it is all happening between Ruvuma and Whitehouse Magogoni dsm,nimefuatilia toka anasema kauli ile kule mbinga mkoani Ruvuma nikagundua alilokuwa anataka kuliongea ni la msingi lakini vifuatavyo...
Wakuu, kesho tarehe 7 Juni 2011 vikao vya Bunge la Bajeti vinaanza ambapo waheshimiwa watakuwa na kazi ya kuijadili na kuipitisha (kama kawaida maana uthubutu wa kuikataa haupo....) bajeti...
Jamani naombeni ushauri wenu jamani wadau, nina mdogo wangu alifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidate mwaka 2010 akapata div 4 akarudia tena mwaka 2011 kapata div iii ya pnt 17...
Gazeti la Mwananchi leo limechapisha kile kilichoitwa majibu ya Ikulu kwa Maaskofu. Sehemu ya taarifa ya ikulu iliyonukuliwa na gazeti hilo inasomeka hivi:
"Mtu akikuonya kuwa nyumbani kwako...
NISIKIE TANZANIA ni open open group ambayo nimeifungua katika facebook ili tuweze kupashana habari mbalimbali papo kwa papo . kujiunga fungua www.Facebook.com kisha tafuta NISIKIE TANZANIA. WOTE...
SASA NI ZAIDI YA MIEZI SABA MAWAZIRI WANAISHI KWENYE MAHOTELI....AMBAPO GHARAMA KWA SIKU (hutegemea aina ya hoteli) NI ZAIDI YA LAKI MBILI (200,000)
PIGA LAKI MBILI MARA MIEZI SABA
NI HILO NI...
BEHIND EVERY SUCCESSFUL MAN, THERE IS A WOMAN, BUT, BEHIND EVERY SUCCESSFUL WOMAN IS THERE A MAN?
I'm a succesfull man (profesional)
But behind me theres no women yet (excluding mother) :)
Mwanaume Abakwa na Wanawake 10
Kijana mwenye umri wa miaka 17 wa nchini Papua New Guinea amelazwa hospitali akipatiwa matibabu baada ya kubakwa genge la wahuni wanawake wapatao 10.
Kwa...
For sale: Nice house, large kitchen, several thousand snakes included.
Watch the video on snakes in the house.
They say there are snake pits on Wall Street.Chase has learned there are...
IKIWA hiii ni wiki ya mwisho kodi ya pango ya nyumba alilolipia inamalizika, mwanamke aliyeripotiwa katika mtandao huu kuwa anasababisha kelele kwa wapangaji wenzake, inadaiwa anazidisha maombi...
JESHI la polisi limedaiwa kufanya tena muaji Mugumu mkoani Mara ambapo safari hii, askari wa Kituo cha Mugumu wilayani Serengeti, wamedaiwa kumuua Nyitamboka Mwita (28) kwa kumpiga risasi akiwa...
Waheshimiwa simu yangu mara kwa mara huwa inazima pale ninapopitia hoja kadhaa za wanaJF wenzangu. Ninapo click ili nione mwenzangu amesema lipi ili nichangie, simu huanza kusearch na kisha huzima...
'Dramatic' solar flare could disrupt Earth communications
By Kerry Sheridan | AFP 2 hours 48 minutes ago
This 2006 Solar and Heliospheric Observatory (SOHO) Extreme ultraviolet...
tanzania tanzania, nakupenda kwa moyo wote
nchi yangu tanzania, jina lako ni tamu sana
nilalapo nakuota wewe, niamkapo ni heri mama weeeee....
tanzania tanzania, nakupenda kwa moyo wote.
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amesema serikali yake itahakikisha ifikapo mwezi Agosti mwaka huu kila mtanzania analala ndani ya chandarua ili kuweza kupambana kuuondoa ugonjwa wa malaria nchini...
Yale mabasi TATA ya watoto wa shule siyaoni kwetu,hivi mlilenga route zipi na watoto wa shule zipi? Mlishafuatilia kuona kama kweli yanasaidia?je yana ratiba maalum au yapoyapo tu? Hebu...
Ndugu zangu wana JF ebu nisaidiene mara zote rais kikwete huwa anahudhuria kwenye kusimikwa kwa maskofu kuanziz mwezi wa tatu mpaka leo amehudhuria mara 5,ila sijawahi kumuona huku kwetu kwa...
Wadau,
Poleni na Majukumu ya siku. Tunapenda kuwatambulisha mtandao mpya kwa ajili ya Real Estate Tanzania. unapatikana myDalali - Tanzania online Real Estate Agent
karibuni nyote mtafute...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.