ITV kuanzia tarehe 25 mwezi huu watarusha tena tamthilia ya Kibrazil iitwayo SHADE OF SIN,kwaujumla wale waliopata kuiangalia ni nzuri sana. Katika tamthilia kuna majina maarufu...
Lady Jaydee ametambulisha rasmi kipindi chake kipya cha tv kitakachoitwa "Diary ya Lady Jay Dee" kitakachorushwa na kituo cha East Africa tv
MICHUZI: KIPINDI KIPYA CHA LUNINGA CHA'DIARY YA LADY...
Wakati tuhuma kwamba wasanii wa kike 'wanatumiwa' na watayarishaji wa movie za kwenye kiwanda cha filamu Bongo, ndugu zetu kule Afrika ya Magharibu wamefika huku (soma post hapa chini). Mungu...
Nimevumilia weeeh, yamenifika kooni
sasa!
You guys wa hiki kipindi mko poa, **** the fact that kipindi chenu ni copy n' paste ya Friday Night Live.
Kuna mambo yananikera, mfano Isakwisa kudai...
What are your best novels? Mine are Sheldon's MASTER OF THE GAME and THE OTHER SIDE OF MIDNIGHT, Mario Puzzo's THE GODFATHER, Jeffrey Archer's A MATTER OF HONOR. Add others.
Naomba kuuliza, hivi ni kwa nini ma dj wetu wanapenda kupromote vitu vya kijinga kama bongo fleva na kuubatiza kuwa muziki wetu? Kwa sasa karibia kila mmoja hapa Tanzania anajuwa kuwa huu muziki...
Hii muvi inaitwa CID,ni ya kibongo yani inakatisha sana tamaa hvi inamaana hua hawa jamaa hawaangalii kazi za wenzao wa nje? hadi nikaona aibu kwa maana wenzetu wa nchi zingine wakiona...
Je ni "BSS" au "RCS" - Rita Cash Search? Kama ni BSS wako wapi hao "mastaa"
waliowasearch miaka ya nyuma? Mbona "vijistaa" vyote vinavyotamba nchini havijapitia
BSS?
jaman,nisaidieni ni website gani naweza kupata movie ..hasa zile za nje zilizokua composed from novels kama vile ''great expectation'' by charles dickens..msaada please kwa wanaojua
Ameipa jina " VILLA DELPIRLO " likiwa ni jina la mwanae kipenzi ambae siku ya uzinduzi huo ilikua ni birtday yake,huu ni mfano wa kuigwa na wasanii wetu badala ya kubanana kwenye nyumba za kupanga...
Wanajamvi leo ndiyo fainali za BSS 2012,
Naona ITV wapo live, karibuni tujazane yanajiri kwa wale walio mbali na TV zao.
Mpaka sasa wajaji wote watatu wamekwisha ingia ukumbini. Mshindi katika...
wakuu naomba tujikumbushe tetesi ya mwanajf mwenzetu ambaye alitueleza kuwa mwaka huu anayeshinda ni mwanadada kutoka zanzibar.kweli JF ni zaidi ya habari tumpongeze na tujipongeze wanaJF...
Jumuiya ya watumiaji wa huduma mbalimbali nchini kupitia mitandao ya kijamii ya Facebook na Twitter imezindua rasmi shindano la kusaka kampuni zinazotoa huduma na bidhaa mbovu kwa wateja nchini...
Wanajamvi tetesi zilizopo kwa hewa ni kwamba mshindi mtarajiwa wa BSS kwa sasa atatoka zanzibar.wadau mnanaje hili. How these speculations will affect the selected members!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.