Ninawaomba wenye hekima katika masuala ya hotuba msaidie katika kuandika Hotuba ya JK ya kukubali kushindwa mimi nitatafuta njia ya kumpelekea sio kwa kumkejeli bali kwa nia ya kumtia moyo...
Niliwahi kuona hoja hapa ukumbini mtu akihoji mavazi ya wagombea wa Chadema, hii ya wa CUF imenifutia sana!
Je huyu anaweza kuunda dola?
Source: Francis Godwin ni mzee wa matukio daima
...wengi walio ndani ya blanketi zito la CCM na kulala usingizi wa pono wanabeza kwamba baadhi ya ahadi ambazo Slaa (PhD) anasema atazishughulikia ndani ya siku 100 kwamba haziwezekani ilhali...
Kuna watu wanakatisha watanzania tamaa ya kuchagua vyama vya upinzani kwa kusema ati hata kama vikichaguliwa matokeo yatabadilishwa.
Napenda kuwatia moyo, kila mtu aamue kadiri ya utashi wake...
Rais duniani anachaguliwa kwa misingi mikubwa miwili;kwanza anapimwa kwa sera zake endelevu kuhusu uchumi na mikakati yake ya kuuimarisha na mbili anapimwa kama anaweza kuongoza vyema majeshi ya...
Wanaichukia Internet.
Wanatumia Internet kumhujumu Dr. Slaa. Tunatumia Internet kufahamu walichokifanya na hata walipofanyia conspiracy nzima.
Tulianza na Windows 3.1, ikaja Windows 95, Ikaja...
Hivi watanzania tumelalaa??au niustarabu??ulishawahi kuwa nashahuku yakupanga NHC??Je ulijiuliza swali gani??nadhani ulikata tamaa kwa jinsi ambavyo ungelianza ukaona nindoto za mchana kwakuwa...
Kwanza napenda kumpongeza rais wetu Mh. J Kikwete kwa nia na dhamira yake ya kuifanya Tanzania kuwa na maendeleo ya kweli pamoja na kuiwezesha na kuendeleza amani iliyoachwa na Baba wa Taifa Mwl...
Huko nyuma sikutaka kuwa wazi lakini kwa vile siku za uchaguzi zimeyoyoma sasa ninawatamkia rasmi JK na CCM yake wamepoteza huu uchaguzi na Dr. Slaa na Chadema ndiyo watakaounda serikali yetu na...
jamani mie nataka kufanya CISCO Course(CCNA),lakini nina bachelor degree ya socail science(socilogy) na masters ya social science, ..hivi kama nikifanya hii CiSCO inaweza ikanisaidia kwenye kupata...
LEO NIMESOMA HABARI KUHUSU KESI YA MGOMBEA URAIS WA CHADEMA DR. SLAA KUWA YUKO TAYARI KUZUNGUMZA NA MUME WA MCHUMBAWAKE HII IMENISHTUA KIDOGO NA SIJUI MAANA YAKE NINI NA KWANINI SLAA ANAKUBALI...
Kigogo wa Polisi akwapua bil.2/-
Na Mwandishi Wetu
WIKI mbili baada ya gazeti hili kuandika habari za wizi wa mabati katika eneo la Changombe uliohusisha polisi, kuna habari kuwa...
KISA KILICHONITOA MACHOZI WAKATI NIPO MTWARA.
Kwa wale wakazi wa Mtwara,mtakuwa mnaijua vizuri ile barabara itokayo pale Ligula Hospitali inashuka chini kuelekea kwa Jionee, Cocobeach,TTC...
Poleni sana ndugu zangu "Wapendwa" nawapa pole nikijua kuwa mliowengi hamkuwahi kuwaza kujikuta katika hali hiyo. lakini pole zaidi kutokana na maneno ya kashfa mnayoyapata kuanzia kwa watu wasio...
Hapa tatizo ni kwamba nauli tunatoa wapi?
wadau tusaidieni,hapa tume karibishwa chakula ila mkaribishaji kajaza pili pili kibao tutaweza kula wote?
soma hapa:
UDSM - Users & Groups
We're polite and progressive by day, more tribalist than even the Kenyans by night
Posted Monday, October 18 2010 at 14:29
Further to my take on the creeping religious...
Wapendwa habarini za uko
nilipata email ya mwaliko kutoka kwa bwana mmoja muhindi ikinitaarifu tar 23-26 september kutakuwa na 10th freemasson conferenc whtitesands na kwa wale wasio massons pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.