreat thinkers! asante
0 Reactions
4 Replies
637 Views
Mi ni member mpya kwny hii safu ya Jf naombeni mnipokee kwa moyo mmoja na mkunjufu plizzz... Natanguliza shukurani za dhati kwa memberz wote wa Jf, Ahsante.
0 Reactions
3 Replies
579 Views
kama huna jealous, rudisha majibu!!
0 Reactions
2 Replies
650 Views
Samahanini kwa kuwa nilikosea nikawaingilia kichwakichwa bila kupiga hodi. Nimejisahihisha sasa naomba kuingia rasmi. Hodi jamvini. Nimekuwa nikifuatilia JF tangia zamani lakini nilikuwa...
0 Reactions
3 Replies
693 Views
Tafadhali nikaribisheni jamvini
0 Reactions
3 Replies
592 Views
Juzi nilipanda gari za Mwenge-Post tulivyofika Magomeni mataa Trafiki akakamata gari kisa lilipakia eneo lisilomaalum tukambiwa tuteremke imagine mda huo daladala nyingi zilikuwa top...
0 Reactions
2 Replies
637 Views
Naomba ,mnikaribishe ili na mm niwe mwana jf.hello jfffffffffffff
0 Reactions
4 Replies
790 Views
Jamani mimi mwenzenu mgeni, naomba mnipokee na kunilea vizuri wana jamii wenzangu...
0 Reactions
4 Replies
620 Views
Nimetamani kwa muda mrefu sana kuwa nanyi katika kisima hiki cha mjadala kwani nimekuwa nikifaidika sana kwa kusoma mawazo yenu.Nami sasa nimeona bora nijiunge nanyi ili niweze kutoa mchango wangu.
0 Reactions
6 Replies
755 Views
Nakuja kama chuchunge! Tafadhari nipokeeni
0 Reactions
4 Replies
683 Views
Hi jamii members, I am a new member on this forum expecting sharing more with you
0 Reactions
3 Replies
661 Views
Mimi mwenzenu mgeni naomba mnipokee na kunilea vizuri, much love to you all.
0 Reactions
8 Replies
920 Views
Back
Top Bottom