Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
The Boss njoo huku...
1 Reactions
21 Replies
15K Views
Wadau nadhani huu utakuwa mpambano mkali wa kali wa bongo fleva wanaofanya vizuri kibongobongo. Je, ni nani mkali kwako kati ya Aly Kiba na Ney wa Mitego? Karibu..
0 Reactions
17 Replies
11K Views
Kimewaka SOUTH AFRICA baada ya jamaa kuficha madawa na kudai yamepotea. Wazee wakazi wakafanya yao.Tevez mume wa Fatma mchina au aliyekua mume wa Isha Mashauzi. Ndio hivyo tena wadau washakata...
1 Reactions
75 Replies
26K Views
Nazungumzia wasanii wakali wote wa dancehall,reggae album zao zipo hapa kuna majina yao yamepangwa kwa alphabet afu ndani ya kila jina kuna album zake>>>>utakutana na list kama hii [DIR]...
2 Reactions
5 Replies
9K Views
Huyu jamaa anae watungia nyimbo hawa watoto atakua anamatatizo sana kama sio msela, maana nyimbo za hao madogo zimajaa mazingira ya matusi tusi na wala haziko sawa zile. Pia nikiangalia umri wa...
1 Reactions
54 Replies
10K Views
Mshindi wa Super Diva Serengeti fiesta 2014 pia anatamba na single ya ""Na Yule "" . Kipindi cha mwanzo nilihisi kama Clouds Media Group wanambeba hivi ila baada ya kumuona kwenye party...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hivi msanii gani wa Bongo fleva ambaye hata akipiga shoo bure huwezi kwenda?? Mimi kwa upande wangu ni Jafarai.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
video ili directiwa na nisher kutokana na comments za watu imeonekana kuwa bora kati ya videos za hip hop tanzania.je n kwel
0 Reactions
6 Replies
1K Views
A
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Hii nyimbo ni balaa sana kuna watu wanapewa sifa kama diamond na ally Kiba ila huyu jamaa ni kiboko balaa na anajua sana big up Belle 9
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimepata idea ya kuandika mistari na baadae kama ikiwezekana turekodi ngoma yetu inayozungumzia JamiiForums. Hapa nataka bars kadhaa kutoka kwa members tutengeneze kitu cha maana.
5 Reactions
73 Replies
6K Views
Hivi hawa kina Mzee Yusufu, khadija Kopa n.k hawaoni Kama video zao hazina quality hata kidogo, hlf Ukiangalia tuna directors wakali sana, AJ, Nisher, Khalfani, Hansscana, Pablo n.k , mashabiki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Lile kundi la mziki lilovuma miaka ya 90 na mwamzoni mwa miaka ya 2000 ECT lipo mbioni kurudi upya. Kundi hilo lililoundwa na wasanii kama King Crazy GK,AY, Mwana FA na wengineo lipo katika hatua...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
New drop,nimeipenda mashairi yake
0 Reactions
3 Replies
3K Views
https://www.youtube.com/watch?v=RB-RcX5DS5A
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Binafsi sipendezwi kabisa na huu upuuzi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii hususan instagram na facebook Ni nani aniyezifadhiri hizi timu? mnafanya kazi kwa manufaa ya nani? Hivi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu Jestina George mtanzania aneishi...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Tafadhalia naomba ambaye anaweza kunisaidia kupata hii tamthilia kwa lugha ya kkingereza , coz nimedownload baadhi ya episode but nikakuta ziko kwa llugha ya kifilipino. PLZ.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wasanii wetu wa bongo movie wamekua na majina makubwa huku wengi wao wakiwa na hali mbaya kiuchumi.Wengi wamekua wakiitupia lawama kampuni ya muhindi ya Steps kuwa ndio inayowanyonya...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Back
Top Bottom