Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Vile viwanda vyetu Urafiki Textile, Ufi, Mwatex, Mutex, Natioanal Panasonic, Matsushita Electric, Kilitex nk najiuliza sana vilikufaje?? hatuwezi kuvifufua ? maana majengo yapo, naamini na hata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kamishna wa TRA ndg E. Kitilya Ng’oka? Tanzania kwa muda mrefu sasa tumejikuta tukishuhudia watendaji wa Serikali wakiwa kwenye nyadhifa kwa muda mrefu bila ufanisi na wala kubadilishwa kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Gamba limetoka ingawa kwa shinikizo ndani ya Watanzania na mchezo ya siasa za makida makida za ndani ya ccm. Yasadikika sasa mh. Rz yupo Uswisi anapumzika baada ya siasa za mchosho. Je, nikweli...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu,nimekua nikifuatilia kwa muda mrefu hizi adhabu za mahakama,lakini napata tatizo kidogo.Kwa mfano gazeti la leo la mwananchi ukurasa wa 8 wameandika habari ya Raia watatu wa China ambao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mama mmoja Nairobi anatibu meno kwa kutumia mitishamba (sio uganga). Nilimuona kwenye Citizen pamoja na wateja wake. Kikubwa sana anachokifanya ni kusafisha meno na kuwa meupe pee. Kuna watu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
  • Closed
Ivi jana ulikuwa na matatizo gan au ulikuwa unafikiria ukaweka bonge la topic eti Jf siku izi ni ze utamu_kabla hata jogoo hajawika kufuli hilo_enhe waelezee wandugu kupitia forum ulitaka...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Mjadala unaendelea hapa juu hali ya kisiasa nchini na kuyumba kwa sisiemu
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wiki iliyopita nikitokea Dar kuelekea Nairobi na ndege ya asubuhi sana (inaondoka Dar around saa kumi usiku), Kutokana na matatizo ya mawasiliano (Nairobi) ndege nyingi zilizokuwa zinaelekea huko...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
naomba mnikaribishe ndani ya JF. I)Ni mpya, niongozwe na nikikosea nisamehewe. 2)ni mdogo, sio mchanga. lkn naweza kusaidia mijadala mbali mbali
0 Reactions
7 Replies
907 Views
Nawasilisha maombi kwa yeyote mwenye nakala za hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi kwa wizara ya nishati na madini kutoka kamati ya nishati na madini na ya msemaji wa kambi ya upinzani kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sitta: Nitasema ukweli daima Send to a friend Friday, 22 July 2011 20:16 Ramadhan Semtawa WAZIRI wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Samwel...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndugu Zetu waislam wamekuwa wapambanaji wazuri sana kushinikiza akina mama/dada wavae nguo za staha! Sikuwahi kutafakari kwa kina sababu za hawa ndugu zetu kukomalia suala la mavazi ya staha kwa...
0 Reactions
55 Replies
9K Views
ni kule sauzi wanako randaranda mitaani na baba ritzi wani wakati watz wanaendelea na maisha bora kwa kila mtanzania kwa ari zaidi, kasi zaidi na nguvu zaidi. salima alijuta alipotembela kituo...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Ka nzi.. kameibukia NY na kamenitaarifu juu ya ugeni wa Sajaad A Ismail. Huyu ni nani na kuna haya yoyote ya kujua au nipuuzie?
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kuna "TRUST" imezinduliwa juzi juzi na moja ya majukumu yake ni kushughulikia madawati kwa ajili ya shule za msingi/kata. Waziri mwenye dhamana ya mambo ya nje alisema hii chenji lazima irudi na...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Mh.Nape baada ya kiini macho cha kujivua gamba kwa mbwewe CCM ilitangaza kwamba watuhumimiwa wote walipewa siku 90 kujivua magamba na kama watafanya hivyo CCM itawavua yenyewe.Lakini kauli hiyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Makamanda, Itv ipo Live now, na kipindi chao cha kipima Joto . ok Joto lipo Juu mada ni VIKAO VYA BUNGE, nafuahishwa na mgeni mwanaharakati Iron Lady mama Anania Nkya anayocoment Mfano anasema...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani naomba kuuliza vipi kuhusu viwanja vile vya burka arusha mbona halmashauri ya jiji imekaa kimya kama mnataarifa tujuzwe
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wana JF itabidi niilaumu serikali kwa kunifanya niwe mlevi kwani kila umeme unapokatika hasa usiku by saa moja najongea kwenye baa yenye umeme napiga laga zangu mpaka mida ya...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
wapendwa wanajamvi, nataka nipate kausafiri kidogo nimechoka vurugu za daladala. Kuna mtu kaniambia ataniuzia toyota PLATZ kwa sh 8mn/= Je platz ni gar nzur wapendwa na je bei ni rsonable? Pia...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom