Baada ya kutangazwa kwa matokeo ya urais, Prof. Lipumba kwaniaba ya wagombea wenzake alipewa fursa ya kutoa neno; katika nasaha zake, alianza kwa kumpongeza JK kwa kutangazwa kuwa mshindi na...
Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 60 amedondoka leo kwenye jengo la Redcross lililopo mkabala na barabara ya Ali Hassan Mwinyi na kufa hapo hapo. Mzee huyu mwenye asili ya kiasia kwa mujibu wa...
Katika pitapita zangu nimekutana na hii kitu Welcome to the official global voting platform of New7Wonders | New7Wonders si vibaya na sisi watz tukashiriki kupaisha vitu...
Kutoka ndani ya CCM kuna habari kuwa viongozi fulani wazito wamejiandaa wakishirikiana na JK kuhakikisha kuwa dola inarudi kwa 'network members'. Hii ni kwa ajili ya kujiandaa na ushindi wa...
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel...
DC wa zamani hoi kitandani Send to a friend Monday, 08 November 2010 01:13 0diggsdigg
Aliyewahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbalali, Mkoani Iringa Hawa Ngurume, akizungumza na waandishi wa habari wa...
Kama kawaida yangu leo nimeendelea na mihangaiko yangu ya kila siku lakini ilipofika jioni nikapata taarifa ya uhakika kwamba bei ya petrol kasulu sasa ni shilingi 6000 kwa lita lakini ya diesel...
Nimepitia rundo la ahadi za JK lakini nilishtushwa kujifunza ya kuwa wastaafu wa EAC hawamo kwenye mipango ya CCM ya kuwalipa haki zao za kimsingi za takribani miaka 33 hivi...........
Leo...
Ndugu wana jamii forum, kuna sheria inayokataza kulima mazao sehemu za mijini mazao marefu kama mahindi. Sheria hiyo hutekelezwa na baadhi ya wakurugenzi wa miji michache hapa inchini, Iringa...
Great thinkers, nimekuwa najiuliza kwa muda mrefu bila kupata jibu. Hivi ni kwanini wakati mwingine magari ya wagonjwa yanabeba maiti. Naomba nitofautishe kuwa kama mgonjwa amefia kwenye gari hilo...
Wajameni, ktk pitapita yangu ktkt ya vijana wa chuo kikuu nimenusa debate juu ya mbunge mteule wa jimbo la bumbuli, waziri mtarajiwa na mgombea uraisi mtarajiwa (2015 elections) vs facebook...
Naamini watendaji wako Mh. Rais Kikwete wanasoma taarifa mbalimbali kupitia jukwaa hili hivyo watakupa salaam zangu. Ninaandika haya kama raia wa Tanzania mwenye nia njema na maendeleo na...
Wadau naomba kufaamishwa kisheria hii imekaaje,mara nyingi sana hapa lugalo ukipita asubuhi una kuta wanajeshi wakiwakamata waendesha pikipiki na bajaj kwa makosa aitha kwa kutokuvaa helmet au...
Monday, 08 November 2010 21:28
Silvan Kiwale
IMEBAINIKA kuwa zaidi ya sindano milioni 20 walizotumika kuwachomwa wagonjwa katika nchi za Afrika, zilikuwa na virusi vya Ukimwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.