Kama mada tajwa isemavyo....ni Ngoma gani zilikubamba Sana zamani kipindi hiko music ulikua music kweli, binafsi me nakumbuka Ngoma moja la daz nundaz Barua, Mandojo&Domokaya Dingi, Dully Sykes...
Artist: DJ Snake & Selena Gomez
Title: Selfish Love
Genre: Pop
Label: DJ Snake Music Productions Limited/Interscope Records
Year: 2021
Nadie tiene que decírmelo
Hablas con otra que no soy yo
Y...
Kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata movie hii ya blacksheep affairs au kwa jina lingine inaitwa another meltdown please naomba anipe au anipe muongozo nitaipataje app nyingi hii movie haipo...
Wakuu heshima popote mlipo.
Naomba mwenye kujua link ya kuipata hii movie. Naitafuta sana angalau nipozee machungu ya kuondokewa na mr prezidaaaa.
RIP JPM
Ukiachilia mbali nyimbo nyingi za maombolezo katika kipindi cha misiba pia nyimbo za faraja na kujenga tumaini jipya ambazo umezisikiliza.
Embu jaribu na hii ya DIZASTA VINA - MWANAJUA ALAFU...
Wadau nataka kujua wale tunaofuatlia mziki wa bongo fleva kuanzia miaka 2010 kurud nyuma ni wimbo gan ulioupenda na uliimbwa na msanii gani ambao hauchuji masikion mwako hadi saiz unaukubali ile...
Kwa tukio kubwa kama hili kuwa na ukimya kama huu kisanaa, hasa kwa nyimbo bora za maombolezo, Pengo aliloliacha Marehemu John Komba inaonekana kabisa halijazibika
Zifuatazo ni tovuti bora ambazo zitakuwezesha kusoma tovuti bure au kwa gharama
1. Jamiiforums
Tembelea tovuti ya Jamiiforums kisha nenda katika jukwaa la Sports & Entertainment halafu...
Habari wanajamii,
Niende moja kwa moja kwenye mada husika
Nimebahatika kuangalia vipindi kadhaa vya hii tamthilia ya slay queen ndani ya Maisha magic na nimeshangazwa sana na ukosefu wa umakini...
Haka kajamaa na crew yake very funny Sana , wakenya kwenye Commedy wametuzidi tuwe Tu wa kweli. Huyu jamaa page yake ya insta ukipitia inakuondolea stress aisee.
Wabongo now sio wabunifu kabisa...
Nimeusikiliza huu wimbo aisee kijana ameimba kwa hisia saaana.. inawezekana ukawa ndio wimbo unaoamsha sana hisia kuliko zote kwenye nyimbo za maombolezo ya msiba wa raisi wetu Magufuli.
Kuanzia...
TIPWATIPWA TETEMA... OOH TETEMA!- 1
MTUNZI: HASHIM AZIZ Hashpower7113
MWANZO
Sauti ya jogoo aliyekuwa anawika kuashiria mapambazuko ndiyo iliyonizindua kutoka kwenye usingizi mzito. Nilifumbua...
THAMANI YA MTU MWEMA, HUNG’ARA AKISHALALA!
Tenda wema nenda zako, msemo tangia enzi,
Timiza wajibu wako, kwa watu na kwa Mwenyezi,
Iache alama yako, kwa kizazi na vizazi,
Thamani ya mtu mwema...
Wengi hua tunadhani muvi za bongo tu ndio zina vitu vya hovyo. Kiukweli muvi za kizungu pia zina maujinga mengi yasiyo na uhalisia. Hivi ni kati ya vitu vya uongo na vinavyokera hasa kwenye muvi...
Kendrick Lamar amezaliwa 17 /6/ 1987 Lamar alianza kazi yake ya muziki akiwa kijana alikuwa hakifahamika kama K-Dot.
• Kendrick Lamar ni miongoni mwa rapa wafupi zaidi katika Hip-Hop, anaurefu wa...
Ni muda sasa imekuwa nilitafakari sana kuhusu hizi tamthilia za kihindi na za kichina zilizotafsiriwa kwa kiswahili. Kwakweli zimepa mashabiki wengi sana hapa nchini kwetu.
Tamthilia hizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.