Naombeni msaada wenu wakuu.
Natafuta sana movie za Kihindi za zamani (1940s - 2000s) zenye good quality na subtitles za Kiingereza.
Nimejaribu kuzitafuta naona nakwama. Uungwana ni kuomba msaada...
Kwema humu?
Za Weekennd?
Naombeni msaada, kuna Movie nimei-download thru limetonets, sasa imekuja na lugha ya kihindi na haina subtitle, naombeni msaada jinsi ya kutafuta subtitle na kuipachika...
Zifuatazo ni tracks kumi za Notorious B.I.G ambazo kila siku nikizisikiliza hazichuji masikioni mwangu namm naburudika as if the king is still out there;
Ten Crack Commandments
Get High ft the...
Kwa wale wapenzi was soka kama mnavyojua mwaka huu kule urusi yale mambo yetu yamerejea tena.
Ningependa Uzi huu tubashiri nani atakuwa mbabe dhidi ya wenzake.
Ningependa pia tuweke na sababu...
Kwa Wale wazee wa movie.
Hebu tujuzane movie kali uliyoikubali kuanzia scenes arrangements, location, actors, scenes originality, story originality na vingine vingi.
Kwangu mimi Tangu nianze...
'hellow there................wanajamvi wote natumai ni wazima kabisa,mwenye mawasiliano na ENIKA naomba ani-check PM please nna shida nae muhimu sana kama unamfaham au ni mtu wako wa karibu...
ZA KUTWA MARAFIKI NA NDUGU ZANGU , UMUHIMU WA MALEZI YA MAMA HAYANA MFANO, NAPENDA KUCHUKUA NAFASI HII KUWATAKIA WAKINA MAMA NA WALEZI WOTE WANAOVAA UHUSIKA WA MZAZI KAMA MAMA WIKI NJEMA KWENU NA...
Zawadi bora kwa mama zetu kutoka kwa dada yetu Aunty Ezekiel (mama Cookie Iyobo)
Katika kuadhimisha siku ya mama duniani, Aunty Ezekiel amekuja na kitu kizuri kama zawadi kwa mama zetu popote...
Wakuu,,kuna background music flani ivi huwa inapigwa kwenye EATV Pale kipindi kikiwa kwa hewa afu wanaenda break asa ndo huwa inapigwa hiyo nyimbo kiduchu,,,ni ngoma flani ivi ya mbele,,, naomba...
Kweli hii dunia kutesa kwa zamu. Yanga ilokuwa inamwaga mipesa kwa usajili wa wachezaj enz hzo Tp Mazembe kashuha bongo tunaambiwa viingilio bure.
Yanga ya siku hizi ni kituko kwa...
Niwape pongezi azam media kwa hiki kipindi, ni kipindi bora kabisa na cha kuvutia, kina uhalisia kabisa wa mziki hasa wa kitanzania kipindi hicho.
Ni "live band" ya nguvu, ni pongeze UTALII BAND...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.