Nimeingia rasmi jukwaani naomba mnipokee,nilikuwa nasuburi members wafike elfu arobaini..baada ya mimi kuingia wanakuja kama laki sasa,my take..mimi simo kwenye lile kundi.
Romance jina langu, JF nia yangu, GT watu wangu naomba mnipokee tena binti mnyenyekevu....
Nilipigwa burn ya maisha ila nimejirekebisha... teh teh teh
Kiss Kiss Kiss JF... Mwaaaaaaaaaaaah!
Ukifika sehemu ngeni tafuta kwanza wenyeji wakutamburishe yaani leo yamenikuta hapa hapa jamii forum baada ya kuchanganya maada eti maada kuhusu punyeto nimeiweka katika international forum dah...
Wandugu/dada, kwa heshima na taadhima nawasalimuni. Nimekuwa nikifuatalia forum hii na nimejifunza mengi. Hatimae nimeamua kujisajili rasmi kwa nia ya kubadilishana uzoefu. Naomba mnikubali kama...
wanaJF naitwa KipakaMwitu Napenda kujiintroduce kwenu,napenda sana forum ya uchumi na mabiziness, napenda jokes na malovee section! Natembelea tembelea maeneo ya habari mkorogo!,na kutia nanga...
Habari zenu wa Kina Kaka na Kina Dada Wakubwa na Wadogo Mie naomba kukaribia Jamvini japo niliingia kwa kupita Dirisha la Nyuma kama Bus la Mbagala nikaja kuona kuna sehemu ya kujitambulisha...
Ukifika sehemu ngeni tafuta kwanza wenyeji wakutamburishe yaani leo yamenikuta hapa hapa jamii forum baada ya kuchanganya maada eti maada kuhusu punyeto nimeiweka katika international forum dah...
I am a true revolutionist who believes in the right of free speech and freedom of expression. Especially the freedom to obtain information which is essential for intellectual growth.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.