Wananajanvi wenzangu naomben kuuliza kama hili lililonipata ni tatizo au? Takriban wiki sasa nimekua nikipatwa na kiu ya kufa mtu na kujikuta nakunywa maji mengi sana,karibia lita 3-4 kwa cku.na...
KAMA takwimu zinaweza kudanganya, kwa mujibu wa Profesa Yule, basi inawezekana kwa asilimia kubwa zimetumika kuwadanganya wananchi wa Tanzania juu ya kukua kwa uchumi ilhali hali ya kipato binafsi...
Mwaka mmoja baada ya kumaliza masomo ya chuo kikuu (UDSM) miaka ya 90 nilikutana na rafiki yangu tuliyesoma naye nikamuuliza mwezangu umeshapata kazi? akasema, tena kazi niliyonayo ni kubwa...
Sasa anatapatapa kuomba msaada wa vigogo wa CCM baada ya approach yake ya umakamba ya kusema hovyo kama aliyekunywa gongo kugonga mwamba. Wanachadema wamekuwa daima wakisimama imara kuzikabili...
Kuna habari vurugu zimetokea Manzese Tip Top kati ya vijana na polisi wakigombea maiti na inasemekana kituo cha polisi kimechomwa moto.
Tunaomba mlio Manzese mtupe undani wa tukio lenyewe.
Habari...
Wakubwa Mkuu wa kaya jana alikuwa Bukoba kufunga maonesho ya Ushirika lakini kikubwa ni kuwa ulinzi aliokuwa naop JK haujawahi kuonekana kwa marais waliotangulia Tanzania.
Kwanza wakati wa...
Siku za hivi karibuni nimekuwa nikiwaona askari jeshi (MP) wakiranda randa barabarani hasa nyakati za asubuh hapa Dari, kama askari wa kawaida.Sijaelewa wanafanya kazi ya polisi,au ya wale wa...
Hapa ndipo ninapo amini Mkapa na uhuni wake alikuwa kichwa kuliko Kikwete, rais Kikwete amekwenda Kigoma kufungua daraja baada ya muda wakalipa jina la daraja la Kikwete.
Kwa nini nasema hivi...
Kupitia Tangazo la serikali GN NO 185, 186 na 189, serikali imefanya mabadiliko kwenye ada inayolipwa na watu wanaotaka huduma ya vibali vya Makazi ( residence permits),visa, ada ya maombi ya...
Swali wana JF, Hivi kweli kama we' ni mtanzania unayefuatilia nchi yako inavyoendeshwa!, Polisi mambo wanayoifanyia jamii, je unaweza kuthibitisha kuwa Polisi ni sehemu ya jamii??
Nazikumbuka sana enzi zile, the old school dayz at Kisarawe Primary School (1978-1984). Namkumbuka Mwl Chuma, Mama Urassa, jamani muda umepita
Mko wapi wapendwa? It is 27yrs now since we...
Kamanda wa polisi mkoani mwanza amesema kuwa vurugu zilizotokea jijin mwanza ni zao la wanasiasa ambao wamekuwa wakiwashawishi wamachinga wasihame
Sosi:timez fm habari
Watanzania tumekuwa wepesi sana wa kuiga mambo mbali mbali toka sehemu nyingine aidha kwasababu tumeona katika picha au kusikia hebu soma hii taarifa huwezi kuamini kama imetokia Tanzania. Mbona...
Hapo zamani za kale palikuwa na kipindi katika RTD kikiitwa mazungumzo baada ya habari.Mojawapo ya simulizi zake ilikuwa kuhusu mzimu katika makaburi ya mabaniani.Iliaminika kuwa palikuwa na mzimu...
Wale waheshimiwa wanaotoa misaaada kwa serikali yetu wametangaza
kusitisha kutoa fedha mpaka watakapotaka kujua swala la epa linaisha lini
wamesema wamechoka naupuuzi wa nenda rudi wa wahusika wa...
Mwanamke mmoja anayesemekana ni mke wa mtu,alikuwa ametokea wa Mara willaya ya Tarime alikwenda, Mkoa wa Mwanza kwa ajili ya kuomba kufanya kazi za ndani kwa mama mmojo (majina yao yamehifadiwa)...
I sit and observe and sometimes give a hand my b.friend as he is applying for a job and man what a process. So far we have made so many applications, send letters, cv to almost all the places...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.