ukiachilia mbali series kama 24hrs, lost, P/Break, OZ, Merline, n.k....Jamani kuna muvi series inaitwa FRINGE, Nayo ni utamu mtupu....tena kwa wanafunzi wanopenda masomo ya sayansi hapo ndo...
Leo nilikuwa nacheki Kora awards 2012 on UBC (Uganda) iliyofanyika Abidjan . Ddnt know it still exists, what happened kwa nini TV zetu hazitangazi tena Kora Awards? Nimeona nominees from TZ like...
Nitakuwa mchoyo wa fadhira nikikosa kuwapongeza startimes kwa kushirikiana na serikali yetu kutuingiza kwenye zamadigitali. Ombi langu kwenu ni moja tu, jamani boresheni QUALITY ya sauti. There...
Itakumbukwa kuwa katikati ya mwezi huu wa nane TBC kupitia Star Media Group ( Startime) waliongeza chanel ya Emannuel Tv.
Lakini baada ya muda wakaiondoa na kuweka chanel nyingine kitendo...
Wakuu nimesikia juju tu kuwa leo JB MPIANA atakuwa hapa leaders club nauliza amekuja na bend yake yote au ndo kaja tu kuuza sura mwenye habari kamili juu ya ujio huu atujuze hapa jamvini wakuu.
Habari wanandugu!
Nahitaji kufahamu ni ukumbi gani hapa mjini Dom huwa wanapiga sana Taarab? Maana nimehudhuria kumbi chache sijaona zikipigwa, au huku ni bongo fleva tu? Kama huwa zinapigwa bac...
Kwa wale ambao tunapenda kuongelea usafiri wa mabasi ya Tanzania, kero tunapokua njiani kwenye mabasi na mabasi ya kisasa na ya zamani hapa tanzania unaweza kujiunga Facebook kwenye page inaitwa...
MSANII maarufu wa filamu nchini, Sadick Kilowoko Sajuki, kwa muda mrefu amekuwa akisumbuliwa na matatizo ya kiafya hadi kupelekwa nchini India kwa matibabu.
Baada ya matibabu ya muda...
Mimi ni msikilizaji mzuri wa RFA. Nimefika hapa Iringa na kukuta katika masafa yake ya 89.9 haisikiki, nilipowauliza wenyeji wakasema haijawa hewani kwa kama wiki mbili hivi. Nauliza imekuwaje...
Personally cio fan sana wa Bongo-fleva songs cuz rhythms, dynamics na ujumbe wa hawa singers wa Bongo huwa zinajirudia sana thou cio wote.
Anyways recently nimecheck video ya Kesho-Diamond,jamaa...
Loads of movies zimekua released ds year, but this is me top 10
¤
10.The Amazing spiderman-Its a shocker ila ndo hivo hii imekua #10 cause well graphics zilikua nzuri but i expected something...
Wanabodi..
Najua tuko kwenye soko huria na bei inapangwa na watoa huduma (japo Serikali haikubali hili).. Lakini kulipa shilingi za kitanzania 128,000 kwa mwezi kwa ajili ya huduma za DSTV ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.