Ila nikikumbuka hizi nyimbo nafurahi Ila Kuna mda napata huzuni Kuna watu tulikua tunaimba nao sasa hivi ni marehemu time flies
Wachuja nafaka yaleo Kali
Hardman-tamala
Adili ft Domo kaya pekee...
Mwandishi wa kitabu: Peter Charlz
Mchoraji: Peter Charlz
Instagram / Twitter / Facebook: petercharlz255
Email: petercharlz255@gmail.com
Shukrani za dhati kwa kila alieshiriki kuandaa kitabu hiki...
Mtunzi Nyemo Chilongani sehemu ya 01
SEHEMU YA 01
Mvua kubwa ilikuwa ikinyesha, mitaro midogo ikaanza kujaa maji huku baridi likianza kupiga kwa nguvu ndani ya jiji la Dar es Salaam...
Verse 01:
Kipyenga kimelia Mambo Magumu/
Mithili ya Sumu/
Uchungu na maumivu ambayo huwezi kuvumilia/
Kaa tulia/
Futa machozi msela inatusumbua hela/
Hatuna hata kitu kidogo Cha kupeleka...
Habari wana JF..
katika kipindi cha hivi karibuni kama miaka 5 au 6 nyuma kwa wale wafatiliaji wa entertainment hizi mbili muhimu kwa nchi ya marekani nazungumzia muziki na movie wamenotice kua...
Hizi nyimbo wanatoa wakina HARMONIZE (HIGH SCHOOL), IBRA (THE KING OF NEW SCHOOL) .kwa upande wangu ni mkusanyiko wa nyimbo kali tu. na sio album.
yale maneno ya ROMA MKATOLIKI kwenye nyimbo...
Pharoah Sanders, mpiga saxophone wa Jazz wa Marekani, amefariki akiwa na umri wa miaka 81. Habari hizo zilithibitishwa na lebo ya Sanders, Luaka Bop, kwenye Twitter.
"Tumesikitika kushiriki...
RIWAYA: BARUA KUTOKA JELA.
MTUNZI: IBRAHIM GAMA
SEHEMU YA KWANZA
Ilikuwa ni Jumapili moja tulivu, majira ya asubuhi. Gereza la keko lilikuwa katika pilikapilika, kama ilivyo kawaida yake katika...
Msanii mzuri utamjua katika kuandika nyimbo zenye maadili na zinazokubalika tu.
Hawa sijui amelowa, mara imwagie ndani hawana lolote there are there only to make money infact sio wasanii wazuri...
Wakubwa heshima kwenu,wadogo asante[emoji120]
Leo nlikuwa natazama kipindi cha 'the story book' ambapo mada ya leo ilikuwa ina wahusu kabila fulani kule Africa magharibi,kabila hilo inasemekana...
Msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu, amesema anamshukuru Mungu kwa kumtendea muujiza, kwani mambo yake hivi sasa yanaenda vizuri.
“Nafurahi mno mwezi huu, kwa sababu baadhi ya vitu vyangu...
Ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na rafiki yangu kipenzi aitwaje Mayasa alifurahi kuniona nami pia tuliongea mengi sana pia ila akanisimulia hali yake ya ndoa "
Mayasa: MAYANGA nimefurahi...
Kizungumkuti!
Na Bishop Hiluka
“Hii ni trela tu, picha kamili keshokutwa! Hakyamungu keshokutwa hakai mtu hapa… mi naapa! Nitakunywa na nitatembea uchi ukumbi mzima kama mademu wakinimaindi poa...
Habari wana jamvi...
Kama kichwa kinavyosema hapo juu...
Nilikuwa naomba mwenye PDF ya Kitabu cha JORAM KIANGO LAZIMA UJE au kwa jina lingine lolote...
Kuna movie moja nakumbuka niliiona ya...
The world's oldest female bodybuilder wakes up every day at 02:30 to fit in a 10 mile (16km) run before hitting the gym.
But 75-year-old Ernestine Shepherd insists that "age is nothing...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.