Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Mfalme wa muziki wa Taarab nchini na kimataifa Mzee yusuf ameamua kurudi kwenye mziki wa taarab baada ya kupumzika kwa takribani miaka 3. Sasa ameachia nyimbo mpya kabisa ambayo mwimbaji ni Mke...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Hii ngoma ni fireee.... yaan moto wa kuotea mbali kabisa... alichofanya mboso humu ni mashiiineeee.....
2 Reactions
84 Replies
18K Views
Nimeusikiliza na kutazama kazi mpya ya kings Ndombolo Kazi, nzuri ila Kiba kazi zenu mnafanya fanya tu ilimradi. Hii ngoma ni ya kuchezeka pale ilitakiwa mvunjike na hivyo viuno ngoma ni ya...
6 Reactions
25 Replies
3K Views
Mzuka wanajamvi! Nilikuwaga nausikiaga kwenye redio sana kipindi cha nyuma. Muda wote huo mimi nilidhani unaitwa 'wuu-huu' kumbe unaitwa walk of life umeimbwa na kundi flani Dire Straight...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimemisi sana hii ngoma duh!! Mwenye nayo pls anisaidie niisikilize tena na tena
3 Reactions
5 Replies
945 Views
CV yangu Umri-28 Jinsia-Me Elimu-stashahada (diploma) Kazi-Mwajiliwa serikalini Dini- Mkristo Mwonekano- Mrefu, mweusi, mwembamba kiasi Awe na sifa hizi:- Umri - (24-27) hata 28 sio mbaya...
1 Reactions
2 Replies
749 Views
Nautafuta wimbo mmoja wa enzi hizo amabo una lyrics hizi "Waniwekea fitina ninyang'anywe gari langu, Fitina mbaya, wivu ni mbaya, acha fitina weee jirani we acha'.
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Niko ndani ya club like Niko ndani ya club like, niko na chriss na mose fedha, nami na mabinti na.. DJ D-White anapiga retrack hakuna anayekaa, wote tunaruka niko club, mi na honey, tuna'dance...
2 Reactions
16 Replies
4K Views
Msanii Zuchu kaingia rasmi kwenye singeli baada ya kutamba na kibao cha sukari. Kwa habari nilizonazo huu wimbo aliyoimba na kuutoa leo ulikuwa wimbo wa Meja kunta na Msanii Zuchu kauziwa...
7 Reactions
20 Replies
4K Views
Habari za asubuhi guys.. Kuna huyu msanii almaarufu kama mirror nakumbuka miaka michache iliyopita kakimbiza sana na ngoma zake Kali na hata kwenye matamasha. Baadhi ya ngoma zake Kali na...
4 Reactions
22 Replies
5K Views
Mimi si mfuatiliaji wa karibu sana wa muziki wa bolingo lakini huwaga kuna baadhi ya wanamuziki wa Kikongo (Franco, Tabu Ley, Madilu System, Nico, Kofi Olomide, etc) huwa nawazimia sana...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Wanamuziki kwenye nyimbo zao za video wamekua wakibuhusiana wakati mademu hao si wao inasaidia nini? Unakuta nyimbo ni nzuri kusikiliza ila ukija kutazama video utamani hata watoto wako...
2 Reactions
11 Replies
949 Views
Kuna wakati bongo movie wanatengeneza movie nzuri saana mpaka unataman uiangalie mara kwa mara Kwa mfano mimi huwa napenda movie za tiny white&ringo(kamanda mstaafu,n.k) huwa siwachoki...
4 Reactions
54 Replies
7K Views
Kuna story fulani kipindi fulani niliisoma iliitwa Muwa uliozamisha meli.. yule nahodha wa meli ile alipokuwa akisafiri na miwa mitamu akaamua aonje kidogo baada ya kuonja akanogewa akaanza kula...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Mwanzoni mwa mwaka huu Kiba alifanya interview na akatutaarifu mashabiki kuwa haitafika mwezi wa Sita. Kabla hajatoa album. Lakin Sasa hivi tunaelekea July. Mambo kimya. Nini kimemsibu mfalme huyu?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Mwaka juzi kulikuwa na battle ya Mitindo huru humu jukwaani ila baadae sijui yaliishia wapi. Huu uzi ni mahususi kwa mashindano. Na kwa kila mwaka mshindi atakuwa ana be updated hapa. 2015...
39 Reactions
1K Replies
67K Views
Mwandishi: Nyemo Chilongani. 0718069269. Sehemu ya 01 “I need to see his picture,” (Ninahitaji kuiona picha yake) alisikika mwanaume mmoja kwa hasira, aliongea kwa sauti ya juu kiasi kwamba kila...
13 Reactions
149 Replies
24K Views
Habari wadau! Mimi sio mfiatiliaji sana wa muzik ila naukubali sana muzik hasa pale akili ikiwa imechoka naingia youtune kuchek video mpya ndan na nje ya nchi sasa kuna upuuzi nimegundua. Yaan...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa nyimbo za dini njooni tule kionjo hiki. Nawatakieni siku njema.
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom