Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwa moyo mkunjufu kabisa napenda kuwakaribisha wanajf wote wanaoweza kufika kilimani club dodoma leo kuhudhuria sherehe ya kuwakaribisha wanachuo wa mwaka wa kwanza CBE Dodoma.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
MARKTECH The mark is a microchip assembly which will be implanted under the skin of the right hand. Later on, the mark will be...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
''Ukisikia paaa jua imekukosa, aliyepiga amefanya makosa'', ni nini hii, ni risasi. Kuna kitu kimoja kinakera sana, nilijaribu kuuliza nikaambiwa si hitilafu ni makusudi tu, kitu hicho ni mlio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
VITENDO vilivyofanywa na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mbunge wa Jimbo la Nyamagana, Lawrence Masha na aliyekuwa mbunge wa Iringa Mjini Monica Mbega, ni aibu kwao, kwa familia zao...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Mamboz ma great thinkers? Hivi, Nikiweka post inayohusu eg mapenzi ni lazima hicho ninachoongelea kiwe kinanihusu mimi? Cann't i say something on behalf of someone? Halafu, tunatakiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
  • Closed
Habari zilizopo mtaani ni kuwa gwiji Huyu wa Msondo na shabiki wa wana Msimbazi hatunaye tena! Kama ni hivyo Msondo itasimama kweli?
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Davis kutoka Uganda ameshinda TPF 4 baada ya kumshinda Mtanzania Peter Msechu. Msechu anakuwa mshindi wa pili - Nampongeza na kumtakia heri. Davis anashinda shs milioni tano za Kenya!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
KATIKA kile kinachoonekana kuithibitishia jamii kuwa nyumba za ibada si mahala pa siasa, Kanisa Katoliki Jimbo la Sumbawanga limewafukuza na kuwazuia kushiriki shughuli za kanisa zaidi ya waumini...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu baada ya Timu ya taifa ya kenya kufulia kwenye mechi zake zote sasa kabla ya mechi ya leo dhidi ya Uganda kocha wa timu ya taifa ya Kenya bwana JACKOB MULEI aliwaambia wachezaji wake kuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WADAU NINA MASHAKA MAKUBWA NA UADILIFU WA ZITTO KWA KAMBI YA CHADEMa, matendo na matamushi yake yananitia mashaka kama bado anaimba wimbo wa ukombozi wa tanzania kwa sauti ya Chadema.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF, Tunaendelea kuyafanyia kazi kwa undani ili yakiwekwa isije onekana blabla, tupeni muda........ Ila ukweli kuna mbinu na siasa chafu zinafanywa na kundi la mafisadi wa CCM na watetezi wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu tumeshuhudia nchi ya kwanza ya Afrika kuwa na marais wawili. Lakini cha kushangaza ni pale tunapoona wakuu wa Afrika wakimtuma Bwana Mbeki eti aende ku-solve mambo wakati inajulikana kwamba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Victor Kinambile, Tabora POLISI mkoani Tabora, wamewaua watu watano wanaosadikiwa kuwa ni majambazi na kufanikiwa kukamata bunduki aina ya SMG, magazine tano, risasi 165 na bomu la kutupa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais wa serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Ndugu Mathias Simon Kipara anataka kuleta Mgomo. Kipara kama rais wa DARUSO ameshindwa kufuata maazimio ya bunge la Daruso na kwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
NI dhahiri Watanzania wengi tunafahamu umuhimu wa kuwa na simu za mkononi katika dhana nzima ya kurahisisha kupata mawasiliano miongoni mwetu, hali ambayo kwa namna moja au nyingine inaharakisha...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TWO people have died in separate incidents including one who committed suicide at Kimara Temboni Area in Kinondoni District on Friday. The Kinondoni Regional Police Commander (RPC), Charles...
0 Reactions
0 Replies
962 Views
THE governing council of Sokoine University of Agriculture (SUA) has appointed Deans of Faculties at Moshi University College of Cooperative and Business Studies (MUCCOBS), which became its...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TANZANIA Communications and Regulatory Authority (TCRA) has disputed a figure showing that the country has only 520,000 internet subscribers. This means the country ranks below Kenya with 7.8...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
INAWEZEKANA Watanzania wengi watakuwa wamesahau kabisa tuhuma nzito zilizokuwa zikiwalenga baadhi ya viongozi waandamizi wa serikali katika kipindi cha miaka mitano iliyopita chini ya uongozi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MIKAKATI ya kuwakwamisha kiutendaji Waziri wa Ujenzi, John Magufuli na Naibu wake, Dk. Harrison Mwekyembe, inadaiwa kuanza kuandaliwa na vigogo wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom