Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
WATU watatu wamepoteza maisha katika matukio tofauti jijini Dar es salaam, mmoja akikandamizwa na mlango wa kivuko akiwa ndani ya gari. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, David Misime, alisema...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
FIKIRIA uko hapo tuseme Manzese basi. Unapita njia yako unasaka shilingi ambayo inaendelea kuota matairi na mbawa. Mara ghafla unamwona kijana naye anapita akiwa na mbwa, lakini kamfunga kamba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanajamii, mimi nilisoma na Premmy Kibanga pale Institute of Journalism and Mass Communications mwaka 2000 yeye akiwa anachukuwa post graduate in Journalism... Huyu dada hivi sasa ni mwandishi wa...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Nimenunua modem ya zain airport leo hii na kuambiwa kuwa nimepewa 8GB kwa mwezi mzima. Mpaka sasa inakataa, inaleta error code wakati wa kudial. Nimepiga zain call centre toka saa kumi na nusu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiongozi wangu bebeku uko wapi????? Umehama jamvi hili???hebu ni pm bana tuzungumze yale mambo yetu ya kona bar
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama kuna mtu anajua mafundi wanaoweka funiture kwa jumla na kwa beinzuri naomba contact.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Meneja mkuu, mhasibu, mtunza store wote wakiwa waajiriwa Wa vodacom mkoani kilimanjaro head ofice wamekula njama na kuondoka na kitita kikubwa cha pesa. Ofisi ya vodacom mkani humo iliyopo karibu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua kama mtajwa hapo juu anaishi na baba yake hapo Ikulu. Je kama anaishi hapo ni sawa? Naomba kuwasilisha
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Im worried about thing that tanzania plan to build nuclear plant eti kama part ya kusolve power shortage. Hii inaingia akilini kweli? do we have an area for waste disposal? hivi watu wanakumbuka...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Katika miaka ya 90's kulikuwa na gazeti moja matata, makini na jasiri likiitwa Wakati ni Huu, nakumbuka Mkajanga alikuwa nafikiri ndiye mhariri mkuu. Kwa kweli lile gazeti lilikuwa linatoa habari...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wanaJF naomba msaada wa haraka kutoa taarifa kwa wahusika wa jeshi la polisi kwani kuna basi limetekwa mbele yetu zaidi ya nusu saa na hakuna polisi wala nini tuko kijiji cha makere wilaya...
0 Reactions
60 Replies
6K Views
Gazeti la Nipashe linatuhabarisha ya kuwa Mheshimiwa Dr. Slaa ambao watanzania wengi tunaamini alishinda Uraisi mwaka 2010 akisema ya kuwa wabunge wa chadema hawana uhasama na JK ila na jinsi gani...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Binafsi nimevutiwa kwa kiasi kikubwa na picha ya mheshimiwa rais wa jmt, sijui wenzangu mnaionaje hasa pozi la miguu!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wana Jamii, napenda kujuwa ile kesi ya Dokta Slaa ya kuchukuwa Mke wa mtu iliishia wapi?
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Kwa nn Tz kampuni moja magazeti mengiiii, habari zilezile?
0 Reactions
2 Replies
951 Views
Hatimaye hukumu ya Chenge itasomwa tarehe 16 Desemba 2010. Hivi tutarajie huyu jamaa akipelekwa Segerea kutumikia adhabu ama itakuwa makosa yalikuwa ya marehemu?
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta nyumba au vyumba vya kupanga.....vyumba viwili kimoja room na kingine kama sitting room,choo na bafu ndani....uwezo wangu 100,000.00 TZS na naweza lipa miezi sita mpaka saba kama...
0 Reactions
1 Replies
997 Views
Thamani ya Gavana wa Benki Kuu Tanzania sawa na wakulima 12,700 KUNA mjadala ulianzishwa katika moja ya mitandao ambamo Watanzania kokote walipo ulimwenguni hukutana kubadilishana mawazo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naona sasa imekua staili ya TBC kumtumia huyu Daktari kama msema chochote wao kwa upande wa wanazuoni baada ya kuona wale maarufu wote kama Lwaitama (CCM mfu) na wengineo wanataka mabadiliko. TBC...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani,kwa tuhuma zilizotolewa na Dr. Slaa kuwataja mafisadi kumi na moja(11) akiwemo Jakaya,ni ukweli usiopingika kabisa.Nasema hivi kwa sababu kati ya mali alizonazo mtu huyu zinazidi sana tu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom