Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Serikali ya Sri Lanka imempiga marufuku mwanamuziki wa kimataifa kutoka Marekani, Akon, kuingia nchini humo kufuatia maandamano yanayopinga kanda yake ya video inayoonekana kukejeli dini ya Budha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Michael Jackson Sindano ambayo iliripotiwa kuwa Michael Jackson aliitumia kujidunga dozi kubwa ya madawa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Katika mojawapo ya sijui niite utafiti au utabiri, mwanasayansi huyo wa Ki-Irish, Dk. Dionysius Lardner aliyeishi kati ta Mwaka (1793-1859) aliwahi kusema kwamba, Garimoshi halitaweza kwenda kasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waandishi wa habari wa itv wamenusurika kifo baada ya gari lao kuangukiwa na wire wa umeme ktika barabara ya oceanroad.wakiongea kwa uwoga mwandishi mmoja aitwaye rehema anasema alikuwa katika...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Skendo limeikumba kitengo cha kurekebisha tabia cha Afrika Kusini ambapo mwanamke aliyakamatwa kwa makosa ya ujambazi anadaiwa kufungwa kwenye jela ya wanaume kwa kipindi cha miezi sita na...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari nilizozipata muda huu kutoka kwa abiria aliyemo katika basi la Superfeo ni kwamba basi la kampuni ya Hekima limeanguka katika kitongoji cha Tanangozi Iringa na kuua abiria wengi idadi...
0 Reactions
62 Replies
9K Views
Chama cha Wafanyakazi wa Mawasiliano na Uchukuzi (Cotwu) kimeikaba koo Serikali na kudai kuwa hakitaitikia ombi la kuwataka wafanyakazi kusitisha mgomo wa nchi nzima. Kauli hiyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NYERERE'S SOCIAL AND POLITICAL THOUGHT.(Critical Essay) ABSTRACT The debate over the indigenous versus the European roots of `African democracy' has regained importance recently. Using...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbunge wa Mbarali, mkoani Mbeya, Esterina Kilasi (CCM). Mbunge wa Mbarali, mkoani Mbeya, Esterina Kilasi (CCM), amezua mjadala na malalamiko kutoka kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Baada ya kubadili jina na kujiita na Sumry kutoka mohamed trans kuacha usumbufu wa watu na mohamed trans....gazi za sumry zimeanza kuongezeka mpya kila kikucha na hivyo kuhitimisha misemo ya watu...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Wananchi wamtajia polisi washiriki ujambazi Aonya iko siku viongozi watapigwa mawe Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tafiti nyingi zilizofanywa kuhusiana na upotezaji muda unafanywa na waajiriwa ni kwamba, wafanyakazi maofisini huwa wanapoteza saa tatu kila siku katika kufanya mambo ambayo hayana maana kwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
She is disgusting evil! Nursery Manager 'Made Babies Eat Own Vomit' 12:07pm UK, Tuesday March 23, 2010 Jo Couzens, Sky News Online A nursery manager force fed babies in her care until...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) will pick its presidential candidate between July 16 and 17, this year. The party’s Vice-Chairman (Mainland), Mr Pius Msekwa, told journalists shortly after the Party...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MHASIBU mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Arusha, Ben Mpete amekuwa mwanachama wa CCM wa saba kutangaza nia ya kuwania ubunge wa jimbo la Iringa Mjini ambalo kwa sasa linashikiliwa na Mkuu wa Mkoa wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
TANGU LINI UELEWANO UKAPIGIWA KURA YA MAONI? • Wengi wakikataa, ina maana uhasama uanze upya? • Wenye uchu wa madaraka wamejaa Zanzibar na dunia nzima Na Walusanga Ndaki JE -- kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamaa mmoja kutoka songea aitwaye kanuhumba amemwagiwa tindikali na mmoja wa watu wanaemuhisi anatembea na mke wake...akionyeshwa kwenye taarifa ya habari tbc jamaa huyo ambae alikuwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
"""KAULI MBIU YA WIKI YA MAADHIMISHO YA TB DUNIAN"" Hata kama ni ngumu kuisha basi tupunguze jamani hii kitu chabo unakuta mtu anakaa gorofani yuko karibu na choo cha mwenzake anaamua kabisa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Watanzania wamekuwas na hamu sana na shauku kubwa kujua jinzi gani kumbe wakati wachezaji wakiumia uwanjani kutafuta point tatu huku kuna baadhi ya wafanyakazi wa timu wakishirikiana na viongozi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom