Tarehe 25 julai itakuwa ni siku ya Mashujaa,ambapo mashujaa waliomwaga damu kwa ajili ya Tanganyika yao wanaenziwa,mashujaa hawa walipinga ujio wa utawala wa wakoloni kama vile wajerumani na...
Viongozi wa Dini Wakiri Kuhusika Na Dawa za Kulevya
Viongozi sita wa madhehebu ya dini wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya nchini, wamejitokeza mbele ya Kamati ya Maadili ya...
Serikali kupitia shirika lake la umeme inawabagua wananchi wake kwa vigezo vya wenye nacho na sisi wabangaizaji, maeneo ya wakubwa mgao kiduchu lakini huku uswazini kila siku mgao, hata watu wa...
Saturday, May 8, 2010
MPIGANAJI ATHUMANI HAMISI APATA MAPOKEZI YA KISHUJAA
Mpiganaji Athumani Hamisi ambaye alikuwa matibabu sauzi kufuatia ajali ya gari mwaka jana akipokea maua toka kwa Bi...
Itakuwa vizuri tanesco na serikali ya CCM zibaidiliehse majina ya miradi yake inayoendelea hivi sasasa vijijini ma wilayani.
Badala ya kuitwa mradi ya Kusambaza Umeme iiitwe Miradi ya...
pole sio wewe hii sijui ni kaugonjwa jamani ama niwatanzania tuko wavivu atupendi kufanya kazi..nani amekwambia kubeba zege sio kazi
kuna watu wanaishi kwa kuzibua vyoo na watoto wanaenda choo...
za asbh wana jf mmeamkaje najua si woe awapendi kwenda kkanisan wengine wanafanya kazi na wengine wamejawa na mawazo bila kujua leo ni siku ya jumapili kumwabudu Bwana Mungu si mbayaa kukumbusha...
Kuna wimbi kubwa la viongozi wa kisiasa na wasomi wa kitanzania kuingizwa mjini na watu wanaojidai kutoa tiba mdala.
Imekua ni kawaida kusikia mtu anatibu na kumaliza kabisa magonjwa sugu kama...
Mhariri wa gazeti la Rai, ambaye pia ni Naibu Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006) Ltd, Danny Mwakiteleko, amefariki dunia.
Habari ambazo blogu ya Beda Msimbe, "Lukwangule Ent." alizozipata...
Wana jamvi habarini za leo.
Nilikuwa napitia financial report za kampuni ya TanzaniteOne (ambazo hazijakaguliwa bado) inayofanya shughuli za uchimbaji madini ya Tanzanite Mererani Simanjiro. Kuna...
Muda mfupi uliopita rais Jakaya Kikwete amehudhuria mazishi ya Mbunge wa kwanza wa Muleba David Bakanyoma Zimbihile(80) katika mtaa wa Bugombe kata ya Muleba akiwa na My wife wake.Kinachojadiliwa...
Naibu Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya New habari (2006) Danny Mwakitereko amepata ajali ya gari jana usiku, jijini Dar es Salaam. Amefanyiwa upasuaji wa kichwa, katika Taasisi ya mifupa Muhimbili...
Yule msanii aliyenusulika katika ajali ya 5star amepatwa na msiba mwingine baada ya mke wake kukutwa amekufa Guest house.Musiba umefanyikia kwa Baba yake Issa ambaye anaishi k/koo na maziko...
Hali ilivyo sasa ktk nchi hii nadhani sijakosea kusema yakuwa tuko vitani na adui tunaekabiliana nae ni GIZA.Wakati huu ambao adui ametuzidi nguvu kamanda wetu ameondoka kwenye uwanja mapambano na...
Kwa siku kadhaa nimekuwa nikifuatilia nyendo za rais watanzania Jakaya Mrisho Kikwete.
Mwezi huu huu alikuwa katika mji wa Bukoba kwa ajili ya kufunga maonyesho ya ushirika yaliyofanyika Bukoba...
Siku chache baada ya ccm kutangazia wanachama wake ambao wamekua wakitajwa kuhusika na vitendo vya ufisadi kwamba wanatakiwa kujiuzulu nafasi zao za chama katika muda wa siku tisini,kuna habari...
Nimejaribu kusikiliza muelekeo wa michango ya wabunge wetu,baraza la mawaziri na wadau mbalimbali kuhusiana na budget 2011/2012 napata masikitiko.miaka 50 baada ya uhuru bado tumejikita katika...
Ukifuatlia kwa umakini sana utaona kuwa viongozi wa Nchi Masikini sana duniani kama vile Tanzania (Ikumbukwe kuwa Tanzania si masikini isipokuwa ni ubinafsi wa viongozi wetu ndiyo maana tunaitwa...
Kauli hizi kwa hakika zinanikera....
I. Wakulima kuzuiwa kuuza mazao yao eti kisa huenda kukawa na uhaba mkubwa sana wa chakula baadaye! kauli hii huwa inatolewa na viongozi katika namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.