Sasa ni rasmi kwamba Mifumo ya Uchaguzi Tanzania imeparalysis.
Mfano:
CCM ni chama kinachotawala( Chama cha Mapinduzi)
Mchengerwa ni Mpiga kura wa CCM, Mwanachama wa CCM na Mbunge wa CCM lakini ndo anasimamia Uchaguzi ambao CCM inagombea na vyama vingine. Aibu sanaa..
Mchengerwa ni Mkwe wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.