Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wadau, napenda tushirikishane nyimbo ambazo kila mmoja wetu anaupenda sana, akiisikia anajisikia yupo on top of the world. Nyimbo ambayo ukiisikia moyo wako unafarijika sana, hata kama una hasira...
9 Reactions
417 Replies
78K Views
Kuna series au drama ya kikorea inaitwa The Penthouse ni moja ya drama kali sana iliyotoka hivi karibuni.Kwa sisi tunaopenda kufuatilia series au drama zinazoongelea maisha halisi yetu basi hii si...
0 Reactions
0 Replies
819 Views
Huyu Dj anapiga ngoma kali za dancehall na ragga ila anaboa anaongea muda wote hata kipindi kinakosa ladha kabisa aisee hebu mwambieni mnaomfaham aisee aache mambo ya kizamani apandanishe mangoma...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa wale wajuzi wa kwaya kura yako Kati ya 1. Nyarugusu 2. Light bearers Wapi the most singer kwaya katika wasabato
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Awiii Uwiii Awoo! ni vilio kila kona. Viiana, wazee nao, alo salama hakuna, Nchi ni maombolezo, mazikoni twapishana. Tumwendee Mungu Baba, yeye ni mwenye rehema. Awali tunakumbuka, virusi...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
MZIMU ULIOREJEA. Sehemu ya 01. Sayid Mwenny. Upepo mkali ulivuma ulioambatana na radi sambamba na mvua kubwa iliyonyesha kwa hasira katikati ya Mji wa Moshi, mkoani Kilimanjaro. Angani...
1 Reactions
49 Replies
10K Views
Ahlamalik Williams has been spotted with 61-year-old Madonna several times in recent months, including one occasion when she twerked in his lap - fuelling rumours that they are a couple. On...
6 Reactions
44 Replies
5K Views
Kiukweli mimi sikuwa mfuatiliji sana wa hizi tamthilia ila hii tamthilia imenifanya nisikose kutizama TV saa tatu usiku. Na aliyeweka sauti ya mzee Aga ndio kafanya niipende zaidi maana anampatia...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Muziki mzuri unaanzia Studio ambako recording & mixing hufanyila kisha mazishi hufanyika kwenye music system yako hapo nyumbani, bar au kwenye gari. Utajuaje kama unamiliki mziki wenye akili...
12 Reactions
40 Replies
7K Views
Habari. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kwa huu msemo uende moja kwa moja kwa Sauti Sol kwa kazi bora wanazoachia maana wana consistency nzuri ku-maintain ubora wao. Kwa sasa kuanzia...
3 Reactions
7 Replies
889 Views
Mara nyingi ninapo kaa chini, na kutafakari safari nzima ya maisha yangu, kule Mungu alikonitoa, mpaka hapa aliponifikisha, naishiwa maneno ya kumshukuru. Ndio maana hata sasa ninasema ya kwamba...
9 Reactions
36 Replies
4K Views
Hypochondria Syndrome ..huu ni ugonjwa kwa kua na hofu ya kua mgonjwa !.. Huumwi lakini muda wote unakaa unaamini unadalili za kuumwa ,,ni kama vile uambiwe ni msimu wa tetekuanga na hujawahi...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Hivi kuna mwanamuziki gani pale America anaweza kubattle na Chris Brown kwenye Hits? Yani anaweza kuwa na hits kali kumzidi Chris Brown (kwa wale wanaoimba)?
5 Reactions
111 Replies
12K Views
Najua mjini Hapa hamuwezi kushindwa kunipa maelekezo kuhusu nitakapopatia sticker sijui ndo niziite wallpaper zote na za wasanii kabisa na ikibidi na za wachezaji nibandike kwenye ukuta sehemu ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Aimelia Lias sikiliza rhumba Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
1 Reactions
4 Replies
725 Views
Afro Ngoma Band Neema by DDC Mlimani Park Wamefanya burudani kali kwa kuenzi nyimbo za muziki wa dansi wa Tanzania kama ule wimbo wa Orchestra Mlimani Park kwa jina ''Neema'' , hebu tizama video...
1 Reactions
7 Replies
8K Views
Babes..... I know we are old enough not to celebrate, but with you I don’t wait for the Valentine Day.... The smiles you always draw on my face is the memory and best gift ever received from you...
6 Reactions
92 Replies
4K Views
Anord Schwarzenegger aka commando John na Sylvester Stallone aka Rambo?! Binafsi naona wanakaribiana kiuwezo
1 Reactions
2 Replies
1K Views
USIKU WA JANUARI 20, 2005 SIMULIZI YA KWELI INNOCENT A. NDAYANSE KUNA MATUKIO MBALIMBALI YA KUFURAHISHA, KUSIKITISHA NA HATA YA KUTISHA YATOKEAYO KILA SIKU DUNIANI. KATIKA SIMULIZI HII...
4 Reactions
17 Replies
9K Views
Habari wana JF, Nimekua nikishangazwa kwa nchi yetu ya Tanzania kuangalia maudhui ya saana ya Kitanzania kwa lengo la kulinda maadili ya taifa hata heshima ya ndani na nje ya Tanzania. Lakini...
0 Reactions
4 Replies
790 Views
Back
Top Bottom