Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
habari wapemdwa mimi ni kjana wa miaka 20 napenda kufanya music production na kumake beats za aina tofauti za mziki bado najifunza ndo nina miezi 2 tu hapa hebu sikiliza kama naweza au niongeze...
5 Reactions
94 Replies
34K Views
jamani hii cartoon ya super man inayokuja kwa sasa inachochea ushoga kwenye cartoon,dc comics wameona cartoon yao inapendwa sana world wide kwa hiyo wameamua kwa sasa kutangaza ushoga live kupitia...
0 Reactions
74 Replies
5K Views
Kama unapenda series kali zisizo na mbwembwe za hovyo hovyo basi fanya kuitafuta hii series ya Ki-British inayoitwa 'Suspicion'. Kabla sijakupa premise yake nataka nikupe sifa zake mapema ili...
7 Reactions
11 Replies
1K Views
Hello wakuu, mara nyingi wasanii wanaohit ndio tunaamini wanajua, kumbe wengine wanabebwa na labels, marketing, algorithms, nk. Nk. Makampuni kama Universal, Sony, nk. Nk. Yanaweza kupush mimbo...
0 Reactions
8 Replies
985 Views
The Woman King - Official Trailer Bow down to the most exceptional female warrior to ever live The Woman King is the remarkable story of the Agojie, the all-female unit of warriors who protected...
4 Reactions
30 Replies
2K Views
Leonard Mbotella Leonard "Mambo“ Mbotela ni mtangazaji mashuhuri wa redio nchini Kenya. Amejulikana kote nchini kutokana na huduma yake ya zaidi ya miaka 40 tangu 1964. Alikuwa mtangazaji wa...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna wakati mwingine kuna baadhi ya game zipo kwasababu ya kukupotezea muda wako Nyingine zipo ili kukomaza akili yako juu ya mambo mbalimbali Ila hii game ya megapolis ni elimu tosha juu ya...
0 Reactions
4 Replies
588 Views
RIWAYA: MAUAJI YA KASISI MTUNZI: richard MWAMBE Simu: +255 766 974865 UTANGULIZI MAUAJI YA KASISI © Richard Richard Mwambe Ni kizaazaa katika jiji la Nairobi, Kasisi wa kanisa katoliki anauawa...
6 Reactions
70 Replies
20K Views
Basi bhana kunasiku nilikuwa nimetoka shule. Nimwezi wa kumi na tumemaliza kidato cha nne na nilikuwa na raha sana. Basi bhana kufika Moshi Mjini nilikuwa na dada alikuja na taxi tukatuwa Moshi...
1 Reactions
10 Replies
666 Views
Habari wapendwa, Leo nimekuja upande huu kwa ndugu zangu wafuatiliaji wa Bollywood au tasnia ya sinema india. Nimekuja na list ya mastaa bora wa filamu kwa muda wote pale india kaskazini, ambapo...
8 Reactions
95 Replies
6K Views
Habari zenu... Nimejikuta nimedondokea ktk instagram trends na kukuta kuna huyu mmasai wa tanzania anaitwa Kili Paul na mdogo wake wa kike Neema... Wamekua maarufu sana ktk mitandao ya kijamii...
8 Reactions
19 Replies
3K Views
Hizi ndio kwaya bora kabisa kuwahi kutokea nchini. Vigezo vilivyotumika: 1. Kuimba nyimbo zenye msingi katika neno la Mungu. 2. Ujuzi katika upigaji vyombo vya muziki na sauti. 3. Nyimbo...
6 Reactions
43 Replies
6K Views
Harmonize anakwama wapi? Hivii mnadhan kwanini CHEED na KILLY wamejitoa Konde Gang?
0 Reactions
2 Replies
290 Views
SUMAYA FATE OF LOVE SEHEMU YA PILI Lakini alijitahidi asioneshe hilo kwa Mama yake lakini damu ni nzito kuliko maji Zuleya aliitambua vema hali aliyonayo Sumaya nae alificha hilo mpaka...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Fortico security walimtambua kama Patrick Hill kwenye kazi zilizohitaji usafirishaji wa fedha, aliajiriwa yeye kama mmoja wa wasindikizaji hao. Kanuni ndogo tu, unafanyiwa mazoezi ya matumizi ya...
13 Reactions
20 Replies
3K Views
Hapo kale paliondoka ndugu wawili, mmoja ana mke, mmoja hana, wakakaa. Yule asiye na mke, akamwambia mwenziwe, “Nimejua, hapana mke awezaye kusitiri neno. Kama hujui mjaribie mke, wako.”...
0 Reactions
3 Replies
551 Views
Ngoma inavyoaanza unamsikia Sugu akisema kuwa hii anaitoa kwa mwanafunzi aitwaye Michael Sukupia wa Iyunga aliyefia mikononi mwa polisi. Ila wengi hatujui stori zaidi na kiundani kuhusiana na kisa...
2 Reactions
7 Replies
3K Views
Enyi watu makini wa JF, Nimeamka nimekutana na ujumbe wa produza ambaye ni jamaa yangu ya kuniomba nimuunge mkono huyu bwana. Nimemsikiliza lakini bahati mbaya sina sikio zuri la kutambua kipaji...
0 Reactions
5 Replies
522 Views
Kama ww ni mfatiliaji wa series za Korea bas hutapinga kuhusu hili kua IRIS ndio sereis bora ya kipelelez nchini Korea. Hii series ndio ilikua series iliotumia budget kubwa mpka pale series kama...
6 Reactions
57 Replies
10K Views
Aliiimba Hamza Kalala sikumbuki kama alikuwa na Bantu Group au peke yake. Anasema eeeh eehe eehh kasimbagho, kabhuka. Mka mkamwana mkalole kasimbagho. Mwenye huu wimbo please aubandike hapa...
2 Reactions
1 Replies
405 Views
Back
Top Bottom