Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nimesikia tangazo kuwa siku ya Jumapili chama cha CUF kitafanya maandamano kuanzia ubungo hadi manzese nafikiri pamoja na mambo mengine ni kupinga hali ya ukandamizaji wa sheria kutokana na ukweli...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
African Barrick Gold plc Update on 2011/12 Tanzanian Budget The Tanzanian Minister for Finance presented the 2011/12 Budget to...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Why I love Islam: Lauren Booth defiantly explains why she is becoming a Muslim By Lauren Booth It is the most peculiar journey of my life. The carriage is warm and my fellow passengers...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Inasikitisha kuona chombo kikubwa na cha serikali kama board ya mikopo inakuwa mstari wa mbele kuchakachua wafanyakazi bila kuzingatia makubaliano yaliyosainiwa. ni jambo la busara kufanya malipo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
:fear:Mwanzoni mwa wiki hii, jamaa yetu mmoja ambaye ni mfanya biashara hapa Nzega kwa jina Kapuni .Watoto wa mjini walimwingiza mjini kwa kumuuzia dola za kimarekani zenye thamani ya Tshs Milioni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mamboz. Nimetamani kushare na kusikia kutoka kwa member yoyote atakeweza kushare nami hapa aina ya chakula apendacho kula, akiwa nyumbani, mgahawani au hata special outing (dinner) Mimi binafsi...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
MIAKA 50 YA UHURU: Watoto na wazazi wa Kijiji cha Oliipil, Loliondo mkoani Arusha wakisubiri wauguzi na madaktari kutoka Hospitali ya Wasso kwa ajili ya kliniki. Jengo linaloonekana ndiyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Humps/Bumps Why substandard in this things? mengine kama mlima mengine kama vyuma vya reli.magumu hayo! mengine marefu mengine hayana hata alama basi ukisafiri njia nzima ni kero,na yanawaste...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hili linanikera sana,wanakusimamai dirishani,ukiwapotezea kama hujawaona wananza miluzi. Ukiwa unaongea na simu bado wapo tu wanachungulia ndani.Na pia ni hatari kwe maisha yao.
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Jamani leo nimejionea mwenyewe kwa macho yangu polisi kapigwa na tofali, akadondoka chini, raia wakawa wanashabikia na wala wahakumsaidia polisi kuinuka wala kumkamata aliye mpiga. Nimeshangaa sana
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Nasikitishwa na utendaji kazi wa wafanyakazi wa shirika la Posta sehemu ya masanduku ya barua, wamekuwa na tabia sugu,mbaya na ya muda mrefu ya kufungua barua/vifurushi wanavyoweka kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
  • Closed
Nachukua nafasi hii nami nitoe yangu machache, kati ya mambo kadhaa yanayo kera ndani ya Jamiiforums. Siku za hivi karibuni limekuwa ni jambo la kawaida sana kukuta washabiki wa hivi vyama viwili...
13 Reactions
56 Replies
5K Views
This is dangerous especially for a corrupt police department like ours. Huu ni ulaji wa polisi wetu na itawaumiza wanaofanya biashara ya daladala ambao ni wabangaizaji tu
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hili gazeti la TZ Daima, habari zake kwenye mtandao zinabadilishwa baada ya siku kadhaa, ukifungua leo unakuta news za J3, Vipi? Tafadhali nendeni na wakati badilisha habari haraka. Msiwe kama...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
St marygoreti ni kati ya shule zinazo sifika kwa wanafunzi wake kufahulu vizuri nawasifu kwa hilo.ila shule hii pia imesifika kwa kuwa ya wasichana pekee hadi walipo amua kuanzisha wavulana miaka...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MSICHANA mwenye umri wa miaka 16 (jina linahifadhiwa), mkazi wa Kigogo, Luhanga, Dar es Salaam anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za 'kumbaka' mtoto wa kiume mwenye umri wa miaka mitatu. Msichana...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
1.CHUMO: child molester. a person who enjoys pounding little boys asses 2.CHUMO: Child Molester, man who enjoys pounding little boys ass' (or in rare extreme cases little girls) such...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF Usiri umewaumiza Watanzania kuanzia wakati serikali ilipotia saini kuingiza IPTL huku ikijua athari zake. Baadaye viongozi walewale waliingiza kitapeli na kuipa mkataba kampuni ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Haya hapa mhindi anasubiriwa na mabegi!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limewashikilia watuhumiwa 46 wa ujambazi ambao walikamatwa kwa makosa mbalimbali. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suileman Kova...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom