Ebana wanajamvi inakuwaje?
Yani wameshinda uchaguzi Uingereza yani hata masaa 24 hayajaisha waziri mkuu kashafuta mpango wa kupeleka wakimbizi Rwanda.
Mara taifa la Palestina litambuliwe na kuwepo kwa cease fire.
Waziri wa mambo ya nje kashaenda Brussels na Ujerumani kukutana na mawaziri wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.