Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Arnold Schwarzenegger, John Matrix starring mwenyewe...jeshi la mtu mmoja..baba jenny..anorld, umri umekimbia aisee ila bado ni legendary Icon Rae Dawn Chong, Cindy mwanadada aliyemsaidia...
4 Reactions
5 Replies
6K Views
Looking for Promotion my Debut Song at your TV and Radio. [
9 Reactions
37 Replies
2K Views
Utani pembeni, aisei huu wimbo yaani, hongera imfikie msanii na timu yote maana sio kwa ubunifu huo.
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari wakuu Poleni na majukumu ya kujenga taifa Kuna TAMASHA (Event) ninaandaa, na kuwezesha TAMASHA hili kuwa bora kama ninavyotarajia nilikua nahitaji kuomba UDHAMINI kutoka MAKAMPUNI...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Lebo ya Kondegang ilianza Rasmi mwaka 2019 ikiwa na msanii mmoja ambae ni Harmonize baadae akamsajili Ibraah. Leo nawapa mauzo ya nyimbo za Zuchu na Kondegang wote kwa Ujumla. REPORT ZA YOUTUBE NA...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Africa imenyamaza,Macho na akili zinautazama mziki wa Yemi Alade na Tiwa Savage kama Makwin wa mziki wa Afrika.. Hivi ni mimi Naefahamu Ubora wa Mwanamuziki Simi mbele ya Yemi na Tiwa??? Kuna...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Harmonize amewatumia mtoto(paula) na mama(kajala) kutrend,haiwezekani msanii kama harmonize eti atume uchi wake mtandaoni akijua kua lolote laweza tokea picha hizo zikavuja. Zilizovuja ni meseji...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
KITABU CHA KWANZA. Tafadhali pakua faili lililoambatanishwa kwenye uzi huu likiwa kwenye mfumo wa PDF
6 Reactions
14 Replies
8K Views
Habari, wapendwa. Uandishi wa riwaya na simulizi ni kazi ngumu na nyepesi kwa wakati mmoja! Ngumu kama mwandishi anatazamwaa na rundo la karatasi nyeupe huku akiwa na kalamu bila uhakika anaanzia...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Kiukweli tuache utani mbona naona kama huu wimbo unamashairi mazuri ama kwa kuwa si mchambuzi wa mziki @Ommydimpoz ulikomaa sio mhezo Oh cherie Usione nachelewa Mwenzako nafanya mipango Tupate...
1 Reactions
0 Replies
698 Views
Hivi hawa wasanii wetu hasa hizi lebo mbili kubwa Tanzania nini kina wakumba awawezi kufanya kazi bila kuwa na kiki? Ukiangalia mziki watanzania ulikuwa una kua kwa kasi kubwa sana, lakini hii...
1 Reactions
0 Replies
608 Views
A Grain of Wheat ni riwaya ya tatu na riwaya iliyojulikana zaidi ya Ngugi wa Thiong'o, mwandishi kutoka Kenya .Riwaya hii huchanganya hadithi kadhaa pamoja katika hali ya dharura nchini Kenya...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimeipenda hii movie. Inafaa kupotezea wakati. Ila sijapenda Kong kupewa kipigo cha hadi kukaribia kufa kutika kwa Godzilla. Nilifurahi kichapo walichopewa Godzilla na Kong kutika kwa...
1 Reactions
11 Replies
872 Views
Kwa yeyeote anayeijua nyimbo za taratibu za huzuni hasa kwenye msiba plzz.. Nahtaji hapa
0 Reactions
29 Replies
46K Views
Ni burdan kwa kweli kusikiliza vipindi kuanzia Joto la Asubuhi mpaka Sports Hq. Wameamua kucheza musiki wa zamani kama kukupoza hivi, yaani raha isokuwa na maelezo. Najua pana wapiga chabo...
0 Reactions
0 Replies
484 Views
Wasanii muachege kutumika vibaya aisee. Haswa nyie wachafu sijui wachafu wa nafsi na team yenu. Yaani mnapewa pesa na maagizo ya watu fulani fulani hivi mtengeneze kiki ili mutoe watu kwenye...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Hii movie inatokana na kitabu kinachoitwa Dune kilichoandikwa na Frank Albert mwaka 1965. Kitabu kimebase kwenye sayari moja inayoitwa Arakis ambapo kiungo adimu na ghali kiitwacho melange...
2 Reactions
5 Replies
775 Views
Naangalia hapa zaidi ya mara tano kila moja Guys wenzetu wapo mbali sana sana Hizi ni mfululizo wa movie zinazomuhusu captain Jack sparrow zipo tano kinachonivutia walioandika script hawa jamaa...
14 Reactions
62 Replies
5K Views
Back
Top Bottom