Vita si jambo jema hata kidogo Raisi wa 16 wa Marekani AbrahamLincoln alisema “ hakuna jambo zuri katika vita isipokuwa mwisho wake”. Tunaishi katika ulimwengu ambao ni kama uwanja wa vita hakuna...
Wakuu naamini mlikuwa na siku njema, leo nimeonelea ni vyema ku-share nanyi my all time favourite song na pia mtu mwingine yeyote anayejua wimbo mwingine wenye mahadhi haya ni vizuri kuweka hapa...
Mwanamuziki Rayvanny kutoka WCB ameachia video ya wimbo wake wa Chuma Ulete. Wimbo huo unaelezea kisa cha mapenzi ambapo mwanamke anamchuna mumewe na kutumia fedha zake kujiremba na kula na...
Mimi ni mkenya na ni vigumu kupata nyimbo za kwaya hii hata kwenye bookshop za kanisa Katoliki hapa Kenya.
Naomba vile nitapata nyimbo hizi nzuri za kwaya ya Mt. Cecilia Mwenge Dar-es-salaam
1...
Wadau wa music na entertainment hii ni thread special kwa ajili yetu, tutaweka new songs, audio&video, each music genre, hip hop, r&b, pop, african beats, bongo fleva mpk kwa Trump.....pia...
Wakuu,
Leo nimeamka nimejikuta nina hamu ya kuwasikiliza hawa jamaa "UB 40" sema nimepata nyimbo mbili tu.
**** kuna mwenye nazo anaweza kunisaidia hapa
Nanukuu :
------
Kumbukumbu yako ikoje katika kukumbuka ?
Nilikuita ili uingie ndani.
Kwa sababu kila anayeingia lazima atoke nje
Sizonje " sizo za nje"
-------
Hapa ndipo walipovishana majoho...
Pole sana Roma!
Mara ya kwanza nilikuambia Hongera, lakini leo nakwambia POLE!
wimbo wako unatuonesha kuwa unajuta kuimba Ukweli, Unajuta kusimama upande wa Watu na Unaonesha kuwa Mtindo...
Juzi kati nilikuwa nasikiliza redio nikasikia huu wimbo 'moyo mashine' nikajiuliza ni nani huyu anajua kuimba hivi. Kutafutatafuta nikaona jina Ben Pol, nishalisikia ila nikajiuliza wombo huu...
R.O.M.A MKATOLIKI, ALIVYOZAMISHWA NA KUIBUKIA ZIMBABWE.
Mtu mmoja, mtaalamu wa elimu ya fizikia, Hisabati na elimu ya anga, Bw. Archimedes wa Syracuse aliyeishi kati ya mwaka 287 - 212 Kabla ya...
Nimekuwa nikifuatilia Big Brother Africa kwa muda sasa lakini nilichokuja kugundua ni kuwa hili ni shindano moja chafu sana. Halipendezi kuingiwa na mtanzania.
Haya ni mawazo yangu binafsi...
Hii ni aina ya movie ninazozipenda.. Na hii ni movie bora saana kwangu..
So kama kuna mdau yeyote anaezifahamu movie za aina hii, naomba anidondoshee hapa ili nizichek..........
Bila ya kupoteza muda, hili song la Horace Brown limebeba ujumbe mahususi kwa vijana wa kisasa. Sisi wahenga nadhani tunakaa mbali na kutizama Ujana maji ya moto.
One for the money ("one, one...
Habari waungwana!
Nianze kwa kuwapongeza sana watunzi wa riwaya kwa kazi zao nzuri ambazo huelimisha,huonya,huhamasisha na kuburudisha jamii.Binafsi ni mpenzi wa riwaya hivyo nafurahi sana...
Sekta ya filamu imeendelea kukua kila kukicha nchini Tanzania,ambapo sasa filamu zinazotengenezwa nchini humo zinavuka anga ya kimataifa na kuonyeshwa sehemu nyingine duniani.
T Junction ni...
Kwa wapenzi wa animation film, fanya kuidownload hiyo movie imetulia si mchezo.
2017
Quality: 720p / 1080p
Language: English
Genre: Action , Adventure ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.