Tofauti na Bongo Star Search ya mwaka jana 2011, BBS ya mwaka huu naona imekosa mvuto tokea ilipoanza hadi hii leo inapokaribia kilele chake hapo tarehe 09. Nov pale katika ukumbi wa Diamond...
Steve Nyerere aliamua kumuita Hostadhi na kusoma kisomo kwaajili yakumrehemu mwanaye Waiton, lakini kikubwa ambacho alikifanya pia ni kusoma albadili kwa wasanii wenzake ili waweze kujisafisha na...
Hizi radio online zinasaidia sana jamii iliyo nje ya nchi na pia kwa sababu ya kukua kwa technology basi unaweza sikiliza radio kwenye simu, laptop nk. hivyo nawapongeza wamiliki wa vituo hivi kwa...
Unaweza ukawa unasema, Dar es salaam sikuja kuangalia maghorofa, lakinikila siku ukawa unawtiwa changa kutokana na vituko vya mji huu. Hivi hiki kizaa zaa cha mtu na mpenzi wake kugandana wakati...
wanajamii, nimekutana na ujumbe wa mwanaharakati huyu(alpha blondy). anajalibu kuelezea jinsi wanasiasa na viongozi wengine wa kidini wasivyo jali watu wao na kujali/kulinda maslahi yao. kwa...
Habari ya Jumapili wakuu.
Huwa inatokea wimbo mmoja uka-stick kichwani mwako kwa siku nzima. Na huu wimbo unaupata kwa kusikiliza redio nyumbani,redio ya jirani,au unapopita ktk baa,kiosk au...
hiri ri songi ripya rya kijana DON KATAbazi rimenikosha jamani....waweza risikiriza hapa....kwa wapenzi wa bongo freva lakini.. Listen to Nieleze-Don Kata_(produced by mantano) on Hulkshare - Free...
mine is.. I carry the cross, if Virgin Mary had an abortion
I'd still be carried in the chariot by stampeding horses
Had to bring it back to New York
I'm happy that the streets is back in New York...
Natazama miss tanzania kupitia star tv namuona le mutuz a.k.a willium malecela kaojiwa na mtangazaji wa star tv.
Yafutayo ni maongezi yake.
Mtangazaji: "huyu ni mjumbe wa ccm yuko hapa kwenye...
Mimi huwa napenda hiphop sana.Niliposilikiza hii video ya Cypher 2012-Various Artists nilipatwa na mshangao.Sijui Fid Q alikuwa anafikiria nini kwenye ule mstari anaosema "Changanya ****** ili...
Tunawezaje kuwaamini majaji wa Epic Bongo Stars search hususani kuhusu upigaji wa kura. Kwa nini kusingekuwa na screen counts tuone vividly jinsi watu walivyopiga kura ngapi kwa nani. Nimehisi...
Jana na leo nimebahatika kumcikiliza Mwanamuztiki wa zamani na muasisi wa chama cha muziki Tanzania Mzee Kassim Mapili akizungumzia kusahauliwa kwa wanamuziki nyota wa zamani.. Akatolea mfano...
Hivi faida ya miss tanzania ni nini?
Nimejaribu kufikiri nimeshindwa
Sioni faida ila naona kama ni ujanja janja wa watu wa mjini tu hapa wakiongozwa na lundenga
I wanna dance with you. I want to lie in your arms and sway to the music. Ooh the mood is so right and the stars so bright.
Problem is, who are you?
Kaunga, is it you?
The Boss,
Asprin,
Nyani...
Ni katika REDDS MISS TZ 2012,Taji Liundi anampisha WANNE STAR huku akimsifia kwa ngoma na nyimbo zake zenye kutangaza utamaduni wa m-tz.Mara kundi la WANNE STAR linapanda jukwaani na kuanza kupiga...
Wapi naweza pata collection ya Movie zote za James Bond, hii movie ya Skyfall imetangazwa sana mpaka imenipa hamasa ya kutafuta movie zingine za James Bond (za kuanzia miaka hiyo ya 1953 mpaka...
Mweusi Joh Makini ameungana na wasanii wengine wa Arusha waliochukizwa na kitendo cha wasanii wa Arusha kutoshirikishwa kwenye sherehe za kulizindua jiji hilo rasmi.
Joh ambaye huandika mara...
NAMWONA Taji akitangaza. Hivi huyu jamaa ni ana mkataba kutangaza haya mashindano? kwa kweli anaboa na hayachangamshi. Anaboa, yuko stiff sana, tangu miaka nenda rudi hamna jipya ratiba ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.