Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Mbunge wa jimbo la ubungo leo katika mkutano wa hadhara Dodoma,ametoa tamko kwa Magamba,hawawezi kukaa kuzungumzia maswala ya Uniform katika taasisi za elimu,mpaka Watoe lile bango pale UKUMBI WA...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf,ningependwa kujuzwa nn kilijiri pande za london jana usiku,miss tz aliwakilisha vp taifa.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wana Jf, kuna wau wanasema eti kwa jinsi mambo yalivyo kwa sasa, hili li nchi ni kama halina Rais kwa sasa. Maana kila kitu kiko shagalabagala na hatujasikia mikakati yoyote ya kukabiliana na hali...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Nijiuliza kila kukicha? Je, Tanzania nia nchi iliyo na rasilimali nyingi kama inavyoelezewa? Kama hivyo basi, vilevile Tanznia tunajivunia utajiri wa upumbavu kwa kutoweza kuzitumia hizo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nashangazwa sana na matangazo yanayotangazwa na radio clouds fm kuhusu miaka hamsini ya uhuru,hivi hiyo pesa iliyolipia matangazo hayo ya kila mala si niyawalipa kodi masikini wa tanzania.halafu...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
mnyonge mnyongeni haki yake mpeni HAPPY BIRTH DAY NAPE
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Jamani wana jamii ninaombeni sana msaada wenu..jana jioni siku ya Jumapili maeneo ya Metropolitan karibu na Green heart restaurant kwa wale wanaofahamu Arusha nikiwa kwenye pikipiki nilivamiwa na...
1 Reactions
71 Replies
6K Views
Jeshi Wananchi la Tanzania limewakamata wanajeshi 20 toka Jamhuri ya Kidemokrasia Ya Congo walioingia nchini kinyume cha sheria. Msemaji wa Jeshi la wananchi wa Tanzania kanda ya Kigoma amesema...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mvua balaa inatarajiwa kunyesha.mbagala ishaanza hakukaliki.wale wa k/koo anzeni kuwekea alama penye mashimo ili baadae msitumbukie coz hapo patafulika ile mbaya.si mnajua mifumo ya maji taka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa Serikali inakamilisha mipango ya kuanzisha upya utaratibu wa vijana kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kwa mujibu wa sheria kama ilivyokuwa zamani. Pia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kawaida yetu tumesindikiza Miss World kwa kutolewa mapema,even kipengele cha beauty with purpose tumeshindwa while tuna matatizo mengi ya kijamii,ghana amefanya vizuri kwa kuelezea matatizo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna nyepesi nyepesi mwamba mwana wa mfalme leo atatembelea kigamboni, wakazi wa kigamboni tujuzeni ni wapi hasa anaenda? kwa lengo lipi au ndiyo mmeamua kumzawadia ardhi lile eneo la mradi ili...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jf,ningependwa kujuzwa nn kilijiri pande za london jana usiku,miss tz aliwakilisha vp taifa.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NAIBU Waziri Mkuu wa Kenya, Uhuru Kenyatta amewataka Watanzania kuiombea Jumuiya ya Afrika Mashariki ili kukabiliana na matatizo yaliyo mbele yake. Alisema bila msaada wa nguvu za Mungu ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jioni wana jf, naomba mnijuze idadi na kama ikiwezekana mnitajie maraisi waliowahi kuiongoza uganda since uhuru na jina la raisi aliyewatafutia uhuru
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Katika kuonyesha kuwa tz inapinga shingo upande juu ya agizo la London, Mwana mfalume na kidosho wake wamefika tz na leo watatembelea Kigamboni kufungua visima vya maji ambayo ni yetu lakini...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Wakuu, Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki ni Mgonjwa zaidi ya mwaka sasa. Toka Kipindi cha Kampeni alikuwa mgonjwa sana. Ni Takribani mwaka na mwezi toka uchaguzi 2010 upite. Umekuwa ni...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hbr zenu kwa mpigo, embu nisaidieni nataka niwe napata hbr za leo leo leo, nimechoshwa na hbr za mwananchi gazeti, niingie kwenye website gani?
0 Reactions
0 Replies
935 Views
Kitendo cha vyombo vya dola ambavyo ndio vyenye dhamana ya kulinda usalama na amani ktk nchi kuonekana vinatenda kazi kidhalimu,hv karibuni kulionesha kuto vumiliwa na mbunge wa Arusha mjini...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Miezi ya hivi karibuni, kampuni ya simu ya Tigo imelalamikiwa sana kutokana na tabia zao za kihuni. Wamekuwa wakiwaibia wananchi mchana kweupe, na shirika letu la TCRA kushindwa kuchukua hatua...
3 Reactions
104 Replies
9K Views
Back
Top Bottom