MLEMAVU wa ngozi aliyekatwa mkono wake wa kulia na watu wasiojulikana, Kulwa Lusana (16), amesimulia alivyojikuta akiwafukuza wavamizi hao, huku akilia na kuwaomba wamrudishie mkono wake...
hii nimeikuta juzi wakati nikiwa kwenye foleni ya kulipia bili yangu pale makao makuu ya Tanesko mjini arusha.huduma kwa wateja zilisitishwa kisa umeme umekatika.
my take;kumbe mgao unawagusa...
Wanaharakati wa haki za kibinadamu wa Dar es Salaam pengine kwa kusukumwa na uzalendo , ushabiki wa kisiasa au vyote wanaandaa maandamano ya kupinga kulipwa kwa tozo ya zaidi ya Ths. Bilioni 110...
Wadau hapa UDOM mi nashindwa kuelewa kwa nini, chuo kimefunguliwa lakini maji ni ya shida. Hivi hawa wahusika na maji hawajuwi kama chuo kimefunguliwa au mpaka vijana waanze kuimba zile nyimbo...
Kuna siku za miezi kadhaa nilipita katika barabara hiyo nikakuta BANGO limetoa ILANI kuwa hakuna ruhusa kupita eneo hili kuanzia muda wa saa 12 jioni hadi saa 12 asubuhi
kutoka eneo la ocean...
Kamati ya bunge imekutana na muendelezo wa vioja vingine baada ya kukutana na kustaajabu vya musa
huko lapf wakayaona ya firauni huko veta;leo gazeti zimepambwa na vituko vya veta ati pensheni...
Nimepita leo eneo ilipo shule yangu pendwa ya Arusha Secondary, nimekuta grader inatifua kiwanja kilichokuwa cha shule na upande mwingine kuna uzio kabisa na hata material za ujenzi zimeshamwagwa...
Hali imezidi kuwa mbaya katika kampuni ya Business Times Ltd inayochapisha magazeti ya Majira, Spoti Starehe na Business Times baada ya menejimenti ya kampuni hiyo kuwaita polisi kwa ajili ya...
Ndugu wanaJF, kwenye taarifa ya habari ya saa 3:30 usiku (October 26,2011), nilimsikia Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani (traffic police) kupitia Mlimani TV akielezea chanzo cha ajali ya Delux...
Natanguliza salam kwa members wote, hasa wazowefu wa jukwaa hili.
Leo nimeona swali langu nililete hapa ili ninufaike kwa mawazo yenu kama great thinkers.
Katika pita pita zangu nimeona picha ya...
Hellol wana JF, nimebahatika kuuona na kuusikiliza wimbo mpya wa dada yetu Mh. MB. Vicky Kamata unaoitwa Kuku wa Mfalme.Ki ukweli mwenye akili na anayetasmini kwa kikina atagundua kuwa dada yetu...
Mimi ni mmoja ya waathirika wa rushwa vyuoni,hili ni tatizo ambalo viongozi wengi wa vyuo wamekuwa wakilifumbia macho kila kukicha.
natoa mifano iliyo hai:
katika chuo cha IFM kuna baadhi ya...
Wanajf nawaombeni mtujuze yanayojiri kwenye mkutano wa IGP Mwema na wanahabari kama alivyoahidi jana. Ikumbukwe kuwa alipigwa maswali mengitu mojawapo likiwa ni hatua gani jeshi la polisi...
Mimi na amini kabisa matatizo ya kiuchumi tuliyonayo watanzania ya mesababishwa na serikali ya awamu ya tatu iliyo ongozwa na Rais mstaafu B.W Mkapa.
Kwakushindwa kuweka misingi thabiti...
Kwa muda sasa nimekua nikisikia juu juu kwamba ngorongoro,mara bustan ipo angani na pryamid uko misri zipo kati ya maajabu saba au nane ya dunia,ila sijajua vizuri nyingine ni zipi,mjuvi wa ili...
Lori lililokuwa likisafirisha mitihani ya kidato cha nne kutoka ruvuma kwenda NECTA limepata ajali baada ya kupasuka tairi muda huu hapo Bwawani. Dereva na askari wamefariki hapohapo. Mungu...
Aisee ukisoma tanzania daima unaweza jiuliza kwa nini na ninani aliemweka rais kikwete madarkani
ingawa jibu wanalo viongozi wa dini wakiongozwa na mfalme mokiwa.......
Turudi hapo juu
kamati...
Nimehudhuria kikao cha haraka cha Waandishi Habari na wawakilishi wa Asasi za kiraia, Serikali za wanafunzi wa Vyuo Vikuu, wawakilishi wa wananchi wa kawaida na wadau wengine kutangaza rasmi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.