Down Syndrome ni tatizo la kijenetiki linalotokana na uwepo wa kromosomu za ziada katika vinasaba vya urithi (DNA) vya Binadamu.
Tatizo hili husababisha mwonekano tofauti wa uso, ulemavu wa kiakili na ucheleweshaji wa ukuaji. Pia, baadhi ya watoto huzaliwa wakiwa na masikio madogo, shingo fupi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.