Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Wakuu Thanks God is Friday - I got my salary today. i) kwa hiyo nina uhakika wa kulipa madeni ya mwezi huu kwa mangi ili nianze kukopa tena ya mwezi ujao ii) Naweza kutoka kula kitimoto na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Thursday, March 25, 2010 10:52 AM IMEDAIWA kuwa zaidi ya wanafunzi 300 wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), leo wamepanga kuandamana kutoka chuoni hapo hadi Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Moses Wilson, the Unaa president and his family. Happy parents will have happy children who will turn out to be jolly spouses. Children learn to love from their families, from what they see, and...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
World's cleverest man turns down $1million prize after solving one of mathematics' greatest puzzles Last updated at 11:02 PM on 22nd March 2010 No need for greed: A rare photo of...
0 Reactions
88 Replies
8K Views
Mama mangunga mpaka leo wahusika wako mtaani wanakula kuku hii aibu mpaka doha mama mbona tunatiwa aibu...na mhusika mkuu mnamjua mnakaa kimya!!!! Nakupenda tanzania serikali ya tanzania...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ukiwa ghetto umelala na masela usiku unashtushwa na ubaridi pamoja na unyevunyevu kwene TIGO,unaamka lkn ulipoangaza unakuta kila mtu yuko bize na usingizi tena wanakoroma kwa saaana tuu..unaamua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu kuna hii promosheni ya habari ndio hio ya kuongea tsh1 kwa sekende wao (voda) wanasema tutatumia Tsh1 kwa Sekunde kwa siku nzima. jana nikaweka line yangu ya voda na kuweka vocher ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Call 18003733411 from your US Landline/Mobile. The operator will greet you with a welcome message and ask you to select one of the FREE411 service. The Last option is Free Call. You don’t have...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WASHITAKIWA watatu jana walifanya kituko mahakamani kwa kuvua nguo na kubaki uchi huku wakiwa wamejipaka kinyesi kibichi cha binadamu na kisha kutoroka kabla ya kukamatwa tena baadaye. Tukio...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukiwa ghetto umelala na masela usiku unashtushwa na ubaridi pamoja na unyevunyevu kwene TIGO,unaamka lkn ulipoangaza unakuta kila mtu yuko bize na usingizi tena wanakoroma kwa saaana tuu..unaamua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hili suala limekuwa kama jadi ya Watanzania wengi sana hasa mijini na majiji kwa watu kutumia nyembe kwa matumizi yao binafsi na kuzitupa hovyo barabarani na wanaoathirika ni watoto wadogo ambao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Daniel Mjema, Moshi Gazeti la Mwananchi MWANAMKE ambaye ni mke wa mtu mwenye watoto watatu, amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Namna ambavyo sheikh anavyotumia vyombo mbalimbali vya habari na mawasiliano kunadi unajimu wake, ni kama yuko kwenye promosheni ya biashara yake. Kweli wasikilizaji wa unajimu wake wameongezeka...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Shalom! Unaendeleaje?, asubuhi ya leo nilikuwa natafakari, Yoh15; Yesu anasema mimi ni mzabibu, Yeye ni Mzabibu na sisi ni matawi, tawi linalozaa hulikatia vizuri, na lile lisilo zaa hulikata na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Serikali katika sera yake ya elimu ilishatamka kuwa lugha rasmi ya kufundisha shule za msingi ni kiswahili na kiingereza kitafundishwa kama somo. Lakini cha ajabu serikali hiyi hiyo inaendesha...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
MWANAMKE Sophia Philemon [44] ambaye ni mama wa watoto watatu, amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mwanafunzi chini ya miaka...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kuna daladala imegongwa na Lory la mafuta muda si mrefu eneo la Kibamba - Morogoro Rd, Dar es Salaam. Zimamoto wameelekea eneo la tukio kuzima moto. Taarifa zaidi naamini zitafuata Kutoka Global...
0 Reactions
122 Replies
12K Views
Haya..source A HEATHROW security man was quizzed by police after ogling a girl colleague "naked" in a new anti-terror body scanner. Jo Margetson, 29, reported John Laker, 25, after he took...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Katika jamii yetu ya Kiafrika imezoeleka kwamba Mwafrika akizaa na Mzungu/Mwarabu na mtoto akawa nywele na rangi vyenye mwonekano wa Kizungu/Kiarabu basi huyo huitwa Chotara. Swali langu ni...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
MFANYAKAZI wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN) Muhidin Issa Michuzi ameondoka jana kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria kongamano la pili la Watanzania wanaoishi nchi za nje (Diaspora 2...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Back
Top Bottom