Kamati ya Zitto yatabiri kifo cha TBC
NA RICHARD MAKORE
24th May 2011
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC), imesema Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) liko...
Na Maggid Mjengwa,
INAYODAIWA kuwa tiba ya Babu wa Loliondo, badala ya kuwa msaada kwa taifa, imeanza kuonyesha madhara zaidi ya kiafya, kijamii na kiuchumi. Tuliandika kutahadharisha na...
Source: Daily Nation 31st May 2011
Tanzanian has said the Loliondo wonder herb is safe for use.
A report released by the government indicates that the concoction made by retired pastor...
msaada tafadhali wa wapi pa kuanzia,muhusika ni babu yangu alikuwa halmashauri ya wilaya ya iramba,anasema anazo document zote ingawa amezisahau singida kwani yeye tukonaye hapa dar kutokana na...
DAKTARI aliyesimamia uchunguzi wa miili ya watu wanne kati ya watano waliouawa na Polisi Mei 16, mwaka huu akiziwakilisha familia za wafiwa amedai kwamba ametumiwa ujumbe wa maandishi kwa simu...
Wazee naombeni mnisaidie kwenye hili, passport zinachukuliwa sana na wageni hasa kutoka Burundi, Rwanda, Kongo, Kenya, Nigeria, Ghana nk.
Hivi jamani mtanzania atathubutu kuuza passport ya taifa...
Wadau nimejaribu kufanya utafiti wa gari za toyota saloon...nimegundua cresta ndiyo zinaongoza kwa wingi...kila baada ya dakika mbili lazima cresta ipite
Upo usemi wa kizuri kula na ndugu yako
lakini ukipitiliza mazara yake ni makubwa sana na hiki ndicho kilichomtokea Rais wao kikwete
Pengine alikuwa na nia nzuri ya kuwatunza ndugu na marafiki...
Kilakukicha Dar es salaam kuna maghorofa yanajengwa
Ukiangalia utasema sasa hali ya nyumba dar inakuwa nzuri.
Tatizo hayo majumba hayapangiki na Mtanzania wa kawaida bei ya kodi si chini ya dola...
Redio clouds leo imedhirisha kwamba hipo kimzaamzaa kwa kuendekeza mambo ya kitoto yasiyokuwa na msingi wowote ususani ktk kumuendeleza mtanzania kifikra na kadhalika kiuchumi:
Tangu asubuhi...
Imekuwa kawaida Tangu enzi kila mvua inaponyesha hizi sehemu zinasumbua sana.
Wahusika shughulikieni hizi sehemu kunusuru ajali na usumbufu mwingi kwa madereva wanaolipia road licence.
1...
Leo nilikuwa napitia status za baadhi ya members humu ndani na kushtukia kuwa kuna idadi kubwa ya members hawana moyo wa shukrani au wana viburi na majivuno ya kutotambua michango ya wenzao...
Napenda kuchukua fursa hii kutoa angalizo wa wananchi wanaoenda ufukwe wa coco beach kwa mapumziko. kuna kundi la askari wa jeshi la polisi ambao wamekuwa wakifanya vitendo vya kiharifu na...
Kama mnakumbuka magazeti kadhaa ya jumamosi yalikuwa na habari zinazoelezea matumizi mabaya ya takribani bilioni 30 za kitanzania yaliyofanywa na mfuko wa taifa wa bima ya afya (NHIF). Fedha hizo...
kwa tabia zinazoonyeshwa na slaa na mbowe naanza kuuona mwisho wa CHADEMA, hawa jamaa wawili wanajifanya wao ni maarufu kuliko chama na zaidi wanataka kuuaminisha umma kuwa bila wao CHADEMA haipo...
Miaka miwili jela inaisha lini? Liyumba mbona haachiwi?
Au kisha fia huko lakini serikali inashindwa kutujuza?
Maana afya yake ilikuwa ni kitendawili hapa jijini
30 May 2011 Last updated at 13:48 GMT
Bangladesh woman cuts off 'attacker's' penis
Monju Begum says her neighbour had been harassing her for months
Police in southern Bangladesh say a woman...
Mtu anashindana na mambo ya Mungu,MUNGU mwenye uwezo wa kusimamisha anga bila nguzo halafu wa2 eti wanaweka kama kipnd maalum. Ina maana wamekosa vipindi ya kuelimisha jamii? Wazo langu tu!
Focker 27
Boeing 737 kulikuwa hizi chapa ya majina ya vivutio maana tulipachika kwa majina ya
1. Boeing Ngorongoro
2. Boeing Kilimanjaro
3. Boeing Serengeti
ATC ya wakati huo ilikuwa raha...
wazee nasikitishwa sana na hali inayoendelea gongolamboto ulipuaji wa mabomu,yule kamanda wao kasema yatalipuliwa mwezi mzima,yaani vishindo vinatisha,naona kama ni usumbufu kwa raia,,,,hivi hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.