Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
JANA ilikuwa ni Siku ya Wanawake Duniani. Viongozi wakuu wa nchi, wanaharakati wa masuala ya usawa wa kijinsia na wanawake walio mfano kwa wengine walikusanyika kutafakari hali ya kundi hilo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
AP – This Friday, March 5, 2010, photo shows a copy of 'Letters to Jackie: Condolences From A Grieving Nation,' … By HOLLY RAMER, Associated Press Writer Holly Ramer, Associated Press Writer –...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Utaamini wanachokiandiak Nipashe? Story yao ya Kagame kuishutumu Tanzania wali-monitor BBC. Waliosikiliza BBC siku hiyo watasema kuwa jamaa hakuitaja Tanzania haa mara moja. It is common sense...
0 Reactions
13 Replies
12K Views
Na Ezekiel Kamwaga UTAWALA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), chini ya Dk. Daudi Balali ulikuwa na utaratibu wa kulipa mawakili wa kukodi wa makampuni tofauti lakini kwa kazi ileile, imegundulika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
This is the lowest piece of skill i ever seen Swali langu ni kuwa Je wakishamaliza utakuwa ni paved au un paved Vile vile n hatari kwa ndege zisizokuwa na gravel kit ku cope, Yaani ni pease ya...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
SIKU chache baada ya Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (Tucta), kutangaza mgomo wa wafanyakazi nchi nzima, Rais Jakaya Kikwete amesema anaamini shirikisho hilo litatumia busara na si...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, hivyi mnajua kuna makanisa yametenga siti maalum kwa watu (VIP) fulani n ukikaa hizo siti lazima utanyanyuliwa. Ukiuliza sababu unaambiwa wewe utaweza kulipa 250,000 kila jumapili kama...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
Nimejaribu kutafakari juu ya hii title ya heshima tunayotumia kwa viongozi wetu kwa kuwaita 'waheshimiwa'. Kwa kweli nilichogundua ni kwamba kuna wanaostahili uheshimiwa, na baadhi hawakustahili...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu leo imetokea tu nikawa najiuliza hovi Rais wa Zanzibar huwa anashiriki katika shuguli za kimaendeleo ktk Tanganyika? Yaani kama kuzindua miradi, kulutana na wananchi na kutembelea wahanga wa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
http://www.rte.ie/player/#v=1067526
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Jina langu ni Kichuguu mwana wa Porini, huwa natambuliwa rasmi kama Kichuguu Cha-Porini. Rafiki zangu wananiita majina tofauti, wale niliokuwa nao shule ya msingi sekondari na JKT huniiita...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
DHANA YA UKOMBOZI WA MWANAMKE BADO NI TATA. - ASASI NYINGI ZIMEANZISHWA KUWEKA MIKAKATI YA KUMKOMBOA MWANAMKE. - WANAWAKE WENGI WAMEINGIA MADARAKANI KWA KUWAAHIDI UKOMBOZI...
0 Reactions
34 Replies
9K Views
UMEME UMERUDISHWA, REPEAT UMEME UMERUDISHWA BAADA YA MATTENGENEZO MAKUBWA. HIVI SASA UMEFIKIA HAPO MTONI CONTROL NA ENERGIZING YA T1 NA T2 AT 132KV PRIMARY 33KV SECONDARY TAYARI...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kuna tetesi kwamba Seif Maalim - CUF kaanguka jana Dar airport na sasa watu hapa kisiwani Zanzibar wamekuwa wakipashana habari kwa simu kwamba hali yake ni mbaya sana. Tunaomba mweye taarifa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Mwanamieleka wa Sumo wa nchini Urusi ametiwa mbaroni baada ya kuinyofoa mashine ya kutolea fedha toka kwenye ukuta wa duka moja nchini humo na kisha kuibeba mabegani na kukimbia nayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa mujibu wagazeti la Mwananchi la leo tar 08/03/10... Mbunge wa viti maalumu CUF Mh Nuru Awadh wa wilaya ya Tanga mjini aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kumkashifu raisi Kikwete kuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nakumbuka nilipokuwa mdogo mama yangu alikuwa ameweka miiko wakati wa kula chakula,na alikuwa mkali kwelikweli pale inapokuwa tunakiuka hiyo miiko,lazima utafinywa kwenye mashavu. Moja ya miiko...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mchungaji Martin Ssempa Mchungaji wa nchini Uganda anayepigania sheria kali zipitishwe dhidi ya mashoga nchini...
0 Reactions
3 Replies
14K Views
we uko kundi gani kati ya hayo
0 Reactions
8 Replies
7K Views
Back
Top Bottom