Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Habari ya kazi wanajamvi, Naomba kuwaleteeni mawazo yangu ni jinsi gani tunaweza kumjibu waziri aliyesimama juzi na kutuambia hakuna mgao mpaka February lakini sasa ninaandika hii thread kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, Naomba kuuliza, hivi ni kweli kuna mgomo wa mafuta. Maan nasikia kwenye baadhi ya vituo vya mafuta kuna foleni. Tangu jana niliona kuna email na sms zinazunguka kuwa kutakuwa na uhaba wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Amazing facts ABOUT Gaddafi 1. There is *no electricity bill* in Libya; electricity is free for all its citizens. 2. There is *no interest on loans*, banks in Libya are state-owned and loans...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
POLISI Mkoa wa Arusha imekamata silaha 13 zikiwemo za kivita na risasi 449 zilizokuwa zikitumiwa na makabila ya Wasonjo na Wamasai katika mapigano ya kikabila hivi karibuni wilayani Ngorongoro...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ABIRIA WATEKETEA NDANI YA BASI VILIO, majonzi na mayowe jana vilitawala eneo lote la Misugusugu katika Barabara Kuu ya Dar es Salaam - Morogoro wilayani Kibaha mkoani Pwani, pale basi la...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Najiuliza kwa nini wanachi wa Libya wameamua kumuua Gaddaffi kwa kifo cha aibu??hakuna hata moja alilowatendea walibya jema?ukisoma habari katika Biblia juu utawala wa Saulo baada ya Saulo kuuwawa...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Zaid ya watu mia 1 wamepoteza maisha mjini sirte baada ya bomba la mafuta kulipuliwa,inasemekana watu hao wamekufa baada ya kuungua kabisa sosi:dw radio
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Tayari ni kijana ambaye anapata uzoefu mbalimbali wa shughuli za kichama na siasa. Naamini kwa ajili ya kuweza kuja kugombea baadaye nafasi "kubwa" nchini anahitaji kupata uzoefu wa mambo ya...
6 Reactions
148 Replies
12K Views
ni juzi tu wzr wa giza alisema megawat zimeongezeka kwenye grid ila cha ajabu mimi nipo sengerema toka juzi umeme unakatika na kurudi kama taa za disco kilicho nisukuma kuandika hili ni kutaka...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naweza sema kati ya mambo yanayomuwangusha rais kikwete ni kulipa fadhila kwa marafiki na kujifanya muungwana kuwakumbuka marafiki zake walioteseka nae jeshini..na ndio maana wakati anaingia mkuu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aiwezekani sasa ifike wakati tuseme imetosha jamani jamani story za magazeti bila kufanyia kazi atuziitaji..kamati ya bunge imefumua wizi wa billion 1.8 za lapf wakiingia mkataba na kampuni moja...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Some countries officially accept that transactions may be made in a particular foreign currency as well as their own - expl El Salvador and Panama which officially recognise the US Dollar as a...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Dawa ya vidonda vya tumbo utata DAWA ya Fiterawa inayodaiwa kutibu vidonda vya tumbo, ubora wake umezua utata baada ya Taasisi ya Utafiti wa Dawa za Asili ya Chuo Kikuu cha Muhimbili na Mkemia...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Asikwambie mtu bana tukiazimisha miaka 50 kwa anaekimbia tanzania analo jambo;kamati ya hesabu za mashirika ya umma imeiagiza kituo cha uwekezaji tanzania tic kutogusa hata sh moja sh billion 22...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
HIVI rais wangu kikwete uling'ang'ania kuingia ikulu mwaka jana mpaka wanaharakati kupigwa mabom , tukawekwa ndani katika vituo vya police halafu kitu kidogo UMEME unakushinda ?kwani kwani hili...
0 Reactions
0 Replies
959 Views
Kutokana njaa na umaskini, Watanzania wengi hauaminiki hasa inapofikia kufanya maamuzi ya kuwachagua viongozi
0 Reactions
2 Replies
732 Views
Nimepita petrol stations za BP (Mwenge), Bp (Mikocheni), Engine (Mikocheni), Total (Morrocco), BP (Upanga), Orx (Posta), Total (Akiba), BP (Fire) kote hakuna mafuta ya petrol. Imebidi nipaki gari...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mwekezaji adaiwa kuwanyanyasa wananchi Serengeti Na Mwandishi Wetu, Serengeti SERIKALI wilayani Serengeti imeombwa kufuatilia vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu, unaofanywa na askari...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msije panda gari hili. Ni bovu sana, toka saa 12 alfajiri sasa ndio tunaingia Dodoma. Limejaza sana mizigo ndani, korido haipitiki. Polisi wanaliona na tumeongea, lakini hamna hatua...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Unalipia bank unapewa kibali cha kwenda kuchukua kwa afisa mtendaji wa kijiji.kwahio unajiandikisha jina kwa mtendaji na mtendaji anaenda na list ya majina pamoja wahusika bank unasomwa jina...
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Back
Top Bottom