Nakumbuka niliwahi kuazima suruali ya jirani yangu dingriz nikamwambia naenda town siku tuliyo ahidiana sikutokea nikiwa bado naosha na raba za bora nimezipaka chaki zimekuwa nyeupeeee nashati la...
Reviews:
Corruption in Kenya: How to ruin a country | The Economist
Review: It's Our Turn to Eat by Michela Wrong | Books | The Guardian
Compare majirani zetu before and after...
Alichokifanya Maalim Seif Sharif siku ya J,tatu1/11/2010 ni nusu ya kupigania jihadi ya
nchi yake.
Papatu papatu zilizokuwa zikiendelea na maneno makali yakutupiana na kutishana ndani ya...
Dr. Slaa nakupongeza sana kwa kuleta mabadiliko makubwa katika demokrasia ya nchi yetu. Umewafanya watawala wapige magoti kwa wananchi kuomba kura maana walijua wazi kuchakachua pekee kusingetosha...
Tanzania Daima ya leo imeripoti polisi wamemvamia mgombea wa Chadema nyumbani kwake na kumwibia shilingi milioni kumi..................................soma habari leo kwa taarifa za...
Kuna jambo moja ambalo watu wengi hulichukulia mzaha, masihara au utani wakati wa kutafuta mwenzi wa maisha (mke au mume) nalo ni suala la mtoto wa kwanza kuzaliwa na mtoto wa mwisho kuzaliwa...
Hongera Kikwete kwa kutangazwa kuwa mshindi....Duh hapa Prof Lipumba kaniacha hoi, yaani hongera kwa kutangazwa na sio kushinda!!!!!!!Kweli Prof Yuko makini mno.
Nchi inaongozwa na aliyetangazwa...
Daktari abaka mtoto wa ofisa usalama
na Christopher Nyenyembe, Mbeya
DAKTARI wa Hospitali ya Mkoa wa Mbeya, Haruna Nyagoli, anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani hapa, kwa kosa la kumbaka...
Nakumbuka katika mchakato wa kuelimika, kwenye topic ya Organization Design, Dkt. Ngirwa alieleza kwa ufasaha sana kuhusu umuhimu wa kuunda muundo wa taasisi ambao unauwezo wa kujiendesha wenyewe...
Wapi SUMATRA....??? Sasa hivi nimepanda basi kuelekea dom (baada ya kusheherekea ushindi ubungo na kawe) linaitwa SHAHBAL, tiketi imeandikwa sh 12,000 nauli lakini unalazimishwa kulipa 20,000...
Habari za hivi punde zinasema Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi mh. Dr. Ali Mohamed Shein amemteua jaji Omar Makungu kuwa mwanasheria mkuu wa Zanzibar na ataapishwa kesho...
JAMANI KILA SIKU TUMEKUA TUKISIKIA JWTZ WAMEJIZATITI KULINDA MIPAKA YETU CHA AJABU WAHARAMIA WAKISOMALI SASA WAPO KIGAMBONI WANATEKA MELI!JEE KAZI YA AMIRI JESHI NA JWTZ NI KULINDA KURA NA KUBEBA...
Dk Shein kaenda kuongoza Serikali ya GNU Zanzibar na nafasi yake Kukamatwa na Dk Bilal.
1. Je Pinda atarudi kwenye PM? Werema Je?
2. Mwangunga, Burian, Bendera, Mahiza, Kamala, Masha, Omar...
Wanajamii Salaam
Leo nimehakikisha kuwa kuna watu wanajua kutimiza ahadi. Huyu kijana alisema atahakikisha kuwa kero zote za AMUA=Afya, Miundo mbinu / Maji U? A? zinafanyiwa kazi haraka.
Sasa...
Mpaka sasa Wzanzibar wamepigwa na mshangao mkubwa wakutaka kujuwa nikitu gani kilicho jiri ndani ya ukumbi wa Bwawani?.
Wengi wamesikika wakisema nilazma Maalim Seif Sharif awaeleze ukweli wa...
leo jioni mtandao umenikatalia kujoin na JF members wenzangu ili kubadilishana hili na lile baada ya uchaguzi. Nilijaribu kama mara mbili ikawa inaniletea message za ooops!
Nikaanza kusikitika...
Mh.Kapuya rudi kuiokoa Bendi yako inakufa kifo cha mende.
Kuna taarifa rapa wao kanal top na daliya kabastone wamejiunga na rufita conn. Ya akina banza stone teacher na vilevile serengeti...
If you can't see this e-mail, click here.
Dear Enny,
Every year, the US State Department is giving away 55,000 Immigration Visas (also known as Green Cards) to people just like you, who wish to...
Nimekuwa nafuatilia matangazo kwenye TV kuwa kama kuna habari haijakupendeza, uwaambie. je wao ni kama mahakama? Magazeti yanayoendekeza udini na kutukana watu kama Habari leo, Al-kaida(sorry...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.