Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Askofu amshangaa Kikwete • AHOJI KUWAGWAYA VIONGOZI MIZIGO MWENYEKITI wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa la Mennonite Tanzania, Askofu, Steven Mang'ana, ameelezwa kushangazwa na Rais Jakaya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ningependa kujulishwa nini tofauti ya Rav4 GX, Rav4 VX, Rav4 L, Rav4 J na mengine mengi ya kitaalam kuhusu hili gari aina ya RAV4. Na pia kuhusu VW Polo na VW Golf upatikanaji wake wa spare hapa...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
kwa sasa Times fm inasikika kupitia internet, kwa hili naomba niwapongeze hawa jamaa, na pia redio nyingine mfano za IPP zinatakiwa kuiga mfano huu. sikiliza hapo chini!!:mod: . . . . . . . . . ...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
NI KUDHIBITI RUSHWA, MMOJA AENGULIWA KATIKA UCHAGUZI Godfrey Nyang’oro UCHAGUZI wa viongozi wa Baraza la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), jana ulitawaliwa na vituko...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtoto mwenye vichwa viwili amezaliwa nchini China na kuwa gumzo kwenye vyombo vya habari duniani. Mtoto huyo alizaliwa katika jimbo la Sichuan akiwa na viungo vyote kamili kama watoto wengine...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
WAFUGAJI katika wilaya ya Mwanga kwa muda mrefu wamekuwa wakitaabika kutafuta maji kwa ajili ya mifugo yao. Hili limesababisha mifugo kusafirishwa umbali mrefu ili kufuata maji. Hali hii imekuwa...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
nothing to display
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Hebu wanajamvi mnijuze kuhusu hili. Naibu waziri anapoenda kukagua shule akiwa amepanda gari la millioni 200, pamoja na msafara unaoambatana naye. Je inaingia akilini kuona shule hazina madawati...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Ndugu zangu Wana jamii forums kuna haja wale ndugu zetu walioko kule Tarime kuwasaidia kujua wao ni raia wa nchi gani hapa A.Mashariki maana wananyanyaswa kama sio watanzania ,wana baguliwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Chama cha wananchi cuf, kimetanganza mkakati wa kufanya maandamano kupinga uhalifu wa polisi tz. Naona hii ni hatua mmojawapo ya kupinga ubabe wa polisi usio na maana kwani mara nyingi wamekuwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
WanaJF, Kwa wale ambao wamebahatika kuangalia taariza za habari kupitia TBC1 wanaweza kuniunga mkono, chombo hiki kiitwacho cha umma kinaonekana kupoteza mvuto na mashiko wa watanzania kwa sababu...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ufuska, ulevi vyamkera Babu akemea Send to a friend Saturday, 28 May 2011 10:30 Mussa Juma, Samunge MCHUNGAJI Mstaafu wa Kanisa la Kiinjili la...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nionavyo taasisi nyingi zinazopigania haki sawa kwa wanawake zinachochea uvunjifu wa ndoa mana zinawapa ujasiri mkubwa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani. Inasikitisha. Hawa watoto wadogo kiasi hiki kati ya miaka 2 had 10 katika maeneo ya mnazi mmoja, magomeni, kinondoni, barabara ya ali mwinyi, watakuja kuwa watu wazima wa aina gani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika hali isiyo ya kawaida kwa wanafunzi wetu wengi wa vyuo vikuu vya Tanzania, ambao hupenda kujiweka mbali na shughuli za kijamii, wanafunzi wa Chuo Kikuu DODOMA, leo wanaongoza matembezi ya...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Waziri wa A. Mashariki Samwel Sitta ametoa wito kwa vijana kuunda vikundi vya kusimamia utawala bora katika maeneo yao wanaoishi. Spource ; ITV
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu JF! Haya mambo yanahitaji wajuzi watusaidie...tunakabwa hadi kooni hatujui tunalalamika wapi? Jamaa yangu amepita mjini kati na gari yake...akaingia dukani kuulizia bidhaa...dada...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Toilet shame! Send to a friend Saturday, 28 May 2011 09:36 digg By Sylivester Ernest The Citizen Reporter Dar es Salaam. Tanzania has one of the world’s most inadequate human waste...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
As i was collecting my regular copy of TANZANIA DAIMA and a few choice sunday papers from a news vendor I was intrigued by the front page item regarding the replacement of the late Sheikh Yahya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
"Ujana harakati uzee maono", maneno hayo yalisemwa na mzee shibuda sikuyaelewa. Maono na harakati kwanini vilihusianishwa na umri? Au ndo kusema vijana hawana maono au wazee walio wanaharakati si...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom