Ukiskiliza EP ya Rayvanny nyimbo zote ni kali na hakuna ngoma utaskip zote ziko poa na utatamani kuskiliza tena na tena. Rayvanny alitulia sana alivyoandika hizi ngoma mashairi yamenyooka kama...
Hivi huyu The Notorious BIG kwenye wimbo wa I got a story tell alikuwa anamzungumzia nani?
Nimejaribu kuelewa anachozungumzia lakini wapi but kuna watu wanasema ni True Story.
Wataalam wa Hiphop...
Mimi ni chizi muziki napenda kila aina ya muziki najua mziki mzuri na mbaya.
Tukianza na ushabiki mimi ni timu Diamond
Yani Simba namkubali kindaki ndaki ata akifanyaga upuuzi huwa naona sawa...
Either him or whoever did that ni mwehu kweli. Nimecheki The Oval ya jamaa hadi episodes zilipoishia. Kiukweli huwezi tazama ile tamthilia na familia japo ni nzuri sana. Sasa kinachonishangaza...
Dar es Salaam, 18/11/2021; -NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Kayumba Asosie almaarufu 'Kayumba' ameachia rasmi Extended Playlist (EP) yake ya kwanza iliyobeba jina la ‘Sweet Pain’.
EP hiyo imebeba...
Haya ni maneno aliyoyatamka Linda, binti wa pekee kwa wazazi wake. Baba yake alikua mlinzi wa majengo ya serikali kwa miaka mingi. Mama yake alikua mama wa nyumbani aliyejishughulisha na...
Nimekaa nikisubiri trela la pili la Spiderman: No Way Home kuletwa kwa Youtube leo hii. Wakati huohuo nikawa najiuliza kwa sababu gani watu wanasumbua sana vichwa vyao kujua ni Spiderman gani...
Stori za muziki.
Kwenye album ya Titanic yake JB Mpiana ya mwaka 1997 na Band yake ya Wenge BCBG Les Anges Adorables; kuna wimbo uitwao Baracuda. Katika wimbo huu namba tatu kwenye album hiyo...
Trailer imetoka haijafika 24 Hrs tayari kuna viewers zaidi ya 31M which is not common kwa movie trailer. Inaonesha kiasi movie ilivyo special
Spiderman ni superhero comic character pekee...
Na nitasimama tena, si ndotoni hadharani
Na mtaniona mchana, sio usiku gizani
Mtaona ninayonena, kutoka kwangu kinywani
Na nitasimama tena, si ndotoni hadharani
Kwa akili nayasema, sijawa...
"we are going to die soon so i need to know how it feels like ,,i can't die virgin"
By Arya Stack
Muda huo white walkers wako kwenye njia yao wana kuna na winter hii apa!..
Idea ya kwanza kabisa...
Huyu mwamba ni habari nyingine mazeee
Ana mistari matata sana, kwenye hii sanaaa
Leo nagusia sehemu ndogo sana ya mistari yake kwenye track mpya ya pamoja kutoka weusi (mbuppu)
Pia nitaonyesha...
Wakuu habari za jioni, unaweza kunambia ukubwa wa msanii unapimwa kwa umaarufu wake na wingi wa viewers YouTube au kuna kigezo gani ambacho wewe unaweza kitumia ukasema huyu msanii ni mkubwa?
Je...
Francois Luambo Makiadi
Introduction
Franco was for 30 plus years Africa's most popular and influential musician. For 30 years He thoroughly dominated the music charts all over Africa while...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.