Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Matokeo ya mitihani darasa la saba serikali ieleze: Je, Waislamu ni taahira au kuna agenda ya siri Waliotahiniwa Waislamu 71% Wakristo 29% Waliochaguliwa Waislamu 21% Wakristo 79% SERIKALI...
0 Reactions
11 Replies
53K Views
Nimeona tangazo kwenye gazeti la Mwananchi la leo tangazo kuomba kujiunga na kozi ya "Master of International Trade" katika chuo kikuu cha Dar es salaam. Sasa cha ajabu eti tena leo leo ndiyo...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kueleza wazi kwamba sikumwelewa Mh. Panda kwa kauli zake tata alizozitoa wilayani Igunga nazo ni “WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka wananchi wa Jimbo la Igunga mkoani Tabora kutomkataa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mambo bado mazito Kamati ya Mwinyi Na Mwandishi wetu 21st February 2010 Ilimwita Spika Sitta amwombe radhi Edward Lowassa Kwa kuchelewesha kufunga mjadala wa Richmond Kuruhusu makombora...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Your motor vehicle licence may be a ‘fake’ one! Makwaia wa Kuhenga, 18th February 2010 @ 21:00, T Mr Harry Kitillya, Commissioner-General, Tanzania Revenue Authority (TRA) DAR ES SALAAM Dear...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
mastaa kama Jackson Makwaya ‘Bambo’ , Hamis Changale ‘Mtanga’, Rashid Mwishekhe ‘Kingwendu’, Yusuf Hamis ‘Zimwi’ Sunche na Kapeto wakiwa wamepanga foleni ya kuingia kwenye usaili mara baada ya...
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Naamini kwamba Tanzania imejaliwa kuwa na dini mbili kuu na kila moja ikiwa na madhehebu kadhaa. Kwa upande wa dini ya kikristo ninayoijua zaidi kuna madhehebu mengi ikianzia KKKT, RC, Anglican...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waumini zaidi ya 300 waliojazana kwenye kanisa la mchungaji Martin Ssempa la mjini Kampala nchini Uganda, walishuhudia sinema ya ngono kanisani wanaume wakiwainamisha na kuwaingilia kinyume cha...
0 Reactions
12 Replies
24K Views
PUZZLE OF brothers and sisters , daughters and sons In the Santa family, each daughter has the same number of brothers as she has sisters. Each son has twice as many sisters as he has...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Masikini Tanzania yaani kila nikikaa, nikilala,nikitembea najiuliza kwanini nilizaliwa Tanzania? Kwani kila kukicha utasikia huyu kafanya hivi huyu kafanya vile lakini sheria hawachukuliwi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Naileta kwenu wana JFs.... Ever wondered how hard we work to fill our life with luxuries that we hardly have time to enjoy. LOOK AT IT THIS WAY... The luxury Cars, Toyotas, Land Cruisers...
0 Reactions
1 Replies
949 Views
Kampuni moja ya kupiga chapa vitabu vya kutumika mashuleni imetoa picha ya Yesu akiwa anavuta sigara na kunywa bia ya kopo. sorce: BBC
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Askari wa kikosi cha mgambo cha manispaa ya Kinondoni ambaye hadi sasa amefariki baada ya kupigwa na kitu kizito leo asubuhi walipo kuwa kwenye operesheni ya kuondoa vibanda vya wafanyabiashara...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
CHAMA cha CUF kimewataka Watanzania kuiogopa serikali inayoendesha kazi zake kwa kuwatumia wanajimu wanaotishia kufa watu. Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahim Lipumba alisema hayo kwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Anti-retrovirals could halt Aids spread in five years South Africa has the world's highest incidence of HIV/Aids Anti-retroviral treatments (ARVs) and universal testing could stop the...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Hii ni hoja binafsi ambayo leo nataka kutafakari pamoja kati ya vitu hivi viwili vinavyochanganya. Napenda kuzungumzia kitu kinaitwa 'Binadamu wa kwanza'. Wakati vitabu vyetu vya dini vinatuambia...
0 Reactions
133 Replies
42K Views
SERIKALI jana imetoa msimamo wake kuhusiana na ‘chenji ya Pauni milioni 28’ ambazo zinatarajiwa kurejeshwa nchini na serikali ya Uingereza baada ya kubainika kwamba Kampuni ya British Aerospace...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
A modern way to send off the deceased These days, funeral service providers do all the organising from pall bearers to the church funeral service, to transporting the body. By Connie Nankya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Mbona manchuchanganya ?Mara ni Mungu mara ni mtoto wa Mungu leo hii tunapewa tarifa mpya kuwa jesus alikuwa Jirani .twambieni lipi kati ya hayo ni la u kweli ...
0 Reactions
42 Replies
9K Views
Wakuu wenye Kufahamu hili jambo naomba tufahamishane. Hivi Hii website Ya Air Tanzania Iko Kwenye Ukarabati Kwa Muda Gani? Maana Mara Yangu Ya Mwisho ilikuwa ni Mwaka Jana September...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom