Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Juzi Ijumaa nilibahatika nikawa Dodoma, kichwa kilikuwa kimechokaaa kwasababu nilienda Dodoma msibani, pia homa kali ilinianza ghafla, nikaazimia moyoni leo naenda kulala kanisani. yalipita magari...
9 Reactions
19 Replies
3K Views
Ukiskiliza EP ya Rayvanny nyimbo zote ni kali na hakuna ngoma utaskip zote ziko poa na utatamani kuskiliza tena na tena. Rayvanny alitulia sana alivyoandika hizi ngoma mashairi yamenyooka kama...
7 Reactions
57 Replies
6K Views
Hivi huyu The Notorious BIG kwenye wimbo wa I got a story tell alikuwa anamzungumzia nani? Nimejaribu kuelewa anachozungumzia lakini wapi but kuna watu wanasema ni True Story. Wataalam wa Hiphop...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Mimi ni chizi muziki napenda kila aina ya muziki najua mziki mzuri na mbaya. Tukianza na ushabiki mimi ni timu Diamond Yani Simba namkubali kindaki ndaki ata akifanyaga upuuzi huwa naona sawa...
4 Reactions
36 Replies
7K Views
American Top 40 with Ryan Seacrest
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Either him or whoever did that ni mwehu kweli. Nimecheki The Oval ya jamaa hadi episodes zilipoishia. Kiukweli huwezi tazama ile tamthilia na familia japo ni nzuri sana. Sasa kinachonishangaza...
7 Reactions
10 Replies
2K Views
Dar es Salaam, 18/11/2021; -NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Kayumba Asosie almaarufu 'Kayumba' ameachia rasmi Extended Playlist (EP) yake ya kwanza iliyobeba jina la ‘Sweet Pain’. EP hiyo imebeba...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Haya ni maneno aliyoyatamka Linda, binti wa pekee kwa wazazi wake. Baba yake alikua mlinzi wa majengo ya serikali kwa miaka mingi. Mama yake alikua mama wa nyumbani aliyejishughulisha na...
5 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimekaa nikisubiri trela la pili la Spiderman: No Way Home kuletwa kwa Youtube leo hii. Wakati huohuo nikawa najiuliza kwa sababu gani watu wanasumbua sana vichwa vyao kujua ni Spiderman gani...
3 Reactions
3 Replies
1K Views
Stori za muziki. Kwenye album ya Titanic yake JB Mpiana ya mwaka 1997 na Band yake ya Wenge BCBG Les Anges Adorables; kuna wimbo uitwao Baracuda. Katika wimbo huu namba tatu kwenye album hiyo...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Trailer imetoka haijafika 24 Hrs tayari kuna viewers zaidi ya 31M which is not common kwa movie trailer. Inaonesha kiasi movie ilivyo special Spiderman ni superhero comic character pekee...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
Na nitasimama tena, si ndotoni hadharani Na mtaniona mchana, sio usiku gizani Mtaona ninayonena, kutoka kwangu kinywani Na nitasimama tena, si ndotoni hadharani Kwa akili nayasema, sijawa...
1 Reactions
1 Replies
434 Views
Album imetoka leo tayari ikiwa na nyimbo 20 inapatikana kwenye platform zote, album ni kali sana.
1 Reactions
32 Replies
5K Views
"we are going to die soon so i need to know how it feels like ,,i can't die virgin" By Arya Stack Muda huo white walkers wako kwenye njia yao wana kuna na winter hii apa!.. Idea ya kwanza kabisa...
6 Reactions
13 Replies
1K Views
Huyu mwamba ni habari nyingine mazeee Ana mistari matata sana, kwenye hii sanaaa Leo nagusia sehemu ndogo sana ya mistari yake kwenye track mpya ya pamoja kutoka weusi (mbuppu) Pia nitaonyesha...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu habari za jioni, unaweza kunambia ukubwa wa msanii unapimwa kwa umaarufu wake na wingi wa viewers YouTube au kuna kigezo gani ambacho wewe unaweza kitumia ukasema huyu msanii ni mkubwa? Je...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndo Godfather wa Bongo flava. Hizi ndo midundo 5 bora toka kwa P-funky; 1. Mikasi - Ngwair 2. Joanita - Pingu na Deso 3. Cheza kwa step - Jay moe 4. Bongo.com - TNG Squad 5. Mwanza mwanza - Fid q...
2 Reactions
183 Replies
58K Views
Inazungumzia muuaji anayeua wanawake wenye nywele ndefu
1 Reactions
8 Replies
729 Views
Francois Luambo Makiadi Introduction Franco was for 30 plus years Africa's most popular and influential musician. For 30 years He thoroughly dominated the music charts all over Africa while...
3 Reactions
10 Replies
18K Views
Back
Top Bottom