Anastahili pongezi Bi Shija Maige (33) mkazi wa Kahama Shinyanga kwa kujifuangua salama watoto watano salama na wenye afya nzuri. Lakini hivi serikali yetu huwa inawapatia msaada wa kulea endapo...
NINGEPENDA TANZANIA YA HIVI: Elimu bora, makazi bora, miundombinu bora, huduma bora za afya, fursa nyingi za ajira za kuajiriwa na kujiajiri, viongozi waadilifu, Uzalishaji viwandani na kuuza nje...
Kuna wimbi kubwa la wageni kuishi nchini kama wawekezaji lakini kwenye maeneo yanayoweza kufanywa na watanzania . lakini cha kushangaza msako huwa unafanywa kwa wachina tuu na si wahindi na jamii...
Kwa mashabiki wa HOROSCOPE na wale wenye kutaka kujua na kusoma nyota zao: Someni hapo chini:
Astronomer Parke Kunkle says that due to changes in the Earth's alignment the dates of many zodiac...
WATU sita wenye asili ya Somalia wanaotuhumiwa kuwa maharamia wamekamatwa mkoani Pwani na kukutwa wakiwa na silaha kali za kivita na mabaki ya risasi zilizotumika.
Miongoni mwa silaha hizo ni...
JESHI la Polisi nchini halistahili kulaumiwa kwa mauaji ya Arusha, kwani halikuwa na njia ya mkato ya kujihami zaidi ya kufanya lilivyofanya.
Hiyo ni kauli ya Imam wa Msikiti Mkuu wa Ijumaa...
Watu wa Arusha hawapewi heshima badala yake wanafanyiwa vitendo vya ukatili.
Tunakumbuka Matokeo ya uchaguzi wa ubunge yalicheleweshwa makusudi,hii ilisababisha 'unnecessary chaos' na hata mbunge...
Abraham Lincoln was elected to Congress in 1846.
John F. Kennedy was elected to Congress in 1946.
Abraham Lincoln was elected President in 1860.
John F. Kennedy was elected President in 1960...
Licha ya mpangilio wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom) kujengwa kwa mpango ambao ungekwaza juhudi za chuo kugoma kwa mkupuo kutokana na kila kitivo kuwa mbali na kingine, mgomo wa kwanza na mkubwa...
POLISI wanatuhumiwa kumtelekeza mtoto Juma Hamza (12) waliyempiga risasi na hivi sasa hali ya mtoto huyo ni mbaya kiasi cha kumlazimu kutolea haja kubwa katika kidonda kilichotokana na jeraha la...
kila ikifika jumapil utaona wale ambao hatupendi kwenda church tunaingizia vitu kibao, mara oooh leo nmeamka vibaya siendi church, mr dah nlitaka kwenda ibada ya asubuh ila nmepitiwa, mr umeme...
Hivi ndivyo walinzi wa "Usalama wa Raia" wanavyotufanyia Watanzania kila uchao. Mpaka lini?
Polisi wamtelekeza mtoto waliyempiga risasi Saturday, 15 January 2011 08:58
Source: Mwananchi na...
Hi wana jf.
'Watoa misaada' kutoka jumuiya ya ulaya wamelipa Baraza la Mawaziri uhai usiozidi miezi 18 . Ktk kipind hicho ni lazima Jk atalivunja na kuunda upya. Na wameonesha kuwa mawaziri walio...
IDADI ya taasisi zinazojiingiza kwenye mgogoro wa CCM na Chadema, uliosababisha polisi kuua watu watatu na kuujeruhi 29 mkoani Arusha inazidi kuongezeka, baada ya Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi...
Chadema Iringa wampa mbunge wao siku 7 ajiuzulu
Imeandikwa na Frank Leonard, Iringa; Tarehe: 14th January 2011 @ 23:40
HALI ya kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mahusiano ya Umma), Stephen Wasira, amemtaka Kamanda wa Polisi Polisi mkoani Arusha,Thobias Andengenye, kuwaomba radhi waandishi wa habari waliopigwa na polisi na...
MKUU wa Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara, Nape Nnauye kwa kushirikiana na polisi wilayani humo amefanikiwa kukamata meno ya tembo yenye uzito wa kilo 180.3 yaliyokuwa yakisafirishwa katika basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.