Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Nimeingia rasmi jukwaani naomba mnipokee,nilikuwa nasuburi members wafike elfu arobaini..baada ya mimi kuingia wanakuja kama laki sasa,my take..mimi simo kwenye lile kundi.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello great thinkers, naombeni mnikaribishe nami jamvini, kwani nami nahamu sana ya kuwa mmoja wa hii familia kubwa.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Romance jina langu, JF nia yangu, GT watu wangu naomba mnipokee tena binti mnyenyekevu.... Nilipigwa burn ya maisha ila nimejirekebisha... teh teh teh Kiss Kiss Kiss JF... Mwaaaaaaaaaaaah!
2 Reactions
54 Replies
6K Views
Jumanne mtoto wa mzee Kabwela naomba kukaribishwa katika jumba hili la Great thinkers.
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Second Master jamvin! Ladies & Gentlemen naruhusiwa?
0 Reactions
8 Replies
879 Views
Ukifika sehemu ngeni tafuta kwanza wenyeji wakutamburishe yaani leo yamenikuta hapa hapa jamii forum baada ya kuchanganya maada eti maada kuhusu punyeto nimeiweka katika international forum dah...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wandugu/dada, kwa heshima na taadhima nawasalimuni. Nimekuwa nikifuatalia forum hii na nimejifunza mengi. Hatimae nimeamua kujisajili rasmi kwa nia ya kubadilishana uzoefu. Naomba mnikubali kama...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
wanaJF naitwa KipakaMwitu Napenda kujiintroduce kwenu,napenda sana forum ya uchumi na mabiziness, napenda jokes na malovee section! Natembelea tembelea maeneo ya habari mkorogo!,na kutia nanga...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wa Kina Kaka na Kina Dada Wakubwa na Wadogo Mie naomba kukaribia Jamvini japo niliingia kwa kupita Dirisha la Nyuma kama Bus la Mbagala nikaja kuona kuna sehemu ya kujitambulisha...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
mimi mgeni humu naomba mnipokee mchana mwema
0 Reactions
11 Replies
986 Views
Ukifika sehemu ngeni tafuta kwanza wenyeji wakutamburishe yaani leo yamenikuta hapa hapa jamii forum baada ya kuchanganya maada eti maada kuhusu punyeto nimeiweka katika international forum dah...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
CHADEMA THE PEOPLES CHOICE'. How are u people makamanda wenzangu, am i invited to join the fight to over take the existance?
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndo mara yangu ya kwanza najiunaga na JF,wenyeji mnipokee na mnipe taratibu za mtandao huu.Asanteni.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Habali zenu wakuu mimi apa ni mgeni naomba mnipokee ili tuweze kubadilishana mawazo na kuwaenzi viongozi wetu pipozzzzzz.................
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Mimi ni mgeni kwenye forum hii, naomba mnipokee.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
I am a true revolutionist who believes in the right of free speech and freedom of expression. Especially the freedom to obtain information which is essential for intellectual growth.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hodi Hodi jamvini, Naomba Nipokeeni, Pamweni Nijiungeni, Nipate Kujifunzeni. Mara nyingi nlitembelea, Maoni nkajisomea, Jukwaa nkajipendea, Maamuzi nimefikia. Majukwaa mefuatilia, Yote...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hodini wataalam,nnekuja na mie kunusanusa na kupata na kushiriki khabari moto moto. Nnesikia JF mtandawo kiboko kwa habari,maoni nk Bandugu nakaribia
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hehehe am having a fingerwaves .hamyambo lakini?this is another New kid on the block.HALELUUUYA.,.Hope we gonna have some funny heluuu.
0 Reactions
5 Replies
978 Views
Napiga hodi wakuu wa jamvi hili.
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Back
Top Bottom