Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Tofauti na Bongo Star Search ya mwaka jana 2011, BBS ya mwaka huu naona imekosa mvuto tokea ilipoanza hadi hii leo inapokaribia kilele chake hapo tarehe 09. Nov pale katika ukumbi wa Diamond...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Steve Nyerere aliamua kumuita Hostadhi na kusoma kisomo kwaajili yakumrehemu mwanaye Waiton, lakini kikubwa ambacho alikifanya pia ni kusoma albadili kwa wasanii wenzake ili waweze kujisafisha na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hizi radio online zinasaidia sana jamii iliyo nje ya nchi na pia kwa sababu ya kukua kwa technology basi unaweza sikiliza radio kwenye simu, laptop nk. hivyo nawapongeza wamiliki wa vituo hivi kwa...
1 Reactions
21 Replies
5K Views
Unaweza ukawa unasema, Dar es salaam sikuja kuangalia maghorofa, lakinikila siku ukawa unawtiwa changa kutokana na vituko vya mji huu. Hivi hiki kizaa zaa cha mtu na mpenzi wake kugandana wakati...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wanajamii, nimekutana na ujumbe wa mwanaharakati huyu(alpha blondy). anajalibu kuelezea jinsi wanasiasa na viongozi wengine wa kidini wasivyo jali watu wao na kujali/kulinda maslahi yao. kwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naona kidogo amepewa shavu Professor Jay - Professor Jay: Tanzania
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Habari ya Jumapili wakuu. Huwa inatokea wimbo mmoja uka-stick kichwani mwako kwa siku nzima. Na huu wimbo unaupata kwa kusikiliza redio nyumbani,redio ya jirani,au unapopita ktk baa,kiosk au...
0 Reactions
38 Replies
5K Views
hiri ri songi ripya rya kijana DON KATAbazi rimenikosha jamani....waweza risikiriza hapa....kwa wapenzi wa bongo freva lakini.. Listen to Nieleze-Don Kata_(produced by mantano) on Hulkshare - Free...
0 Reactions
0 Replies
859 Views
mine is.. I carry the cross, if Virgin Mary had an abortion I'd still be carried in the chariot by stampeding horses Had to bring it back to New York I'm happy that the streets is back in New York...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Natazama miss tanzania kupitia star tv namuona le mutuz a.k.a willium malecela kaojiwa na mtangazaji wa star tv. Yafutayo ni maongezi yake. Mtangazaji: "huyu ni mjumbe wa ccm yuko hapa kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi huwa napenda hiphop sana.Niliposilikiza hii video ya Cypher 2012-Various Artists nilipatwa na mshangao.Sijui Fid Q alikuwa anafikiria nini kwenye ule mstari anaosema "Changanya ****** ili...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Tunawezaje kuwaamini majaji wa Epic Bongo Stars search hususani kuhusu upigaji wa kura. Kwa nini kusingekuwa na screen counts tuone vividly jinsi watu walivyopiga kura ngapi kwa nani. Nimehisi...
9 Reactions
68 Replies
8K Views
Jana na leo nimebahatika kumcikiliza Mwanamuztiki wa zamani na muasisi wa chama cha muziki Tanzania Mzee Kassim Mapili akizungumzia kusahauliwa kwa wanamuziki nyota wa zamani.. Akatolea mfano...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi faida ya miss tanzania ni nini? Nimejaribu kufikiri nimeshindwa Sioni faida ila naona kama ni ujanja janja wa watu wa mjini tu hapa wakiongozwa na lundenga
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Chocheeni kuni moto uwake ugali uive mnachotaka kitokee Halikeni mamruki, wakija wangojee, mikeka wawekee Wanachotaka kitokee Chochea X 8 Watanzania mwenda kwao siku zote haogopi giza Acheni...
4 Reactions
21 Replies
12K Views
I wanna dance with you. I want to lie in your arms and sway to the music. Ooh the mood is so right and the stars so bright. Problem is, who are you? Kaunga, is it you? The Boss, Asprin, Nyani...
3 Reactions
162 Replies
10K Views
Ni katika REDDS MISS TZ 2012,Taji Liundi anampisha WANNE STAR huku akimsifia kwa ngoma na nyimbo zake zenye kutangaza utamaduni wa m-tz.Mara kundi la WANNE STAR linapanda jukwaani na kuanza kupiga...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Wapi naweza pata collection ya Movie zote za James Bond, hii movie ya Skyfall imetangazwa sana mpaka imenipa hamasa ya kutafuta movie zingine za James Bond (za kuanzia miaka hiyo ya 1953 mpaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mweusi Joh Makini ameungana na wasanii wengine wa Arusha waliochukizwa na kitendo cha wasanii wa Arusha kutoshirikishwa kwenye sherehe za kulizindua jiji hilo rasmi. Joh ambaye huandika mara...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
NAMWONA Taji akitangaza. Hivi huyu jamaa ni ana mkataba kutangaza haya mashindano? kwa kweli anaboa na hayachangamshi. Anaboa, yuko stiff sana, tangu miaka nenda rudi hamna jipya ratiba ni...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom