Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
tuambiane wanajamvi muvi ipi huisahau na unaikubali mno,kwangu mimi naikubali sana DISTRICT 13,RUSH HOUR 3,HITMAN,VIVA RIVA,SHERLOCK HOLMES,KUNG.FU HUSTLE,UNDISPUTED,tupia na zako hapa
0 Reactions
123 Replies
9K Views
Nimebahatika kuipitia pitia video zilizopo katka album ya UTAMU WA YESU ya kwake rose muhando hasa hii ya utamu wa yesu,Duh humo nimekutana na mauno na michezo ya hatari mpaka nikajiuliza rose...
3 Reactions
54 Replies
26K Views
mwanamuziki wa kizazi kipya Amani Temba ‘Mh Temba’ amesema amerudishwa nyuma sana baada ya kuibiwa vifaa vya gari lake aina ya Verros na mikatamba mbalimbali ya kazi na vitu vingine vilivyokuwemo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani wakuu ndugu zangu nimeikumbuka filamu ya KIBUYU enzi hizo.Ilikuwa ikitangaza kuhus NSSF.Je naweza ipata wapi?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
http://youtu.be/OwWNU_EcKmo
0 Reactions
0 Replies
913 Views
Mpe somo mkuu huyu jamaa sio mwanachuo kabisa kwani hao viongozi wa udosso hajui ofisi zake zilipo?
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Behind Bars Crime26 Comments Another chance to see the BAFTA award winning presenter traveling to northern California to visit America's notorious San Quentin State Prison. Built in 1852, San...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wengi tunamfahamu mwanamuziki Defao kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, lakini ni wachache tunaofahamu wapi alikotokea kimuziki. Defao alianza kupata umaarufu mwanzoni mwa miaka ya 1980...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Bendi hii haijarekodi nyimbo zozote tangia album ya "supu ukitia nazi" ya mwaka 2009.mnijuze bendi hii bado ipo?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Sikuwahi kusikia wimbo wa 2030 ila leo nimeusikiliza mara 4 sijaelewa maudhui na uwezo wangu umekoma.Mbona falsafa nzto?
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani hebu naomba mwenye hii songi iliyopigwa na Les Wanyika(sina uhakika pia) anisaidie,nauzimia sana huu mwimbo..
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa ufupi 1. "2030" "leo Ridhiwani hafanani na Makongoro", kaskazini bila Tanga ni sawa na msondo bila Ngurumo, kwenye njaa kali kula kuku aliye chinjwa na Padri I love.......Tazama gongo la mboto...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
mwenye link ya kuidownload naomba anitumie
0 Reactions
0 Replies
963 Views
http://www.kabibi.com/index.php?option=com_hwdvideos hare&task=viewvideo&Itemid=106 &video_id=365
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zaiko Langa Langa wakipiga live katika studio za televisheni nchini Zaire mwaka 1975. Quality ya video hii ni ya hali ya juu sana pamoja na kwamba imerekodiwa karibu miaka 40 iliyopita. Waimbaji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni jumapili nyingine tulivu wanajamvi ndani ya mwaka 2013 ikiwa imetulia wengi wetu tukiwa nyumbani.leo nimeona si vibaya tukirudisha hisia zetu nyuma kwa kukumbuka makumbi ya starehe yaliokuwa...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Wakuu nitapata wapi kitabu cha hadithi "Adili na Nduguze"? Nafikiria kutengeneza filamu yake in 3 to 5 years from now. Nikipata kitabu cha "Kisa cha Hassan-li-Basir" nitafurahi pia. Nilivisoma...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
http://youtu.be/PmV-A2dxvUk
0 Reactions
0 Replies
750 Views
Hello friends! I search a partner for swap/selling coins of african countries. I'm a Brazilian coin colletor, and find african coins. I have interest in buy coins, and swap coins. Have a...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mi Nakumbuka Kipindi Cha Hongera RTD kilikuwa mida ya mchana wakati ndo narudi shule nikiwa STD 1,2 hivi. Nmechoka jua kali njaa ya kutosha nmechafuka ile mbaya.. Nikifika 2 ndani friji liko wapi...
1 Reactions
87 Replies
13K Views
Back
Top Bottom