Duniani kumekuwepo na majanga ya aina mbalimbali kila mwaka. Tumesikia matukio ya tsunami, matetemeko ya ardhi huko Hait na Chile hivi karibuni, maporomoko ya Same na Uganda na mafuriko huko...
Mwanaume mmoja wa nchini China ambaye alikuwa akisumbuliwa na madeni mengi sana yaliyotokana na tabia yake ya kupenda kucheza kamari amejiua mwenyewe kwa kujilipua kwa bomu ndani ya basi...
Ni siku ya Ijumaa niko ofisini kwangu nimekaa nikiendelea na kazi zangu kama kawaida mara napata mgeni. Mgeni huyu ni rafiki yangu Farida mwenyeji wa kule Arusha niliyesoma nae kidato cha tano...
Wanafunzi Wasagana Mabwenini, Shule Yafungwa
Monday, March 01, 2010 3:08 AM
Shule moja ya wasichana nchini Afrika Kusini imeyafunga mabweni yake na kuwalazimisha wanafunzi wote waondoke...
serikali imeombwa kuwapa tuzo maalum Marubani waliokuwa wakirusha ndege ya ATCL iliopata matatizo huko mwanza ambapo walifanikiwa kunusuru uhai wa watu zaidi ya 49
akiongea kwa masikitiko mh...
Abiria 205 wa ndege ya Air Canada waliokuwa wasafiri kutoka Kanada kuelekea Uingereza walilazimika kulala hotelini baada ya safari yao ya ndege ilipoahirishwa baada ya panya kugundulika kwenye...
JESHI la Polisi mkoani Mara limewafikisha mahakamani watu tisa kwa madai ya kuhusika na mauaji ya watu 17 wa ukoo mmoja yaliyotokea mkoani humo mwezi uliopita.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa...
KAMATI ya Bunge ya Mashirika ya Umma,imeshtushwa na matumizi makubwa yanayofanywa na Mamlaka ya Udhibiti Nishati na Maji(EWURA) kwa wafanyakazi wake...
Wadau kwanza naomba samahani kwa hawa jamaa wenye mtandao ambao wameweka huduma ya cheka maana baada ya faraja inakuwa kero na karaha,mimi ni mtu wa safari safari za mikoani sana sasa nikiwa huku...
Kuna kila dalili kuwa wale Waumini wa FULL GOSPEL-MWENGE (KWA KAKOBE) Wanaolinda usiku na mchana kutimuliwa alfajiri ya leo,ili kupisha mradi mkubwa wa umeme,tetesi hizi zilianza jana jioni tar...
Juzi katika pekua pekua yangu katika maktaba yetui, nikakutana na Gazeti moja la Zamaani sana, ukilinganisha na umri wangu, linaitwa Mzalendo.
Ni gazeti la mwaka 1979.
Kweli baba yangu alikuwa ni...
Kama ningekuwa nimelisema hili humu katika kibaraza hiki, naamini wengi mungeniita mtabiri, lakini bahati mbaya nilikuwa bado sijajiunga na jamii forum.
Nakumbuka wakati fulani niliwahi...
Chama cha Msalaba Mwekundu nchini Ugabda kimesema watu zaidi ya mia tatu wanahofiwa kufariki dunia kufuatia maporomoko ya ardhi yaliyotokea ...
mashariki mwa nchi hiyo.
Maporomoka hayo...
Waziri wa zamani wa Uingereza wa ushirikiano wa kimaendeleo, Clare Short, aliyekuwa mstari wa mbele kupinga ununuzi wa rada ya Tanzania kiasi cha kutofautiana na Rais wa Awamu ya Tatu, Benjamin...
Sasa hivi wametangaza radio one kuwa soko la ferry linateketea kwa moto. na vikosi vya uzimaji viko njiani kuelekea kwenye tukio, wenye habari zaidi watujuze
EAC govts challenged on sanitation issues
By Lusekelo Philemon
3rd March 2010
EAC
East African governments have been asked to allocate more financial resources to sanitation issues...
Chinese fans ask, will Yao Ming's baby be U.S. citizen?
Last Updated: Wednesday, March 3, 2010 | 5:38 PM ET
The Associated Press
Chinese basketball fans want to know will Yao Ming's...
NI siku nyingine tena mpenzi msomaji nakukaribisha katika makala hii inayokujia kila Aalhamisi, lengo likiwa ni kujifunza mambo mbalimbali katika maisha tunayoyapitia.
Mara kwa mara waweza...
Napenda kuwashukuruni sn JF the home great thinker, my Husband,Sketchers company,my beloved family in Tz,all friends from facebook and all my friends wherever you are in and outside the country...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.