Imeandikwa na Regina Kumba;
Tarehe: 15th December 2009
HabariLeo
VIONGOZI wa Taasisi ya Development Entrepreneurship for Community Initiative (Deci), jana walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu...
Jengo la Kanisa la TAG Kariakoo mkabala na s/msingi Uhuru,limeuzwa kwa Mpemba mmoja. Mchungaji wa kanisa hilo alipohojiwa alisema wameuza kwa lengo la kujipanua zaidi. Limeuzwa kwa Tsh 850...
Tanzania: The Rocky Road to Full Independence
Ray Naluyaga, "The Citizen," Dar es Salaam, Tanzania, allafrica.com
9 December 2009
Today, Tanzania marks the 48th anniversary of its...
Mbowe: Rasimali za Watanzania zimeuzwa
na Asha Bani
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema umasikini wa Watanzania umetokana na viongozi wakuu wa...
na Mwandishi Wetu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kamwe hakitaacha kumkosoa Rais Jakaya Kikwete na serikali yake katika mambo ambayo hafanyi vizuri, sambamba na kuwataka...
Jamani hebu tujiulize hili si ndo lile shirika juzi lililokuwa linasemwa halina vitabu vizuri vya fedha yaani makusanyo yake mabaya? Leo inakuwaje ndani ya mwaka huu huu sasa wanapewa award ati...
Vice-President Dr. Ali Mohammed Shein has said that climate change is a global concern that needs collective efforts to address it.
Shein made the remarks last Sunday in Dar es Salaam before...
Mashoga Uganda Kuhukumiwa Adhabu ya Kifo
David Cato, shoga aliyegeuka kuwa mtetezi wa haki za mashoga Thursday, December 10, 2009 3:54 AM
Wakati Marekani baadhi ya majimbo yanaruhusu ndoa...
-Wakuu,naomba kuitumia nafasi hii kuwapongeza Radio Maria Tanzania kwa utaratibu wao wa kurusha matangazo ya moja kwa moja kupitia mtandao(Internet)..Binafsi wamekuwa wakinifanaya nijihisi niko...
Wana jamii nimekutana na kisa cha kusikitisha mno wakati nilipokuwa namtembelea jamaa yangu anayeishi maeneo ya Tabata Kimanga.Jamaa yangu ana mtumishi wake wa ndani(House girl) ambaye ndiye...
Ndugu wana JamiiForums,
Kwa wale ambao mtakuwa hamjaona "Petition" yetu kwenye mtandao; nawaomba mtembelee - www.globalink.org/petitions/tanzania2, mtusaidie kusaini hiyo "Petition". Ni...
Dear all,
I am looking for an ISP to host a web based database. The ISP Server should be able to run the following:
PHP 5 (5.2 or higher preferred)
Apache 2.0.54+ (Apache 1 will work)
...
Ni zaidi ya miaka mitatu kocha huyu wa Kibrazil anaendeleza ubabaishaji najua anaweza kudai ati wachezaji wanakosa professionalism lakini hiyo si sababu kwa vile Uganda imeshinda kikombe hiki cha...
Wanajamii vp tukianzisha kampeni ya kuwanyima ccm kura ili wajue kwamba wao pia siyo miungu watu, tukiweza kuimiza vijana wetu kupitia mitandao inaweza kusaidia kuielimisha jamii.
Ni uvumbuzi unaofurahisha kwa upande wangu. Mtanzania Bw. Joseph Kimaryo mkazi wa Arusha amegundua jiko la kupikia linalotumia matone ya mafuta machafu (Oil chafu) na maji.
Akihojiwa na BBC...
The first-born is likely to be the smartest, according to research
First-born children are more intelligent than their siblings, research has found.
The oldest child is more likely to have a...
Millionaire who fought off a knife-wielding burglar is jailed (while the intruder is let off)
Last updated at 11:39 PM on 14th December 2009
A millionaire businessman who fought...
Mwambangoma huvutia kwake jamani,ivi kwa nini tusiwe na segment kaa michango/post za East Afrka.
Si unajua kwa sasa tumekuwa jamani ata Mwalimu alisema umoja ni nguvu utengano ni uzaifu...
ABS system
An ABS system consists of some wheel speed sensors, a hydraulic motor, some pressure release valves and a clever computer (or control module) which coordinates the whole thing (see...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.