Kwenye miaka ya 80 wakati Mrema alikuwa waziri wa Mambo ya ndani wananchi walikuwa wakijitolea kujenga vituo vya polisi maarufu kama Polisi Post ili kuimarisha usalama kwenye maeneo yao lakini je...
Barabara ya Kilwa ni Bomu kabisa!!!!
(From Michuzi)
Barabara hii iliyozinduliwa hivi majuzi ina kila aina ya ubovu wa kitaalam.
Barabara hii imeanza kubonyea sehemu mbali mbali.
Barabara...
WAZIRI wa Nishati na Madini Bw. William Ngeleja amesema kuwa si viongozi wote wanaoingia katika Mgodi wa Buzwagi wanapewa bahasha za kaki na kushindwa kushughulikia mgogoro wa fidia za watu...
NI LAZIMA TUFAHAMU KUWA Mungu ametuumba kwa kusudi maalum.
Akatupa Jinsia tofauti ili tuweze kuendeleza kizazi chetu na tutimize wajibu na majukumu yanayotukabili siku kwa siku.
Tunapoamka na...
Atoboa uadilifu umeporomoka
Sasa chaanzishwa kitengo maalum
Asema Ze Utamu bado wanasakwa
Jeshi la Polisi nchini lipo katika mkakati madhubuti wa kujisafisha ili kulirejeshea maadili...
Jemeni hili tangazo la TCC Club limeweka funguo za magari 3.
kwa waliosahau wawasiliane nao wakazichukue, Hivi kweli mtu unaweza ukaondoka na kusahau funguo za gari?? Na kama kweli umesahau basi...
Najua wengi mtakuwa na mtazamo hasi juu ya hii habari,kabla sijaanza kueleza juu ya haki za mashoga, ningependa ujue kwa nini mtu anakuwa shoga? Kila mtu atakuwa anajua, unapozaliwa una kuwa na...
uchaguzi wa tff unakaribia ambapo nafasi ya makamu wa pili wa tff inagombewa na ramadhan nassib na john ncimbi.lakini aliyegombea nafasi hiyo uchaguzi uliopita bwana damas ndumbaro amekuwa...
MCHUNGAJI Christopher Mtikila ambaye pia ni Mwenyekiti wa chama cha Siasa cha DP jana alirudishwa tena rumande kwa kushindwa kutimiza masharti ya dhamana.
Mtikila jana alijikuta akirudishwa...
Ndugu wapendwa,
Story ifuatayo ni ya kweli maana imenitokea mimi binafsi tarehe 11/11/2009. Najua kwa kiasi fulani itakuwa inaninizalilisha kwa kutokuwa makini lakini naona ni vyema...
KESI ya mauaji ya mfanyabiashara Abdulbasiti Abdallah (21), yanayodaiwa kufanywa na mfanyabiashara wenye asili ya kiasia Vinoth Praven (23), imeahirishwa hadi Februari 9, mwaka huu.
Mbele ya...
Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Dar es salaam, Haji Manara (Pichani), ametiwa mbarano jana kwa tuhuma za utapeli wa magari. GPL.COM ilimshuhudia kigogo huyo akiwa kituo cha polisi magomeni akihaha...
Timu za ivory coast na cameroon ambazo zilipitia tanzania na kenya
kwa ajili ya mazoezi hatimae zimeaga mashindano ya can angola
wakati ivory coast walianza wenzao cameroon wameaga jana kwa...
MWANAUME mmoja mkazi wa Manzese, jijini Dar es Salaam alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya mzazi mwenzie kumsusia mtoto wakati akiwa katika sehemu za starehe akijivinjari.
Mwanaume huyo juzi...
PORT-AU-PRINCE,Haiti
WAOKOAJI nchini hapa wamemuokoa mwanamume mmoja kutoka chini ya kifusi ikiwa ni siku 11 tangu tetemeko la ardhi liukumbe mji huu na kusababisha maafa makubwa.
Habari kutoka...
KAMPALA,Uganda
WAFUNGWA 42 waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka jana katika gereza la Luzira nchini Uganda wamefaulu masomo yao ya kujiunga na Sekondari.
Habari zilieleza kutoka Kampala...
KANISA la Tanzania Assembles Of God (TAG) limetaja sifa za rais wanayemtaka katika Uchaguzi Ukuu unaotarajia kufanyika Oktoba mwaka huu.
Akitoa msimamo wa kanisa hilo Mbeya mwishoni mwa wiki...
Msoma mita wa Dawasco afikishwa mahakamani
Kuruthum Ahmed
MSOMA mita wa Kampuni ya kusambaza maji jijini Dar es Salaam(Dawasco), Chobines Mabega (38), jana alifikishwa katika Mahakama ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.