Wakuu Mr. Price yamewashinda kwa mara nyingine tena, wanafunga duka moja kwa moja.
Pia soma: Nakumat yainunua Shoprite Tanzania
Mazingira ya biashara bongo ni magumu sana au wenyewe ndio ndio wazinguaji?
Ilianza Shoprite wakabwaga manyanga, Game ikaangukia pua na sasa Mr. Price wamebwanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.