kwanza napenda kuwapongeza wenzangu hawa kwa kipindi chaowanavyokiongoza kizuri kinavutia,;;ila nimeona kabla ya kufunga mwaka tusaidiane kidogo watu wengi wamekipenda sana,mjue na watoto...
Upo uzalendo na upo uzalendo wa kijinga; kutetea nchi kwenye ujinga ni uzalendo wa kijingA-MZEE MWANAKIJIJI
hii kauli ya mm ukweli ndani yake lakini ili kupata solution na ili uweze kuuondoa huu...
Trying to introduce 'new titles' to remove inferiority complex, so that the workers could be proud and comfortable with their professions.
But 'title' no 10 stole the show!!!!
1. Garden Boy -...
Ndugu wadau, samahanini kama nitakuwa nawarejesha kwenye mada ambayo huenda ilishawahi kujadiliwa hapo nyuma bila ya mimi kuiona. Ningependa tu kufahamu, ile kura ya maoni iliyoitishwa kuhusiana...
Ilikuwa ni sherishori pale mchungaji wa kanisa la calvari la urafiki ambae aliamua kumtambulisha kifaa chake kipya baada ya kufiwa na mkewe miezi mitano iliopita,...habari zaidi zinasema mtumishi...
Hivi unatakiwa uwe na sifa gani au uwe umefanya kitu gani ili ualikwe ikulu ya Tanzania? Hivi wana JF ni lini wasomi wetu wenye uchungu na nchi yao nao wataitwa ikulu? Au ndio kusema kwamba ikulu...
Watu kumi na tisa wamefariki papo hapo huko Moshi (Same) likitokea Mombasa. Basi mojawapo ambalo limehusika ni Mohammed Trans na gari dogo aina ya Coaster
'Mikono Yako Imejaa damu' - Aambiwa Waziri Mkuu Mstaafu wa Uingereza
Waziri mkuu wa zamani wa Uingereza, Tony Blair Sunday, October 11, 2009 2:29 AM
Mzee mmoja wa nchini Uingereza ambaye mtoto...
wajameni, kuna tetesi kwenye magazeti kuwa kuna mdada anatangaza TBC1 amekamatika uchawi laiv, hivi ni nani? kama kuna wanamagazeti humu tunaomba mtuambie ni nani.
Pili, kuna watu wanatamani...
18th December 09
Wanaharakati waunga mkono maazimio ya MNF
Mwandishi Wetu
Wanaharakati mbalimbali wamesema maazimio yaliyotolewa kwenye kongamano lililoandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere...
We know that NO one is perfect but,
Why sometimes its so difficult to say...may be its not always easy to say those things which really matters...
...why its not always easy to say I really love...
Mzungu mwingine ammwagia maji machafu polisi
na Ramadhani Siwayombe, Arusha
SAKATA la raia wa kigeni kuwadhalilisha Watanzania, sasa linaonekana kushika kasi, baada ya raia mwingine wa Afrika...
Shuleni nilifundishwa kuwa kabla ya kuingia ofisi yeyote unatakiwa ubishe hodi, usubiri uambiwe karibu ndipo uingie ndani. Na ukiambiwa karibu na kuingia, unatakiwa usubiri uambiwe 'karibu ukae...
Nimekuwa nikijiuliza kuhusu utamaduni mzima wa krismasi na jamii yetu ya Tanzania.
Ni kwanini tunaisheherekea sikukuu hii ya kuzaliwa kwa bwana yesu kwa mapombe, shopping za kuzima moto kwa...
Nimekuwa nikisoma gageti la Al-Huda lakini naona baadhi ya habari zake ni za uongo - hasa kama zinahusu Ukristo au Kanisa Katoliki. Huwa najiuliza kwa nini mtu mwenye akili timamu akae chini na...
UMOJA wa Ulaya (EU) umeipatia serikali ya Tanzania kiasi cha euro milioni 383 (sawa na sh bilioni 750) huku ikiionya juu ya ufisadi na utendaji mbovu unaozorotesha sekta ya miundombinu.
Kwa...
Hi there! I have been trying for 2 days to rechage my TTCL broadband account and it's not opening those links given in portal.
There is something like " user info..recharge account....etc" i have...
WanaJF mwaka mpya ndo huo unakuja wiki mbili zijazo twaingia 2010
Kuna mpango wowote wa kuaga mwaka kwa wanaJF au ndo kila mtu atajifungia kwake??
Nakaribisha maoni
Tahadhari inaendelea kutolewa juu ya madhara na nini kifanyike kuepuka madhara yake kama zitanyesha.HEBU TUSAIDIANENI KUTOA ELIMU HII KWA WATU WENGI ZAIDI TUSIKAE KUSUBIRI SERIKALI IFANYE KILA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.