Wana JF poleni na majukumu
Nashindwa kuelewa kuhusu hiyo inayoitwa nyongeza ya mshahara ya mwaka huu, wataalam tusaidieni, hivi hii ni nyongeza ya kawaida ya mshahara ya kila mwaka au ni nyongeza...
Nimekuwa nikishangazwa na hili,ni kwa nini gazeti la Mwanahalisi huwa halipewi nafasi na almost formal institutions zote? kama vile vyuo(serikali na private),maktaba mbalimbali za mikoa n.k,kwy...
Naomba tuongelee maadili kidogo. Katika taasisi zetu kuna maboksi yamewekwa kwa ajili ya kuwekea condom. Kwa maana ya kwamba wanasogeza huduma karibu na watu. Inawezekana ipo maana na lengo zuri...
Are you considering yourself a failure just because you have failed to attain a goal you set to achieve?
Do you think successful people we know today never failed before? Never quit,join me in...
Picked this from somewhere, thought I should share with you:
----------------------------------------------------------------------------
I don't know what you guys are paying for petrol...
Watanzania waishio japan wameomba serikali kuharibu samaki za japan na kudai zina sumu
polen sana ahsanten kwa hilo ingwa too late wengine wameanza kupasuka miudomo na miguu siku nyingine...
Wandugu kuna wanajeshi watatu wanakamata pikipiki hapa lugalo wasio na helmet na ambao wanapita pembeni mbaya hata wakiovertake wakiwa barabarani
wanwasimamisha alafu wamewatenga wa kulia na...
Pamoja na bajeti ya kambi rasmi ya upinzani bungeni ya wizara ya mambo ya ndani ya nchi kulitaja jeshi la polisi kuwa ndio taasisi inayoongoza kwa kuomba na kupokea rushwa na changamoto...
Jana na leo magazeti yamekuwa ya kitangaza kuanza mpango wa kuuza viwanja vya Tabata Kinyerezi!
Lakini cha kushgangaza ni hizo bei! Hakika mtanzania wa kawaida kiwanja kilicho pimwa atakisikia...
Naamini hii siyo mpya wazee. Serikali yetu yaendeleza uovu dhidi ya wananchi wake. Kama kuna mtu hajaipata hii basi soma ...
Guardian on Sunda | 3rd July 2011
By Henry Muhanika
An...
Fikiria:
Ni sawasawa na kwenda mpirani halafu refa anakataza chenga zisipigwe, mashabiki wasishangilie, furaha isioneshwe na magoli yasifungwe. Na yakifungwa, mfungaji asishangilie kwa...
Ndicho pekee anachoweza kwa sasa,Hivi kaoa au ndio anakwenda kuchagua Mke jamani,hata kama ameoa,atakuwa anampango wa kuongeza,kwa hiyo anataka kwenda Kuchagua kama MSWATI!!Lakini atakuwa pia...
Ndugu wapendwa ni wiki mbili tu baada ya kuiba pikipiki sasa waheshimiwa wameamua kuiba gari <br />
gari moja imetekelezwa asbh ya leo muda si mrefu baada ya watu wasiojulikana kuiiba na kuja...
Kuna sms nimetumiwa kuwa vituo vya mafuta kesho vitagoma rasmi kuuza mafuta baada ya kupokea barua ljumaa kutoka wizara ya nishati na madini kuwaelekeza washushe bei.
Nunua mafuta ya kutosha leo.
Rwanda Civil Aviation Authority (RCAA), yesterday, honoured a police officer for his outstanding honesty after he handed to authorities a bag containing US$40, 000 (approx Rwf24m), which had...
Nimekuwa nikiona katika vipindi vya habari vya ITV watu wenye matatizo mbalimbali wanaomba misaada kutoka kwa wasamaria wema. Je ile wizara ya ustawi wa jamii ipo? Na kama ipo kazi yake ni nini?
Salaam Alyeikum
Tunakaribia kuanza mwezi mtukufu, mwezi wa toba na kumrudia Muumba, nikiwa kama Ndugu na jamaa wa karibu wa ndugu zangu waislamu nawatakia maandalizi mema na saumu njema kwenu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.